Mtambachuo
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 1,907
- 3,560
Kama una mdogo wako wa kike awe makini aache tamaa ya mambo ambayo hana uwezo nayo, kwa sababu mabinti wengi wanaingia kwenye vishawishi vya kutembea na wanaume walio wazidi umri (Sugar dads) ili kupata fedha.
Pia mdogo wako wa kiume wa chuo mwambie afunge zipu asome kwani wengi wa wanachuo wenzao wakike wanakuwa nao lakini pia wanatembea na hiyo mibaba inayowarubuni kisa fedha zao.
Wazazi ni wajibu wa kuwa karibu na mwanao ili ujue anaendeleaje na jitahidi uzungumze nae mare kwa mara.
Serikali nayo inachangia kwa namna nyingine kwa kuto kutoa mikopo kwa wanafunzi wote na pia kuchelewesha kutoa mikopo hiyo kwa wakati.
Pia mdogo wako wa kiume wa chuo mwambie afunge zipu asome kwani wengi wa wanachuo wenzao wakike wanakuwa nao lakini pia wanatembea na hiyo mibaba inayowarubuni kisa fedha zao.
Wazazi ni wajibu wa kuwa karibu na mwanao ili ujue anaendeleaje na jitahidi uzungumze nae mare kwa mara.
Serikali nayo inachangia kwa namna nyingine kwa kuto kutoa mikopo kwa wanafunzi wote na pia kuchelewesha kutoa mikopo hiyo kwa wakati.