Hali ya mjini hapa Dar es Salaam ni tofauti na nilivyofikiria

Daaah mkuu nina mengi ya kukuambia ila yote kwa yote shukrani sana kwa kuendelea kunipa moyo wa upambanaji na utafutaji..

Naamini kuna siku isiyo na jina tasahau yote haya maana kila kitu ni temporary hakuna kitu kina dumu daima kiwe kizuri au kibaya.

Zamani nilikua na akili ya kulaumu wazazi wetu kwanini hawakuingia katika mifumo huko hata jeshini kipindi hiko mambo ni bure ila sasa nimeona haitakua na maana ya kulalamika sana wakati nina nguvu na afya ambayo ni mtaji mkubwa kwa sisi ma hustle.

Tupo pamoja mkuu ngoja tuendelee kupambana
 
Dar nzuri Insta tu kwenye uhalisia asilimia kubwa ya watu ni njaa kali hasa wasanii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…