Hali ya mjini hapa Dar es Salaam ni tofauti na nilivyofikiria

Hali ya mjini hapa Dar es Salaam ni tofauti na nilivyofikiria

Kweli mkuu wala sio uwongo....
Sema mi nipo sehemu hapa nemetega ki library ili nipate chochote kitu ila sasa naona kama wananchi wa hapa wanafanya life iwe ngumu sasa aahahah
Hapana fanya utafiti aina ya biashara ya kuwateka wakazi husika wa eneo hilo lazima ujue wanapenda nini,si kila biashara inafaa kila eneo.
Unaweza ukawalaumu na kuwaona nuksi kama hawakupendi kumbe shida ni aina ya biashara unayouza
 
Blood huyo ndo usimguse kabisa aiseee..
Ujasoma tuu comment zake jamaa kapambana sana ukiona mchanganuo wake utamuonea huruma
Dah biashara blood siwezi kukataa inataka moyo Ila huo mji nauheshimu sana Mimi hapo zamani uliwahi kuniadhibu vibaya mno haukunionea huruma kuwa huyu ni wa kwetu Ila Mungu akanijalia nikafungukia mkoani basi hapo nakuja kuvimba nikiwaibia wanakijiji nakuja kuwavimbia mabinamu na wajomba wanabaki kusema nina hela kumbe nina kheri tu
 
Kwani unapitia hali gani hebu funguka nielewe. Nia yako uninyime ajira wewe
Hali ya dar kipindi nipo mkoani walisema huku ajira kama zote.
Pia kuna connection.
Nikapata na wana kabisa.
Ila nimetia timu kila.mdau anasema yupo bize.

Watu wa huku nimekuta ni wachoyo mtu anapika ugali kidogo.
Watu wanakula mara mbili kwa siku

Mambo ni mengi demi we acha yuu bora kupumua
 
Hapana fanya utafiti aina ya biashara ya kuwateka wakazi husika wa eneo hilo lazima ujue wanapenda nini,si kila biashara inafaa kila eneo.
Unaweza ukawalaumu na kuwaona nuksi kama hawakupendi kumbe shida ni aina ya biashara unayouza
Mi nafosi hapa mkuu najua mpaka ndni ya mwezi mmoja takua na title tayari tuseme inshaallah ahahah
 
Dah biashara blood siwezi kukataa inataka moyo Ila huo mji nauheshimu sana Mimi hapo zamani uliwahi kuniadhibu vibaya mno haukunionea huruma kuwa huyu ni wa kwetu Ila Mungu akanijalia nikafungukia mkoani basi hapo nakuja kuvimba nikiwaibia wanakijiji nakuja kuwavimbia mabinamu na wajomba wanabaki kusema nina hela kumbe nina kheri tu
Mkuu mjini hapa wee acha tuu..
Ningeenda mkoani ila nataka nifikie kitu fulani kwanza ndo nitaenda huko mkoani najua huko kuna fursa sana.

Pia kuna kiasi fulani sijakigusa hiki kinanipa jeuri hapa kidgo
 
Hali ya dar kipindi nipo mkoani walisema huku ajira kama zote.
Pia kuna connection.
Nikapata na wana kabisa.
Ila nimetia timu kila.mdau anasema yupo bize.

Watu wa huku nimekuta ni wachoyo mtu anapika ugali kidogo.
Watu wanakula mara mbili kwa siku

Mambo ni mengi demi we acha yuu bora kupumua
Cha kufanya urudi huko mkoani ulikotoka😀😀
 
Kuna aina fulani za biashara zina pesa ila wewe bado haujazigundua hebu tafuta wachaga wawili wa maeneo hayo kisha waulize hivi hapa nikitaka kutoboa niweke biashara gani watakupa michanganuo😊
Tajaribu mkuu maana hapa nikisema nianze na biashara nyingine ni sawa na kuanza tena zero alafu nikipiga hesabu na hv vifaaa aaaah mkuu unaweza kufa puresha
 
Back
Top Bottom