Haa wapi acha kabisa kuwapaka matope CCM hiki chama kimejitahidi kutujengea umoja hasa waasisi wale walitujengea msingi wa umoja ukasukwa na nondo kabisa.
Sisi makabila na siasa sio kipao mbele Sanaa ila dini sasa hapo tuwe makini kweli dini watanzania tunavurugwa kwa wepesi sana