Mzuka wanajamvi!
Wa Ethiopia wengi walioko nje Diaspora wanapitia wakati mgumu sana kwasababu ya ndugu zao nyumbani wanayopitia.
Sasa hivi wengi hawajui kama ndugu zao wako hai au wamekufa. Simu zao hazipatikani wala kwenye mitandao ya jamii hawaonekani.
Hali imekuwa ya sintomfaham sasa hivi Addis Ababa. Wale wenye uwezo ndugu zao wako ulaya wanawatumia hela wananunua vyakula kwa jumla 'panic buying'. Licha ya kununua vyakula kwa jumla wananunua kwa kujificha usiku au gizani kwasababu watu wakikuona watakuvamia kwako na kuiba chakula chako.
Addis Ababa sasa hivi imejaa watu waliotoroka kutoka majimbo mengine kwenda kwa ndugu zao kwaajili ya usalama wao. Katika nyumba yenye chumba kimoja na sebule wanaishi watu siyo chini ya saba.
Juzi kati hapa kazini marafiki zangu wa Ethiopia mmoja mtigray na mwengine Amhara walipigana kisa tofauti zao kikabila. Lakini ukiwaonaga kwa sura wanafanana tu kuwatofautisha ni ngumu.
Ila katika uchunguzI wangu wanawatambua WaTigray kwa majina na kitambulisho. Vilevile wa Oromo.
Nimekaa nao hawa watu nakuwahoji sana tukiwa kazini kwa muda mrefu.
Oromo wengi wao ni wasomi sana na maprofesa ila washamba. Yani wanaitwa watu wa porini barbaric. Muoromo anaweza kujenga nyumba akaipaka rangi ya kijani pinki njano toka kwenye paa ukutani hadi chini. Muoromo wanadai hajwajui kuwa smart hata kwa mavazi licha ya hata akiwa amesoma sana. Wan ile inferiority complex. Wakowako kivyako vyao hadi wameanzisha benki zao.
WaTigray ni wachache ila ni wafanya biashara mashuhuri sana na wana hela nyingi na mali. Majumba na maghorofa mengi Addis Ababa yalikuwa yao ila yote wameporwa sasa hivi. Wana madharau sana nakujiona juu.
Hii chuki imedumu miongo na miongo. Mungu asipoingilia kati kutatokea uchinjaji wa aina yake.
Nitawaletea uzi mwengine kutoka Cameroon maisha yao na uhasama.
Source simulizi za wa Ethiopia wenyewe nafanya nao kazi.
Wa Ethiopia wengi walioko nje Diaspora wanapitia wakati mgumu sana kwasababu ya ndugu zao nyumbani wanayopitia.
Sasa hivi wengi hawajui kama ndugu zao wako hai au wamekufa. Simu zao hazipatikani wala kwenye mitandao ya jamii hawaonekani.
Hali imekuwa ya sintomfaham sasa hivi Addis Ababa. Wale wenye uwezo ndugu zao wako ulaya wanawatumia hela wananunua vyakula kwa jumla 'panic buying'. Licha ya kununua vyakula kwa jumla wananunua kwa kujificha usiku au gizani kwasababu watu wakikuona watakuvamia kwako na kuiba chakula chako.
Addis Ababa sasa hivi imejaa watu waliotoroka kutoka majimbo mengine kwenda kwa ndugu zao kwaajili ya usalama wao. Katika nyumba yenye chumba kimoja na sebule wanaishi watu siyo chini ya saba.
Juzi kati hapa kazini marafiki zangu wa Ethiopia mmoja mtigray na mwengine Amhara walipigana kisa tofauti zao kikabila. Lakini ukiwaonaga kwa sura wanafanana tu kuwatofautisha ni ngumu.
Ila katika uchunguzI wangu wanawatambua WaTigray kwa majina na kitambulisho. Vilevile wa Oromo.
Nimekaa nao hawa watu nakuwahoji sana tukiwa kazini kwa muda mrefu.
Oromo wengi wao ni wasomi sana na maprofesa ila washamba. Yani wanaitwa watu wa porini barbaric. Muoromo anaweza kujenga nyumba akaipaka rangi ya kijani pinki njano toka kwenye paa ukutani hadi chini. Muoromo wanadai hajwajui kuwa smart hata kwa mavazi licha ya hata akiwa amesoma sana. Wan ile inferiority complex. Wakowako kivyako vyao hadi wameanzisha benki zao.
WaTigray ni wachache ila ni wafanya biashara mashuhuri sana na wana hela nyingi na mali. Majumba na maghorofa mengi Addis Ababa yalikuwa yao ila yote wameporwa sasa hivi. Wana madharau sana nakujiona juu.
Hii chuki imedumu miongo na miongo. Mungu asipoingilia kati kutatokea uchinjaji wa aina yake.
Nitawaletea uzi mwengine kutoka Cameroon maisha yao na uhasama.
Source simulizi za wa Ethiopia wenyewe nafanya nao kazi.