Ni nuksi kakaYaaani hao TRA kila siku tunakimbizana nao mkuu hali ni TEte aiseee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni nuksi kakaYaaani hao TRA kila siku tunakimbizana nao mkuu hali ni TEte aiseee
Kuna mdogo wangu amefunga biashara ya hardware na kuikimbia Dodoma mwezi huu , karudisha mpira kwa golikipa mwenyewe bila kupenda.Yaaani hao TRA kila siku tunakimbizana nao mkuu hali ni TEte aiseee
Jana tuu walipita huku... Tumbo lilikua joto aiseeee.Ni nuksi kaka
Aaaaah mkuu dodoma Napaheshimu sana.Kuna mdogo wangu amefunga biashara ya hardware na kuikimbia Dodoma mwezi huu , karudisha mpira kwa golikipa mwenyewe bila kupenda.
Alimaliza chuo mshua kampa mtaji akawa anapambana pale Dodoma ,ila mtifuano na hao wapuuzi wa TRA , umemtoa knock out
Anasema hali ni mbaya mno kwa wajasiriamali
Halafu nikitaka uboo naupata kwa njia gani?mlee kwa njia ya mtandao, a.k.a Online😭😭
Daaah yaaan...Halafu nikitaka uboo naupata kwa njia gani?
Serikali inasema tujiajiri unajiajir unakutana na TRA.Kuna mdogo wangu amefunga biashara ya hardware na kuikimbia Dodoma mwezi huu , karudisha mpira kwa golikipa mwenyewe bila kupenda.
Alimaliza chuo mshua kampa mtaji akawa anapambana pale Dodoma ,ila mtifuano na hao wapuuzi wa TRA , umemtoa knock out
Anasema hali ni mbaya mno kwa wajasiriamali
Kule sindo capital city mkuu pagumu tena?Aaaaah mkuu dodoma Napaheshimu sana.
Dodoma kwanza pakavu ahahaha yaani kule ili utoboe ni lazima mgumu by nature
Walikuacha salama?Jana tuu walipita huku... Tumbo lilikua joto aiseeee.
Mjini hapa ni akili tuu
Ni mambo ya hovyo..Serikali inasema tujiajiri unajiajir unakutana na TRA.
Mkuu nilivizia tuu mda wa kufungua aiseeeWalikuacha salama?
Hilo la ukuni ntakua nakuja mwenyewe personally kukukuna..Halafu nikitaka uboo naupata kwa njia gani?
Yaani ukisimama nchale ukikaa nchale mamameeeSerikali inasema tujiajiri unajiajir unakutana na TRA.
Afu wewe!!!Hilo la ukuni ntakua nakuja mwenyewe personally kukukuna..
kijana ana mawazo sana hata simamisha😭😭
Daaah yaaan...
Kuna watu hamuna huruma kabisa humu ahahah

Madame sio vzr voo
Haya bhanaMadame sio vzr voo
Kama wewe bado kijana bado una muda mwingi wa kupambana endelea kukaa hapo kama unaona kuna michongo mizuri. Uzuri wa dar mzunguko wa hela ni mkubwa sana sasa wewe pima maji kina chake kwanza mimi nime graduate mlimani miaka 32 iliyopita enzi zile tulikuwa na dhana kuwa mtu ukiwa na degree huwezi kwenda mikoani.Mkuu nashukuru sana kwa ushauri wako.
Inaelekea ni mtu safi sana kwa maneno yako tuu unaweza kujua wewe ni mtu wa namna gani..
Mkuu kwa sasa kama kijana ambaye najitafuta kwa hapa dar ni sehemu sahihi kwangu...
Ila sasa likija suala la nimejipata nina source permanent ya kupata pesa hapo jicho langu lita focus moja kwa moja mikoani.
.ila kwa sasa acha nipambane maana nishatake risk