Nicheki pm chapEthiopia Nchi yenye Ndege zaidi ya 120 kuliko Tanzania, Ethiopia ina Flyovers kuliko Tanzania, Ethiopia ina Tren ya Mwendo kasi kuliko Tanzania, Lakini Leo hii Waethiopia 28 na Wasomali 4, Wamekamatwa Wilayani Pangani, Wakijaribu kutoroka kwenda Kujitafutia Maisha Nchi za Kusin
Halafu maccm yanajisifu bila aibu, fyoko fyoko fyoko ndegeeeeee
Wanaenda kutafuta maisha, ungejiunga nao, ukaoshe wazee Ulaya, wakati mapori ya kilimo na ufugaji yapo tele TZ, unataka Serikali ikugawie pesa na ukoo wako. Hakuna nchi inayofanya hivyo duniani. Jitume kijana. Usipofanyakazi huwezi kula.Ethiopia Nchi yenye Ndege zaidi ya 120 kuliko Tanzania, Ethiopia ina Flyovers kuliko Tanzania, Ethiopia ina Tren ya Mwendo kasi kuliko Tanzania, Lakini Leo hii Waethiopia 28 na Wasomali 4, Wamekamatwa Wilayani Pangani, Wakijaribu kutoroka kwenda Kujitafutia Maisha Nchi za Kusin
Halafu maccm yanajisifu bila aibu, fyoko fyoko fyoko ndegeeeeee
Kazi yetu Ni kupiga kura hayo mengine tutajua hapohapoNimeota ujue hata mkipiga kura, wasimamizi wa uchaguzi hawatatangaza mpinzani kama ilivyokuwa serikali za mitaa na chaguzi zilizorudiwa.
Ndoto yangu ni ya ukweli kwa hiyo tujiandae kisaikolojia miaka mingine 5 kuwa na huyu jamaa unless Mungu aingilie kati tu.
Na safari hii atafanya anachotaka, hata viboko mtapigwa heeeee
Watu wa jamiiforums wanaishi wapi? Magufuli watu hawampendi ila wanaogopa kuongea hadharani ,majibu Ni 28/10Hahahahh
Niwaambie MAGUFULI Anachukiwa Mitandao Tuu tena Sana Sana Jamii forum Na Twitter
Kwa Ground Mambo Ni tofauti endeleeni kujipa Mioyo
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Kosa kubwa hilo kapige kuraNimekata tamaa kupiga kura kutokana na mwonekano wa NEC. Inaonekana hata mgombea nimtakaye akishinda hatatangazwa
wewe lazima utakuwa mvivu.Sasa ni dhahiri kuwa hali ya maisha Tanzania inakatisha tamaa. Ni ngumu mno kiwango cha juu kinachokera na kuumiza.
Pamoja na ulofa mtu aliokuwa nao lakini tangu aamke asubuhi mpaka jioni atakuwa amefuatwa na watu wasiopungua 5 waliomfuata wakiomba mkopo huku yeye mwenyewe pia akiwa katika msako wa mkopo.
Yaani kila mmoja anamfikiria mwenzake labda ana unafuu fulani, kumbe siyo.
Wote tupo kwenye msoto mkali. Miaka 5 ya utawala huu imetufikisha hapa! Sasa wanakuja tena kuomba kura eti wamenunua ndege!
Tuna JAMBO LETU 28/10/2020.
Ok, so kiongozi alikuwa nani chini ya chama gani?Hatuangalii chama tunaangalia kiongozi mkuu wa chama
Chadema chini ya Dr slaa ilikua bora ila sio sasa
mkimchagua tena hali itakuwa ngumu mara tano ya sasa donor country hawamtaki hana ufahamu na mambo ya uchumi wala mahusiano ya kimataifa,katika miaka mitano iliyopita alikuta miundo mbinu ya kiuchumi ya JK hii mitano tena ni 5 solid take my pointSasa ni dhahiri kuwa hali ya maisha Tanzania inakatisha tamaa. Ni ngumu mno kiwango cha juu kinachokera na kuumiza.
Pamoja na ulofa mtu aliokuwa nao lakini tangu aamke asubuhi mpaka jioni atakuwa amefuatwa na watu wasiopungua 5 waliomfuata wakiomba mkopo huku yeye mwenyewe pia akiwa katika msako wa mkopo.
