Hali ya usambazaji umeme nchini Tanzania,Kenya mna la kujifunza Tanzania

Hali ya usambazaji umeme nchini Tanzania,Kenya mna la kujifunza Tanzania

Ulivyo muongo unafaa uaibike....by the end of 2016 data from world bank ilkua inaonesha electricity access rate Kenya ilkua 60% na Tanzania 36%..haiezi kuwa in one year mmetoka from 36% to 68% na kuipiku kenya
East Africa on track to boost energy access, says World Bank
World Bank inakusanya ripoti kila baada ya muda gani?, hii taarifa iliyowekwa hapa ndiyo taarifa toka serikalini wenye jukumu la kusambaza umeme na kukusanya hizi taarifa na kuwapa hao WB ambao wanazisambaza. Kwa taarifa yako, by 2020/2, Tanzania itaungana na nchi zingine tano za Africa katika universal elecrification, sasa hivi about 70% ya population imeshaunganishwa na umeme.
 
Ulivyo muongo unafaa uaibike....by the end of 2016 data from world bank ilkua inaonesha electricity access rate Kenya ilkua 60% na Tanzania 36%..haiezi kuwa in one year mmetoka from 36% to 68% na kuipiku kenya
East Africa on track to boost energy access, says World Bank
Mtasubiri sana, Tanzania inazidi kupepea, hii taarifa ni by December 2016, Tanzania tulikuwa 67%. By December 2017 kiwango kimepanda hadi 75%, ninatafuta taarifa ya 2017 ili nikuletee
How Many Rural Tanzanians Have Power? – PesaCheck
 
Menu ya viroba imetikisa tzee asilimia 80 mazee...waswahili pumbafuuuu[emoji3] [emoji239]
214436_d90b2d100f91cba96378ea284ef33b74.jpg
 
Mtasubiri sana, Tanzania inazidi kupepea, hii taarifa ni by December 2016, Tanzania tulikuwa 67%. By December 2017 kiwango kimepanda hadi 75%, ninatafuta taarifa ya 2017 ili nikuletee
How Many Rural Tanzanians Have Power? – PesaCheck
MSAGA SUMU mwenzako huyo ameeka taarifa hapa bila hata ya yeye mwenyewe kuisoma. Hii ripoti inasema usambazaji wa umeme Tz ulikuwa 32.8%, as at Dec. 2016! Yeye anadanganya na kusema kuwa ulikuwa 67% hiyo 2016, kama wa Kenya, ambao ni wa 2017! Kenya yenyewe haikuwa imefikia hapo hiyo 2016! Usambazaji wa umeme Kenya ulikuwa 55%, as at Dec. 2016! Hehehe 😀 Kumbuka link na taarifa kazileta yeye mwenyewe! Ntarejea na link ya takwimu za Kenya, za kweli, sio hizo longolongo za huyo lofa joto la jiwe!
 
World Bank inakusanya ripoti kila baada ya muda gani?, hii taarifa iliyowekwa hapa ndiyo taarifa toka serikalini wenye jukumu la kusambaza umeme na kukusanya hizi taarifa na kuwapa hao WB ambao wanazisambaza. Kwa taarifa yako, by 2020/2, Tanzania itaungana na nchi zingine tano za Africa katika universal elecrification, sasa hivi about 70% ya population imeshaunganishwa na umeme.
Tanzania Mainland Poverty Assessment: A New Picture of Growth for Tanzania Emerges
 
Kenya has electrified at a rate never seen before in the last three years. Even without cooked data from interested parties, i am sure we have zero to learn from Tanzania in terms of connectivity
Tanzania electric connectivity by December 2016 was 67.5%, Kenya was 60% only, you must learn from Tanzania whether you like or not
How Many Rural Tanzanians Have Power? – PesaCheck
 
Ungeodoa Kenya ukatueleza hali ilivyo, unaleta mambo ya Simba na Yanga kwenye ishu za kimaendeleo, ni lazima tujilinganishe na Kenya? Mbona hujilinganishi na role model wetu uchwara Rwanda?
 
Ungeodoa Kenya ukatueleza hali ilivyo, unaleta mambo ya Simba na Yanga kwenye ishu za kimaendeleo, ni lazima tujilinganishe na Kenya? Mbona hujilinganishi na role model wetu uchwara Rwanda?
Iyo ni mihemko yako tu ya kisiasa Rwanda sio role model wetu na hajawahi kuwa labda kwako pekeyako
 
How Many Rural Tanzanians Have Power? – PesaCheck
Acha akili za ulevi wa miraa, Tanzania is always far ahead of you
Leo nimekubali wewe ni chizi flani tu. Uliitisha source, nimekupa hiyo ya Kenya ya 2016, connectivity, 55%. Sasa kama hii link ulioweka hapa inasema Tz electricity connectivity is 32.8% as at Dec. 2016! mwaswast, somea huyu jamaa hii link aloiweka hapa juu. Au ucopy paste tuichambue sote! Nimechoshwa na huyu zero brain!
 
Leo nimekubali wewe ni chizi flani tu. Uliitisha source, nimekupa hiyo ya Kenya ya 2016, connectivity, 55%. Sasa kama hii link ulioweka hapa inasema Tz electricity connectivity is 32.8% as at Dec. 2016! mwaswast, somea huyu jamaa hii link aloiweka hapa juu. Au ucopy paste tuichambue sote! Nimechoshwa na huyu zero brain!
Kati ya watu wapumbavu wewe ni namba moja, source ya Kenya inapaswa kuzungumzia taarifa za Kenya, na source ya Tanzania inapaswa kutoa taarifa za Tanzania, source ya Kenya inasema by 2016 Kenya ina 55%, wakati source ya Tanzania inasema by December 2016, Tanzania ilikuwa na 67.5%, sasa kwanini unataka taarifa za Tanzania zitolewe na sources za Kenya?. Hilo ni tatizo la watu kunyonya maziwa ya mbwa wakati wa utotoni. Usilazimishe mambo, Tanzania imeunganisha umeme kwa watu wengi kuliko Kenya, kumnuka 67.5% ya Tanzania ni sawa na 90% ya Kenya in absolute number, endeleeni kuisoma namba.
 
MSAGA SUMU mwenzako huyo ameeka taarifa hapa bila hata ya yeye mwenyewe kuisoma. Hii ripoti inasema usambazaji wa umeme Tz ulikuwa 32.8%, as at Dec. 2016! Yeye anadanganya na kusema kuwa ulikuwa 67% hiyo 2016, kama wa Kenya, ambao ni wa 2017! Kenya yenyewe haikuwa imefikia hapo hiyo 2016! Usambazaji wa umeme Kenya ulikuwa 55%, as at Dec. 2016! Hehehe 😀 Kumbuka link na taarifa kazileta yeye mwenyewe! Ntarejea na link ya takwimu za Kenya, za kweli, sio hizo longolongo za huyo lofa joto la jiwe!
Ahhha hhaa hapo ndio kuna point unamiss,sikia hii,ukisikia Tanzania umeme vijijini ni 36% maana yake Tanzania umeme coverage iko kwenye 50% kama sio 60%.vijijini maana yake Mwanza, Mbeya,Arusha,Tanga ,Mbeya and all the metropos zinakuwa hazijawa included,as per today umeme Tanzania umeme vijiji 8000 hazijui kuwasha vibatari maana umeme upo Kila sehem na mwaka huu lap ya mwisho kuvifikia vijiji 4000 or less ndo umeanza,leteni shirika lenu la stima waje kujifunza how we do it
 
Back
Top Bottom