Uchaguzi 2020 Hali ya maisha mtaani ni ngumu mno

Uchaguzi 2020 Hali ya maisha mtaani ni ngumu mno

Mjini mnatafuta nini wajameni? Acha kuishi mjini kwa kubangaiza mtu anatembeza mikanda 3 ya suruali, key holder kuanzia jua linachomoza hadi giza linaingia eti naye anasema vyuma vimekaza! Njoo huku kijijini maisha raha na hivi tumepatiwa umeme wa REA, barabara za lami na treni za umeme zinakaribia kuja, nk maziwa, viazi, mahindi, misosi ya kumwaga!

Nje ya mada: Kumbe Trump wa Marekani Tangu awe rais amelipa kodi ya US$ 750 tu? Urais ni dili!!
JPM akijibu swali langu nampigia kura yangu kwanini Serekali ilijiondoa kwenye Mkataba wa kuendesha Mambo yake kwa uwazi?
 
Ndio taifa analotengeneza Lissu hili. Wewe shinda mitandaoni uone kama utakula hizo MB.Mungu hadhihakiwi, apandacho mtu huvuna. Tegemea hali uliyonayo, kuongezeka mara dufu usipochukua hatua.
Lisu ataleta Uhuru na maendeleo,bila Uhuru hakuna maendeleo
 
Hahahahh
Niwaambie MAGUFULI Anachukiwa Mitandao Tuu tena Sana Sana Jamii forum Na Twitter

Kwa Ground Mambo Ni tofauti endeleeni kujipa Mioyo
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Ninachokiona Mbeya Jiji, JPM ft. Rayvany....na maneno yako hakika mitandaoni na kwenye ground ni vitu viwili tofauti
 
Sasa ni dhahiri kuwa hali ya maisha Tanzania inakatisha tamaa. Ni ngumu mno kiwango cha juu kinachokera na kuumiza.

Pamoja na ulofa mtu aliokuwa nao lakini tangu aamke asubuhi mpaka jioni atakuwa amefuatwa na watu wasiopungua 5 waliomfuata wakiomba mkopo huku yeye mwenyewe pia akiwa katika msako wa mkopo.

Yaani kila mmoja anamfikiria mwenzake labda ana unafuu fulani, kumbe siyo.

Wote tupo kwenye msoto mkali. Miaka 5 ya utawala huu imetufikisha hapa! Sasa wanakuja tena kuomba kura eti wamenunua ndege!

Tuna JAMBO LETU 28/10/2020.
Magufuli ana mshahara wa milion 10 per month, anatumia public funds kwa malazi, mavazi, ulinzi, matibabu na kila aina ya mahitaji.

kapora hekari 25000 ngara.

Na ufisadi wa kila aina.


Leo machinga wa mbeya mjini anaambiwa kitambulisho cha umachinga kitatumika kuombea mkopo benk.


Dharau ya aina hii hadi lini kwa wananchi?

Au kwa sababu wanachi wengi hawajui kanuni na vigezo vya mabenk kutoa mikopo?


He is seriousless.
 
Nakuuliza tuu Nani MATAGA !?

Wanaishi Duniani
Nikufafanulie nilichotaka ufahamu Mimi binafsi nikiingia Mitandaoni (JF na Twitter) Asilimia Kubwa ndipo napokutana na watu wanao mkashifu MAGUFULI Ni mara chache Sanaaa Huku mtaani kuona mtu/watu wamekaa wana mkashifu Magufuli Sio kwnye Daladala, Sokoni,Madukani nk
Zaidi Utaskia tuu Magufuri jembe, Mzee hataki mchez Safi Sana, Jamaa kanyoosha nchi na mengineyo

Huo Ni mtazamo wang Mimi Kama unao wako wa tofaut I won't mess with it [emoji276][emoji276]
Mkuu mtaani ukimsema vibaya huyo mtukufu JIWE lazima ikutokee puani, ukiamua kumzungumzia andaa ngonjera za kumsifu tu. Alijindanganya baada ya kutosikia yeyote akisema vibaya kuhusu jiwe au ccm na wakadhani upinzani umekufa, sasa kinachotokea hawaamini kabisa mpaka wameomba msaada kwa tumeccm

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Magufuli ana mshahara wa milion 10 per month, anatumia public funds kwa malazi, mavazi, ulinzi, matibabu na kila aina ya mahitaji.

kapora hekari 25000 ngara.

Na ufisadi wa kila aina.


Leo machinga wa mbeya mjini anaambiwa kitambulisho cha umachinga kitatumika kuombea mkopo benk.


Dharau ya aina hii hadi lini kwa wananchi?

Au kwa sababu wanachi wengi hawajui kanuni na vigezo vya mabenk kutoa mikopo?


He is seriousless.
Hiki kitambulisho cha machinga hakina tofauti yoyote na kitambulisho cha mwanafunzi anachopewa akifika shuleni form one au five,


Wanasiasa tuache dharau kwa wapiga kura wetu
 
Maisha hayajawahi kuwa mepesi, ugumu upo na utaendelea kuwepo hata raisi awe malaika.
Hakuna raisi atayekuletea ugali mezani, pamoja na huo ugumu unaosema Goba sasa hivi imejaa nyumba za hatari.
Mkuu uko serious na hii comment au unafanya utani? Kama siyo utani basi wewe ni MATAGA.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Mtaani hatuwezi kusema kitu,, tuna hofu na watu wasiojulikana
We can't breathe but we can't say
"" "sir I can't breathe ''
Mwambie huyo MATAGA, yeye anadhani asiposikia watu wakilalamika mtaani basi anadhani hali ni shwari. Amuulize jiwe aliyejiaminisha kuwa upinzani umekufa baada ya kutosikia lolote baya juu yake.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Sasa ni dhahiri kuwa hali ya maisha Tanzania inakatisha tamaa. Ni ngumu mno kiwango cha juu kinachokera na kuumiza.

