Hali ya mjini hapa Dar es Salaam ni tofauti na nilivyofikiria

Hali ya mjini hapa Dar es Salaam ni tofauti na nilivyofikiria

Biashara haitaki wanawake mkuu ,bora hata ujiunge kwa kina dronedrake kama haujaoa biashara itaenda vizur.
Mkuu nilichogundua hawa wanwake sijui wana nguvu za namna gani..

Hapa naweza kukubaliana na wewe kuwa nitakua nakaza ila cha ajabu akifika tuu na kuanza kucheka aisee mi tayari nashindwa kabisa kukaza sasa sijui nifanyaje mkuu wangu
 
Mkuu nilichogundua hawa wanwake sijui wana nguvu za namna gani..

Hapa naweza kukubaliana na wewe kuwa nitakua nakaza ila cha ajabu akifika tuu na kuanza kucheka aisee mi tayari nashindwa kabisa kukaza sasa sijui nifanyaje mkuu wangu
Mkuu nilishafanya biashara mpka za minada ya kuzunguka , ukiendekeza chini utakua unazungusha shanga tu apo mjini.
 
Mkuu nilishafanya biashara mpka za minada ya kuzunguka , ukiendekeza chini utakua unazungusha shanga tu apo mjini.
Mkuu naheshimu saba ushauri wako na naufanyia kazi.
Ila kiukweli haoa mjini kuna mambo ya ajabu sana an na hali hii bado kuna wadada wanapita na wewe wanataka kukuchuna.

Sasa hapa nasemaje watachuna mifupa
 
Back
Top Bottom