Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawalea watoto wa udomuLishangazi mimi nimehamia Dodoma, nawalea vijana wa bodaboda
Yule sio muuza madafuAnatumia na chain kabisa..
Bongo hapa ni akili tu..
Sijui na mimi nijilipue tuu niwe famous nipite hvi mkuu...
Au Vishu Mtata unaonaje hii
Ilikua biashara gani maeneo gani tupeane codeNina wiki ya 2 sasa toka nimefunga biashara yangu ngoja nijipange upya kweli mjini pazito asee🙌🙌
Utafilisika ukiwaendekezaMkuu hapa mtaani watoto wapo kama wote ila sasa naona kama taweka rehani biashara yangu.
Maana jana tu nimechekea mdada kasepa na flash 32GB kwa 5k mpya.
Nikabaki nacheka tuu
Biashara ya chips mkuu mitaaa ya kinondoni ManyanyaIlikua biashara gani maeneo gani tupeane code
Acha uchawi mkuuInategemeana na Bahati ya mtu, mfano mimi nilianzisha biashara ya kuuza madafu, baada ya mwezi nikapata tenda ya kuuza madafu ikulu. Ikulu dafu moja wananunua laki 3 .
Upimwe mkojoNilikuwa napigia nyeto sometimes
Huyo atakuwa si wa ChakeChake....Sisi wa Chakechake ni wagumu sana....Tukianzisha jambo letu - huwa hatukati tamaa...Kuna ndugu yako mpemba pale mbezi luis alifungua mgahawa
Baada ya miezi mitatu akakimbia
Siku hizi tumamwona anajiita shehe
Sawa madam nipo tayari kuja hukoYeah!!!
Yule ni nani mkuu mbona unataka maisha yaonekane magumuYule sio muuza madafu
Leo nimekaza maana amekuja kataka movies bure nimemwambia hapana siwezi.Utafilisika ukiwaendekeza
Biashara haitaki wanawake mkuu ,bora hata ujiunge kwa kina dronedrake kama haujaoa biashara itaenda vizur.Mkuu hapa mtaani watoto wapo kama wote ila sasa naona kama taweka rehani biashara yangu.
Maana jana tu nimechekea mdada kasepa na flash 32GB kwa 5k mpya.
Nikabaki nacheka tuu
Mkuu nilichogundua hawa wanwake sijui wana nguvu za namna gani..Biashara haitaki wanawake mkuu ,bora hata ujiunge kwa kina dronedrake kama haujaoa biashara itaenda vizur.
Mkuu nilishafanya biashara mpka za minada ya kuzunguka , ukiendekeza chini utakua unazungusha shanga tu apo mjini.Mkuu nilichogundua hawa wanwake sijui wana nguvu za namna gani..
Hapa naweza kukubaliana na wewe kuwa nitakua nakaza ila cha ajabu akifika tuu na kuanza kucheka aisee mi tayari nashindwa kabisa kukaza sasa sijui nifanyaje mkuu wangu
Mkuu naheshimu saba ushauri wako na naufanyia kazi.Mkuu nilishafanya biashara mpka za minada ya kuzunguka , ukiendekeza chini utakua unazungusha shanga tu apo mjini.
Mkuu minnakaza usinichukukie poa.Tunza jicho la Tatu 😂