KERO Hali ya kuvuka Kigamboni si shwari, tunalazimika kuvuka kwa mitumbwi

KERO Hali ya kuvuka Kigamboni si shwari, tunalazimika kuvuka kwa mitumbwi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Wanasikitisha sana.Juzi juzi huku kwetu Tarime Vijini kulikuwa na mashindano ya mpira wa miguu kwa jina maarufu la WAIRA CUP.Cha ajabu baada ya fainali kulikuwa zawadi kwa mshindi wa kwanza Sirari na mshindi wa pili Nyamongo basi zao zote hao waliochukuwa zawadi zilipata ajali na kijana wa Sirari kufariki papo kwa papo.Kwenye mazishi yake Mbunge huyo alitoa pole na pesa lukuki kama faraja kwa wafiwa na tambo nyingi pamoja na vitisho kwa wale ambao hawakuridhika na ajali hizo.
Poleni sana wana Sirari!
 
Maza nchi inemshinda kila sehemu kumeoza nchi inanuka uozo tu
VIvuko viwili vimepekekwa matengenezo, wameahidi kufikia Dec 2024 vitakuwa tayari, eti kimoja walidhanj matengenezo ya kawaida, kilipofika huko, wakaona na bati limeoza, ndio maana muda wa matengenezo umekuwa mrefu.

Ni kizimkazi style of siphoning chururu from Tanganyika to..........
 
Tupazie sauti Sisi wakazi wa Kigamboni hali ya karudi majumbani kwetu ni mbaya Sana

Sasa tunalazimika kuvuka Kwa mitumbwi ya Kasia bila life jacket na Hali ya hewa ya mvua

Boti za Zanzibar na meli kubwa zikipita mawimbi yanakuwa makubwa mno yanaweza kufunika hii mitumbwi

Tusadie kupaza sauti ili Jambo la haraka lifanyike hii adha ya kurudi majumbani kwetu ipungue au kumalizika kabisa

Wasalaam ni Mimi ndugu yako.

This is not acceptable
 
Tumerudi tena kule kule.. nakumbuka siku tukasikia ajari ya mtumbwi feri and kuna dogo darasani hakuja siku hiyo wasiwasi ikawa... ila hakuwa kwenye huo mtumbwi.. ila wazazi wake ilibidi wamhamishie school za huko huko kigamboni...
 
Subirini daraja la kisasa toka aghakhani hadi maeneo ya tungi mmadani. Endeleeni kuichagua CCM neena inazidi kumwagika.
 
SSH unamuonea tu bure!
Tatizo la msingi ni ccm
Hapa hakuna kutetea wala kuonea mtu, ni kuusema ukweli kama ulivyo. Hawezi kujitoa maana hicho ni chao na amekuwa huko miaka mingi tuu na hakulazimishwa kuchukua nafasi aliyo nayo kakubali mwenyewe. Na lawama ya failure za serikali nilazima zimuelemee. Sasa unataka tumlaumu nani wakati yeye ni Mwenyekiti?
 
Hapa hakuna kutetea wala kuonea mtu, ni kuusema ukweli kama ulivyo. Hawezi kujitoa maana hicho ni chao na amekuwa huko miaka mingi tuu na hakulazimishwa kuchukua nafasi aliyo nayo kakubali mwenyewe. Na lawama ya failure za serikali nilazima zimuelemee. Sasa unataka tumlaumu nani wakati yeye ni Mwenyekiti?
Unalaumu TAWI au mti na mizizi yake?
ccm imekufa na systems zake zote!
 
Tupazie sauti Sisi wakazi wa Kigamboni hali ya karudi majumbani kwetu ni mbaya Sana

Sasa tunalazimika kuvuka Kwa mitumbwi ya Kasia bila life jacket na Hali ya hewa ya mvua

Boti za Zanzibar na meli kubwa zikipita mawimbi yanakuwa makubwa mno yanaweza kufunika hii mitumbwi

Tusadie kupaza sauti ili Jambo la haraka lifanyike hii adha ya kurudi majumbani kwetu ipungue au kumalizika kabisa

Wasalaam ni Mimi ndugu yako.

Kwanini msitimie barabara? ama iko mbali sana
 
Tupazie sauti Sisi wakazi wa Kigamboni hali ya karudi majumbani kwetu ni mbaya Sana

Sasa tunalazimika kuvuka Kwa mitumbwi ya Kasia bila life jacket na Hali ya hewa ya mvua

Boti za Zanzibar na meli kubwa zikipita mawimbi yanakuwa makubwa mno yanaweza kufunika hii mitumbwi

Tusadie kupaza sauti ili Jambo la haraka lifanyike hii adha ya kurudi majumbani kwetu ipungue au kumalizika kabisa

Wasalaam ni Mimi ndugu yako.

Hii nchi inakwenda anticlockwise
 
Inategemea na unakotoka mkuu Kuna sehemu kuvuka Kwa Barabara ni Shida sana alafu ni mbali
Poleni, hapa wa kulaumiwa ni jamii zetu za kiafrika kwakutokuwa na mipango endelevu halafu kutotatua matatizo kwa wakati kusubiri hadi kelele ziwe nyingi ama hadi kutokee majanga
 
Back
Top Bottom