Hali ya maisha Ethiopia Inasikitisha sana, vibaka wanavamia nyumba za watu kuiba chakula

Tza ukiwa na akili iliyochangamka huwezi kufa njaa
 
N
Oromo wengi wao ni wasomi sana na maprofesa ila washamba.
Ni Ile chuki tu kwani washamba kwa kigezo gani ama wao ndio wanaitoa standard za ushamba na ujanja.
Shida ni kujiona nyie ni Bora kuliko wengine na kuwadharau.afrika ukabila unatumaliza. Yaani tutagawanyika mpaka Kijiji kitakuwa nchi
 
Ethiopia noma umeme unakatika na kuwaka unakatika then unawaka tena, vita ni kitu cha hovyo kuwahi kukijua
 
WaTigray ni wachache ila ni wafanya biashara mashuhuri sana na wana hela nyingi na mali.
Ndio wanaowatukana wenzao kuwa ni masikini na babu zao hawakusoma walikuwa wanachunga ng'ombe na kucheza ngoma.
Wanajiona wao wenyewe ndio wanaostahili kuila keki ya Taifa Ila wengine ni washamba na malimbukeni.
Saivi wengine wamesoma wanaumia Sana
 
Na hao wanaokamatwa Tanzania wazamiaji kwenda Afrika kunisini ni kabila gani?
 
Ndio wanaowatukana wenzao kuwa ni masikini na babu zao hawakusoma walikuwa wanachunga ng'ombe na kucheza ngoma.
Wanajiona wao wenyewe ndio wanaostahili kuila keki ya Taifa Ila wengine ni washamba na malimbukeni.
Saivi wengine wamesoma wanaumia Sana
Wanajiita ukoo wa malkia Sheba (Sabaaa)
 
Amina,na sisi CCM tunasema,

Inshallah ALLAH atuongoze tuepuke majaribu ya kuvuruga kizuri tulichokuwa nacho (Amani).

Wabilahi Tawfiq.
 
Umeongea ukweli mtupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…