Pamoja na ulofa mtu aliokuwa nao lakini tangu aamke asubuhi mpaka jioni atakuwa amefuatwa na watu wasiopungua 5 waliomfuata wakiomba mkopo huku yeye mwenyewe pia akiwa katika msako wa mkopo.

Yaani kila mmoja anamfikiria mwenzake labda ana unafuu fulani, kumbe siyo.

Wote tupo kwenye msoto mkali. Miaka 5 ya utawala huu imetufikisha hapa! Sasa wanakuja tena kuomba kura eti wamenunua ndege!

Tuna JAMBO LETU 28/10/2020.
Kulikua na wananchi wengi sana tena zaidi ya sasa waliokua na hali mbaya zaidi miaka mingi iliyopita mijini nq vijijini. Hawakua na barabara za kupita masika wala kiangazi, hawakua na huduma za afya, elimu, umeme wala maji. Tena hao wananchi ni ndugu zetu, jirani zetu lakini hapakua na wa kuwasaidia kupaaza sauti
Leo hii wanaelewa nani wampe kura zao

Tukutane 28102020
 
Maisha hayajawahi kuwa rahisi.. Labda kwenye awamu zilizipita ulikuwa bado kijana mdogo na wazazi wako walikuwa wanakupa kila ulicho kihitaji ndio maana hukuona kama maisha ni magumu.
By the way pamoja na hayo, simama kwenye mataa Mwenge uhesabu magari mapya yaliyoingizwa nchini ndani ya miezi 6, utashangaa na kujiuliza hawa wamepata wapi pesa! Ukienda maeneo yanayochipukia utasikia kiwanja kinauzwa milioni ishirini na few days later kimechukuliwa.. Majengo wanayojenga watu si ya nchi hiii.. Fanya juhudi, omba Mungu akushushie neema ili siku moja nawe utoke kimaisha!
 
Kulikua na wananchi wengi sana tena zaidi ya sasa waliokua na hali mbaya zaidi miaka mingi iliyopita mijini nq vijijini. Hawakua na barabara za kupita masika wala kiangazi, hawakua na huduma za afya, elimu, umeme wala maji. Tena hao wananchi ni ndugu zetu, jirani zetu lakini hapakua na wa kuwasaidia kupaaza sauti
Leo hii wanaelewa nani wampe kura zao

Tukutane 28102020
Kipindi hawana hayo uliyosema je chama gani kilikuwa madarakani?
Pathetic

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Hatuangalii chama tunaangalia kiongozi mkuu wa chama
Chadema chini ya Dr slaa ilikua bora ila sio sasa
Ethiopia Nchi yenye Ndege zaidi ya 120 kuliko Tanzania, Ethiopia ina Flyovers kuliko Tanzania, Ethiopia ina Tren ya Mwendo kasi kuliko Tanzania, Lakini Leo hii Waethiopia 28 na Wasomali 4, Wamekamatwa Wilayani Pangani, Wakijaribu kutoroka kwenda Kujitafutia Maisha Nchi za Kusin

Halafu maccm yanajisifu bila aibu, fyoko fyoko fyoko ndegeeeeee
 
Maisha hayajawahi kuwa mepesi, ugumu upo na utaendelea kuwepo hata raisi awe malaika.
Hakuna raisi atayekuletea ugali mezani, pamoja na huo ugumu unaosema Goba sasa hivi imejaa nyumba za hatari.
Ni kweli lakini tatizo lichangiwa na Vijana wengi kukosa ajira
 
Kwa
Ethiopia Nchi yenye Ndege zaidi ya 120 kuliko Tanzania, Ethiopia ina Flyovers kuliko Tanzania, Ethiopia ina Tren ya Mwendo kasi kuliko Tanzania, Lakini Leo hii Waethiopia 28 na Wasomali 4, Wamekamatwa Wilayani Pangani, Wakijaribu kutoroka kwenda Kujitafutia Maisha Nchi za Kusin

Halafu maccm yanajisifu bila aibu, fyoko fyoko fyoko ndegeeeeee
Kwani hamuwezagi kuandika vizuri bila kutumia hizo lugha za "fyoko fyoko fyoko"?

Kwanza useme umetumia vigezo gani kufananisha Ethiopia na Tanzania?
 
Tunapaswa kuingia mtaani na kufanya chochote hadi haki ipatikane, tusitegemee tume ya uchaguzi hakuna kitu pale.
Wakati wa maandamano ya mange ulijificha wapi😂😂😂😂😂
 
Sasa ni dhahiri kuwa hali ya maisha Tanzania inakatisha tamaa. Ni ngumu mno kiwango cha juu kinachokera na kuumiza.

Pamoja na ulofa mtu aliokuwa nao lakini tangu aamke asubuhi mpaka jioni atakuwa amefuatwa na watu wasiopungua 5 waliomfuata wakiomba mkopo huku yeye mwenyewe pia akiwa katika msako wa mkopo.

Yaani kila mmoja anamfikiria mwenzake labda ana unafuu fulani, kumbe siyo.

Wote tupo kwenye msoto mkali. Miaka 5 ya utawala huu imetufikisha hapa! Sasa wanakuja tena kuomba kura eti wamenunua ndege!

Tuna JAMBO LETU 28/10/2020.
Fanyakazi, utafanikisha, usikae kijiweni utegemee kugongea hadi fegi.
 
Back
Top Bottom