Hali ya vyama vya Siasa Tanzania katika Picha

Kupitia mchoro huo nimegundua kuwa kuna watu wana hasira hatari,....sijui kwanini?!!!!!!!
 
Chama kimebaki ccm tu bna, kimeshawaminya wenzie wote.

Nipo kwenye harakati nipate kadi yao ili na mimi nilambe asali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…