STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,633
- 16,586
Nchi ya Ethopia imeingia laana za wayahudi na haitokuja kutulia tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata dini haiwezi...Haa wapi acha kabisa kuwapaka matope CCM hiki chama kimejitahidi kutujengea umoja hasa waasisi wale walitujengea msingi wa umoja ukasukwa na nondo kabisa.
Sisi makabila na siasa sio kipao mbele Sanaa ila dini sasa hapo tuwe makini kweli dini watanzania tunavurugwa kwa wepesi sana
Duuh,yqni chuki yao kubwa ni ukabila tu?
Hivi hata kuoana wanaoana kweli?
Na Somalia iliingia laana ya nani?Nchi ya Ethopia imeingia laana za wayahudi na haitokuja kutulia tena
Marekani si alienda akachezea kichapo au umeshasahau akabaki kuwapa silaha wapiganeNa Somalia iliingia laana ya nani?
Nchi ya Ethopia imeingia laana za wayahudi na haitokuja kutulia tena