Hali ya maisha Ethiopia Inasikitisha sana, vibaka wanavamia nyumba za watu kuiba chakula

Hali ya maisha Ethiopia Inasikitisha sana, vibaka wanavamia nyumba za watu kuiba chakula

Haa wapi acha kabisa kuwapaka matope CCM hiki chama kimejitahidi kutujengea umoja hasa waasisi wale walitujengea msingi wa umoja ukasukwa na nondo kabisa.

Sisi makabila na siasa sio kipao mbele Sanaa ila dini sasa hapo tuwe makini kweli dini watanzania tunavurugwa kwa wepesi sana
Hata dini haiwezi...
Kinachoweza anzsha vta tz ni kimoja tu.
Simba vs Yanga... huu mlango ni rahisi kuutumia tatizo hauingiliki.
 
Watajiju bwana,,,

Acha 2pambane na libya tuhakikishe seif al islam anashika nchi.
 
Back
Top Bottom