Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
- Thread starter
- #421
Shukrani mkuu, zetu duaHongera Mkuu 🙏
Vijana wengi wanafeli kwenye uaminifu, na kwakukosa kwao uaminifu imepelekea washindwe kuaminika Kila mahali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani mkuu, zetu duaHongera Mkuu 🙏
Vijana wengi wanafeli kwenye uaminifu, na kwakukosa kwao uaminifu imepelekea washindwe kuaminika Kila mahali
Daaaah aiseeeeeAnatumika kuwatoa kwenye reli mbugira wa kibongo.
Siasa uchwara tu zile.
Weee jamaa are very....dmlee kwa njia ya mtandao, a.k.a Online😭😭
Daaah na gali unalo mkuuDah fakeni nimecheka Hadi nimesaha kujaza gari langu mafuta.
Unataka nichague kazi mkuuKwa mshahara wa 260,000 utafanya kazi?
Kila mtu anatoa ushauri wake
Ongea kitu kijanaNi mimi mkuu
Hii haitojirudia tena na hata ikirudua badi jua lazima ataondoka na 4GB sio 32Unachanganya mambo binafsi na biashara? Utaumia
Ndio mkuu na muvi za kihindi bila kusahau taarabuHahaha unarusha singeli kwenye memory na flash
Mods wamenikosea sana aiseee uzi unaitwa MJINI PAZITO wenyewe wameleta jina refu sijui wameagizwaMods wengine wanajikuta Kina nani sijui!
Uzi huu title yake ya kwanza ndio imefanya mpaka ikafikisha hizi coments 400 ila mtu anaamua tu kubadilisha title.
Nyimbo za taarabu alizoimba mama samia unazo nije unirushieNdio mkuu na muvi za kihindi bila kusahau taarabu
Huko kucheka kwako ndio kunakufanya uone biashara ngumu!!Mkuu hapa mtaani watoto wapo kama wote ila sasa naona kama taweka rehani biashara yangu.
Maana jana tu nimechekea mdada kasepa na flash 32GB kwa 5k mpya.
Nikabaki nacheka tuu
Zipo za mdogo ake mama samia anaitwa ashura mikausho na rahma machupa...Nyimbo za taarabu alizoimba mama samia unazo nije unirushie
Wee jamaa hayajakukuta.Huko kucheka kwako ndio kunakufanya uone biashara ngumu!!
Na utacheka sana….!!!!
tatzo hujiongezi fundi 😂😂fundi bishoo unanipita tuu fundi mwenzako hapa ahahaha
Sio mabishoo jau sana nyie..tatzo hujiongezi fundi 😂😂