Hali ya Uhalifu mtaani kwa sasa inatisha. Waziri Mambo ya Ndani na Sirro mmeamua kushirikiana na majambazi?

Alikuwa IGP au DCI?
Alikuwa Rais ila IGP na DCI walikuwa wakimwakilisha kwenye ulinzi wa taifa, kwa kuwapa maelekezo ya nini cha kifanyike na kufuatilia utekelezaji wake,kwa ajili ya usalama wa raia na mali zao.
 
HATA MBUYU ULIANZA KAMA MCHICHA , ILA MCHICHA HAUJAWAHI KUWA MBUYU.

we ar waiting for time !!!
 
Wanakusanya Kodi buanaa 😅😅😅
I miss that moment of JP🥺🥺
 
Alikuwa Rais ila IGP na DCI walikuwa wakimwakilisha kwenye ulinzi wa taifa, kwa kuwapa maelekezo ya nini cha kifanyike na kufuatilia utekelezaji wake,kwa ajili ya usalama wa raia na mali zao.
Kwahiyo hao IGP na DCI walikuwa wanasikiliza amri zake tu na sio rais mwingine sio!
 
Kwahiyo hao IGP na DCI walikuwa wanasikiliza amri zake tu na sio rais mwingine sio!
Kwa wazamani naweza sema ndio kwa wa sasa, sijui ana manage vip vyombo vya dola au labda ww unajua wa sasa ana manage vp vyombo vya dola?
 
V
Kwa wazamani naweza sema ndio kwa wa sasa, sijui ana manage vip vyombo vya dola au labda ww unajua wa sasa ana manage vp vyombo vya dola?
Vyombo vyote vya ulinzi na usalama vimeapa kuwa na utii kwa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania na hilo lilirudiwa kusisitizwa na CDF siku ya mazishi ya Magufuli kule Chato,CDF alikuwa akizungumza kwa niaba ya wakuu wote wa vyombo vya ulinzi na usalama na imekuwa hivyo polisi,jwtz, magereza,uhamiaji na majeshi mengine yote yanafanya shughuli zao kwa utii mkubwa kwa rais lakini nyie masalia wa Magufuli kazi kila siku ni kutafuta kasoro na kulaumu tu.
Wote tumeshuhudia toka Mh Samia aingie madarakani ukiacha tukio lile la Hamza hakuna tukio lingine la kuvamiwa askari na kuuliwa kama ilivyokuwa wakati wa Magufuli lakini hilo hamlisemi.
Ila mmeona hilo tatizo la vibaka ambalo lipo miaka yote ndio jambo kubwa sana.
 
Lilikuwepo hatujakataa ila si kwa ukubwa kama wa sasa ndani kipindi kifupi. Nyie si masalia wa Ufipa mnaona mkimsifia Magu kama mtapungukiwa kitu, ila hali ya sasa na kabla ina jieleza yenyewe.
 
Ujambazi hatukuwahi kuisha..labda kama akili za watanzania ni za panzi
 
Lilikuwepo hatujakataa ila si kwa ukubwa kama wa sasa ndani kipindi kifupi. Nyie si masalia wa Ufipa mnaona mkimsifia Magu kama mtapungukiwa kitu, ila hali ya sasa na kabla ina jieleza yenyewe.
Kamfufueni basi.
 
Kamfufueni basi.
Kumfufua kazi ya Mungu ila kwangu mimi ni moja ya Marais bora, wewe endelea kuumia mzee ufipa sisi tutaendelea kumsifia na ww hukatazwi kumchukia, kwani tokea kuumbwa kwa dunia hajawahi kutokea binadamu aliye pendwa na kila mtu.
 
Kumfufua kazi ya Mungu ila kwangu mimi ni moja ya Marais bora, wewe endelea kuumia mzee ufipa sisi tutaendelea kumsifia na ww hukatazwi kumchukia, kwani tokea kuumbwa kwa dunia hajawahi kutokea binadamu aliye pendwa na kila mtu.
Mimi siwezi kuumia kufa kwa muuaji na katili lilopitiliza ndio kwanza nafurahi kwa Mungu kutuepusha na balaa.
 
Huo mtizamo ila kwangu ndiye Rais bora.
Ndio ni mtizamo wangu pia ndio maana sioni jambo kubwa lilobadilika eti kwa sababu fulani hayupo nchi hii ina hazina kubwa ya viongozi japo wakati mwingine tunakosea kuchagua kiongozi sahihi kama ilivyokuwa 2015 katika kipindi kifupi tu cha uongozi wa Magufuli nchi imeyumba sana,kwangu hakuwa kiongozi sahihi.
 
Wewe huoni ila mimi naona na kuto kuona kwako haina maana hayatokei.

2015 kwangu tulichagua Rais sahihi aliyefanya mambo mengi kwa mda na ilikuwa stable.
 
Wewe huoni ila mimi naona na kuto kuona kwako haina maana hayatokei.

2015 kwangu tulichagua Rais sahihi aliyefanya mambo mengi kwa mda na ilikuwa stable.
Haya lakini ndio keshakufa.
 
Mtanikumbuka. Tena mtanikumbuka kwa mazuri na siyo kwa mabaya
 
Vitendo vya uhalifu vipo miaka yote, acheni kumpa pressure mama yetu mpendwa.

Team Sukuma Gang kubalini huu sio wakati wenu.
 
Ni heshima na uwajibikaji.

Huwezi kumkosea heshima raisi wa nchi halafu uviheshimu vyombo vya ulinzi na usalama.

Vivyo hivyo huwezi kuvidharau vyombo vya ulinzi na usalama na kisha umheshimu raisi wa nchi.

Heshima kwa amiri jeshi mkuu huenda sambamba na heshima kwa vyombo vyote vya ulinzi na usalama.

Uwajibikaji kwa vyombo vyetu khasa polisi ni kwamba haupo na wote wapo kazini kujilimbikizia mali na kuwabambikia kesi watu au kupora mali zao (uporaji wa mali za wamachinga wakti wa usiku).

Pengine (si wote) hao wahalifu wote ni ndugu, jamaa na marafiki wa askari wetu wa polisi, megereza na vyombo vingine vya ulinzi.
 
Utii bila wajibu na kutambua kazi yako ni bure.

Hiyo ndo hupelekea kuwepo nidhamu ya woga inozaa watu kuanza kufikiria mambo mazito na makubwa yanayoligharibu taifa kwa sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…