Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Poleni sana wana Sirari!Wanasikitisha sana.Juzi juzi huku kwetu Tarime Vijini kulikuwa na mashindano ya mpira wa miguu kwa jina maarufu la WAIRA CUP.Cha ajabu baada ya fainali kulikuwa zawadi kwa mshindi wa kwanza Sirari na mshindi wa pili Nyamongo basi zao zote hao waliochukuwa zawadi zilipata ajali na kijana wa Sirari kufariki papo kwa papo.Kwenye mazishi yake Mbunge huyo alitoa pole na pesa lukuki kama faraja kwa wafiwa na tambo nyingi pamoja na vitisho kwa wale ambao hawakuridhika na ajali hizo.
VIvuko viwili vimepekekwa matengenezo, wameahidi kufikia Dec 2024 vitakuwa tayari, eti kimoja walidhanj matengenezo ya kawaida, kilipofika huko, wakaona na bati limeoza, ndio maana muda wa matengenezo umekuwa mrefu.Maza nchi inemshinda kila sehemu kumeoza nchi inanuka uozo tu
Asante sana.Ila inasikitisha sana.Poleni sana wana Sirari!
Katika vitu vimenichefua ni sakata la sukari mpaka Mbunge Mpina kaamua kufa nalo.Maza nchi inemshinda kila sehemu kumeoza nchi inanuka uozo tu
This is not acceptableTupazie sauti Sisi wakazi wa Kigamboni hali ya karudi majumbani kwetu ni mbaya Sana
Sasa tunalazimika kuvuka Kwa mitumbwi ya Kasia bila life jacket na Hali ya hewa ya mvua
Boti za Zanzibar na meli kubwa zikipita mawimbi yanakuwa makubwa mno yanaweza kufunika hii mitumbwi
Tusadie kupaza sauti ili Jambo la haraka lifanyike hii adha ya kurudi majumbani kwetu ipungue au kumalizika kabisa
Wasalaam ni Mimi ndugu yako.
Na ile TEXI FERI ya bakresa n tsh ngapi? Na malipo yake yanajitegemea? Naona inapiga kazi sanaHivi vidude ni elf moja
Awamu ya sita ni kichefuchefuKatika vitu vimenichefua ni sakata la sukari mpaka Mbunge Mpina kaamua kufa nalo.
SSH unamuonea tu bure!Maza nchi inemshinda kila sehemu kumeoza nchi inanuka uozo tu
Hapa hakuna kutetea wala kuonea mtu, ni kuusema ukweli kama ulivyo. Hawezi kujitoa maana hicho ni chao na amekuwa huko miaka mingi tuu na hakulazimishwa kuchukua nafasi aliyo nayo kakubali mwenyewe. Na lawama ya failure za serikali nilazima zimuelemee. Sasa unataka tumlaumu nani wakati yeye ni Mwenyekiti?SSH unamuonea tu bure!
Tatizo la msingi ni ccm
Unalaumu TAWI au mti na mizizi yake?Hapa hakuna kutetea wala kuonea mtu, ni kuusema ukweli kama ulivyo. Hawezi kujitoa maana hicho ni chao na amekuwa huko miaka mingi tuu na hakulazimishwa kuchukua nafasi aliyo nayo kakubali mwenyewe. Na lawama ya failure za serikali nilazima zimuelemee. Sasa unataka tumlaumu nani wakati yeye ni Mwenyekiti?
Kwanini msitimie barabara? ama iko mbali sanaTupazie sauti Sisi wakazi wa Kigamboni hali ya karudi majumbani kwetu ni mbaya Sana
Sasa tunalazimika kuvuka Kwa mitumbwi ya Kasia bila life jacket na Hali ya hewa ya mvua
Boti za Zanzibar na meli kubwa zikipita mawimbi yanakuwa makubwa mno yanaweza kufunika hii mitumbwi
Tusadie kupaza sauti ili Jambo la haraka lifanyike hii adha ya kurudi majumbani kwetu ipungue au kumalizika kabisa
Wasalaam ni Mimi ndugu yako.
Hii nchi inakwenda anticlockwiseTupazie sauti Sisi wakazi wa Kigamboni hali ya karudi majumbani kwetu ni mbaya Sana
Sasa tunalazimika kuvuka Kwa mitumbwi ya Kasia bila life jacket na Hali ya hewa ya mvua
Boti za Zanzibar na meli kubwa zikipita mawimbi yanakuwa makubwa mno yanaweza kufunika hii mitumbwi
Tusadie kupaza sauti ili Jambo la haraka lifanyike hii adha ya kurudi majumbani kwetu ipungue au kumalizika kabisa
Wasalaam ni Mimi ndugu yako.
Inategemea na unakotoka mkuu Kuna sehemu kuvuka Kwa Barabara ni Shida sana alafu ni mbaliKwanini msitimie barabara? ama iko mbali sana
Poleni, hapa wa kulaumiwa ni jamii zetu za kiafrika kwakutokuwa na mipango endelevu halafu kutotatua matatizo kwa wakati kusubiri hadi kelele ziwe nyingi ama hadi kutokee majangaInategemea na unakotoka mkuu Kuna sehemu kuvuka Kwa Barabara ni Shida sana alafu ni mbali
So much so!Hii nchi inakwenda anticlockwise