passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
Unauhakika?Ndugu
ACHA wale, nyakati zao ni za muda mfupi SANA!
Muda sio mrefu tutasahau kuwa kama haya yaliwahi KUTOKEA!
ACHA wale ni WAKATI WAO!
Mungu ibariki Tanzania nchi yetu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unauhakika?Ndugu
ACHA wale, nyakati zao ni za muda mfupi SANA!
Muda sio mrefu tutasahau kuwa kama haya yaliwahi KUTOKEA!
ACHA wale ni WAKATI WAO!
Mungu ibariki Tanzania nchi yetu!
Makatibu wa CCM wilaya karibu nchi nzima wanatoka Tanga? Aisei...sikuwa najua. Weka mkeka hapa tuwajue na wilaya wanazotoka huko Tanga.🙏🙏🙏Juma Aweso ni mpigaji Waziri mkuu hajui na hakumbuki.
Juma Aweso aliwahi kumfukuza kazi Engineer wa Maji wilaya ya monduli, baada ya Miezi michache Juma Aweso akapokea chake akaweka mfukoni sasa tunavyoongea Engineer yuko kazini na Ana endelea na Wizi ule ule.
So Huyo mtumishi anayemtaja haja Jose’s yuko sawa.
Juma Aweso ni Kati ya wagombea urais kupitia CCM mwaka 2030 JUMA AWESO amejiandaa.
Juma’ AWESO Huyo Huyu aliwahi kumrubuni Dc wa wilaya yake Akawa mke wa pili .
1. Fedha Za miradi ya maji yote Unaishi a mkoa wa Tanga kupitia Juma Aweso.
2. Fedha Za umeme na miradi ya umeme yote Unaishi a mkoa wa Tanga kupitia kwa January makamba.
3. Fedha Za afya na miradi ya afya yote Unaishia mkoa wa Tanga kupitia Waziri Ummy Mwalimu.
Kwa maelezo Haya hapo juu, Piga au 2030 Urais kupitia CCM unatokea mkoa wa TANGA, ukiunganisha na doti kuwa Makatibu wa ccm wa wilaya karibia nchi nzima wametokea mkoa wa Tanga.
Kuweni makini na Juma Aweso , Ummy Mwalimu na January makamba watu wa ccm.
USHAURI WA BURE: Wizara 3 zenye bajeti kubwa na miradi mikubwa Tanzania ni AFYA, NISHATI NA MAJI ilikuwaje wizara hizi zote mawaziri wote watokee mkoa mmoja?
Wapanguliwe haraka iwezekanavyo, Hali sio shwari.
Wakati hela zinapelekwa Kitovuni Chato bila kufuata taratibu za serikali, hiyo mifumo haikuwepo? Au bwana Semtawa (Na wewe ni wa kutoka Tanga?) unatetea kwa kuwa nyumbani kumetajwa?Hao mawaziri wanaweza kweli kuamua hivyo kirahisi ktk nchi yenye mfumo imara wa uongozi wa dola kama hii?
🤣Mkome!
Na mtaibiwa sana tu!
Mnatoa Rais mnaweka midoli mnategemea nini
Untouchable,tuzidi kuomba ahamishwe .ila yeye, Riz wan na aeshi ni best friends.tusahauHata Mimi nimemshangaa.
Huyu Kama Ni system hawezi kufukuzwa ndio maana nae anajizungusha tuu hapa Kama Mwendazake alivyokuwa anajizungusha kwa wale Ma Ded walionunua ma v8 kwa Pesa za Wananchi kwa mil.400..
Yupo Mwingine Sumbawanga ana shutuma kibao huwa haguswi kila RC anaondoka yeye Ila huyu haguswi,alikuja Kinana wakamsema huyu Ded lakini yupo tuu..