Yaani kila mmoja anamfikiria mwenzake labda ana unafuu fulani, kumbe siyo.
Wote tupo kwenye msoto mkali. Miaka 5 ya utawala huu imetufikisha hapa! Sasa wanakuja tena kuomba kura eti wamenunua ndege!
Tuna JAMBO LETU 28/10/2020.
Timiza wajibu wako, piga kura ya kumkataa shetani na kazi zake, kazi ya kulinda kura waachie kina Lisu wenyeweNimekata tamaa kupiga kura kutokana na mwonekano wa NEC. Inaonekana hata mgombea nimtakaye akishinda hatatangazwa
CCM hawana jipya uwezo wao kiuchumi nadipo walipofikia sanasana watakijibu kwamba fanya Kazi acha kubeti ama ulikuwa unapiga diliSasa ni dhahiri kuwa hali ya maisha Tanzania inakatisha tamaa. Ni ngumu mno kiwango cha juu kinachokera na kuumiza.
Pamoja na ulofa mtu aliokuwa nao lakini tangu aamke asubuhi mpaka jioni atakuwa amefuatwa na watu wasiopungua 5 waliomfuata wakiomba mkopo huku yeye mwenyewe pia akiwa katika msako wa mkopo.
Yaani kila mmoja anamfikiria mwenzake labda ana unafuu fulani, kumbe siyo.
Wote tupo kwenye msoto mkali. Miaka 5 ya utawala huu imetufikisha hapa! Sasa wanakuja tena kuomba kura eti wamenunua ndege!
Tuna JAMBO LETU 28/10/2020.
Kama hujui hata mimi ukinikuta mtaani namsifu Magufuli, Tanzania imegeuzwa Polisi state.Nakuuliza tuu Nani MATAGA !?
Wanaishi Duniani
Nikufafanulie nilichotaka ufahamu Mimi binafsi nikiingia Mitandaoni (JF na Twitter) Asilimia Kubwa ndipo napokutana na watu wanao mkashifu MAGUFULI Ni mara chache Sanaaa Huku mtaani kuona mtu/watu wamekaa wana mkashifu Magufuli Sio kwnye Daladala, Sokoni,Madukani nk
Zaidi Utaskia tuu Magufuri jembe, Mzee hataki mchez Safi Sana, Jamaa kanyoosha nchi na mengineyo
Huo Ni mtazamo wang Mimi Kama unao wako wa tofaut I won't mess with it [emoji276][emoji276]
Haa wewe unaombwa nyingi SanaMimi kwa siku napangua mizinga (vibomu ) vya kuombwa hela na wadada zaidi ya 6 wengine hata sio wapenz wangu ila bas tu ukionesha kumzoea anaomba hela. Kunasiku nlikua naandika nikakuta mpaka jioni inasoma 350,000 za kuombwa tu huyu kaomba 15, huyu kaomba 30, yule 20 in total ilisoma 350 nikasema what if ningetoa? Na kesho unaamka na request zingine . Maisha yamekaza sana
kuna hatua walizo chukua huyu jamaa zimetufikisha hapa huwezi ondoa wafedha kwenye mzunguko abrupt na hukuukirebisha sheria mbalimbali biashara,huu mfumo aliwekaDaudi Balali wakes na accountzatra kwenye mabenki zilistimulate uchumi saanaLini hali ya maisha iliwahi kuwa RAHISI ? Kwa mifumo na utamaduni wa waafrika kuuondoa umasikini kwa watu wengi itachukua muda sana.Iwezo wetu wa kufikiri unatia shaka.
Njoo ununue vitunguu huku vimejaa hakuna wanunuzi. Wanunuzi walikuwa Wakenya, bwana yule kagombana na Uhuru Kenyatta biashara imeota mbawa. Vitunguu vinaozea shambani. Tunapokuambia hali ni ngumu ujue ni ngumu kwelikweli.wewe lazima utakuwa mvivu.
sisi tuko lundamatwe tunalima vitunguu na nyaya na tunauza freshi kabosaa wewe upo umekaa kijiweni unapiga soga!!
acha kulemaa nenda ukalime usikae kijiweni