Inakuwa kama yeye ndio hakimu sasa yaani haileti sense kabisaJe kazi hizo hazina wenyewe? Waziri mkuu anapaswa kusimamia masuala ya ukuaji wa uchumi, ajira na maendeleo. Kipimo cha Waziri mkuu cha utendajicha utendaji ni kipi?
Police na ,Takukuru walikuwa wapi?
Mambo ya viroba mnajua ninyi mlipokuwa mnawatoa hao.Sasa ulitaka Majaliwa amuweke kwenye kiroba?
Kuanzia babu, baba, watoto, wajukuu, vitukuu na vilembwe wote mijambaziUkoo wa panya
Kuanzia babu, baba, watoto, wajukuu, vitukuu na vilembwe wote mijambazi
kwakweli nchi yetu si masikini.Ila viongozi wanaifanya kuwa masikini.Mbaya zaidi anayeiba anaonywa tu na kuhamishwa badala ya kushtakiwa na kulipa.
Kaka hata Mwendakuzimu alifikiri angesalia milele. Ni kweli huyu AWEZO ni mwizi na mla rushwa mkubwa. Kila mtu anaemweka Kwa position amegawiwa fungu. Hafai hata chembe!Juma Aweso ni mpigaji Waziri mkuu hajui na hakumbuki.
Juma Aweso aliwahi kumfukuza kazi Engineer wa Maji wilaya ya monduli, baada ya Miezi michache Juma Aweso akapokea chake akaweka mfukoni sasa tunavyoongea Engineer yuko kazini na Ana endelea na Wizi ule ule.
So Huyo mtumishi anayemtaja haja Jose’s yuko sawa.
Juma Aweso ni Kati ya wagombea urais kupitia CCM mwaka 2030 JUMA AWESO amejiandaa.
Juma’ AWESO Huyo Huyu aliwahi kumrubuni Dc wa wilaya yake Akawa mke wa pili .
1. Fedha Za miradi ya maji yote Unaishi a mkoa wa Tanga kupitia Juma Aweso.
2. Fedha Za umeme na miradi ya umeme yote Unaishi a mkoa wa Tanga kupitia kwa January makamba.
3. Fedha Za afya na miradi ya afya yote Unaishia mkoa wa Tanga kupitia Waziri Ummy Mwalimu.
Kwa maelezo Haya hapo juu, Piga au 2030 Urais kupitia CCM unatokea mkoa wa TANGA, ukiunganisha na doti kuwa Makatibu wa ccm wa wilaya karibia nchi nzima wametokea mkoa wa Tanga.
Kuweni makini na Juma Aweso , Ummy Mwalimu na January makamba watu wa ccm.
USHAURI WA BURE: Wizara 3 zenye bajeti kubwa na miradi mikubwa Tanzania ni AFYA, NISHATI NA MAJI ilikuwaje wizara hizi zote mawaziri wote watokee mkoa mmoja?
Wapanguliwe haraka iwezekanavyo, Hali sio shwari.
Wafuasi wa JPM wanamchukulia kama malaika kwamba hakosei wakati teknolojia imehifadhi kila tukio la awamu ya tano.Hata Mimi nimemshangaa.
Huyu Kama Ni system hawezi kufukuzwa ndio maana nae anajizungusha tuu hapa Kama Mwendazake alivyokuwa anajizungusha kwa wale Ma Ded walionunua ma v8 kwa Pesa za Wananchi kwa mil.400..
Yupo Mwingine Sumbawanga ana shutuma kibao huwa haguswi kila RC anaondoka yeye Ila huyu haguswi,alikuja Kinana wakamsema huyu Ded lakini yupo tuu..
Wapumbavu sana hao wanaodhani kila mtu Ni mpumbavu Kama wale waliokuwa wanawaita wanyonge..Wafuasi wa JPM wanamchukulia kama malaika kwamba hakosei wakati teknolojia imehifadhi kila tukio la awamu ya tano.
Inakera kusoma mahali eti kama angekuwa Magufuli asingekubaliana na maamuzi haya. Kujitoa ufahamu.