Hali ya wizi Serikalini awamu ya Sita imevuka mipaka

Hali ya wizi Serikalini awamu ya Sita imevuka mipaka

Huyu hawezi kuguswa maana ni Afisa Mipango maalumu.Hapo atampatia kiwanja Diblo Dibala kwenye Prime area huko Katavi na mtamskia yupo Halmashauri ya Mkuranga maana huyo ni mzoefu wa kukata na kupima mapori tengefu🤣🤣🤣🤣
 
Juma Aweso ni mpigaji Waziri mkuu hajui na hakumbuki.

Juma Aweso aliwahi kumfukuza kazi Engineer wa Maji wilaya ya monduli, baada ya Miezi michache Juma Aweso akapokea chake akaweka mfukoni sasa tunavyoongea Engineer yuko kazini na Ana endelea na Wizi ule ule.

So Huyo mtumishi anayemtaja haja Jose’s yuko sawa.

Juma Aweso ni Kati ya wagombea urais kupitia CCM mwaka 2030 JUMA AWESO amejiandaa.

Juma’ AWESO Huyo Huyu aliwahi kumrubuni Dc wa wilaya yake Akawa mke wa pili .

1. Fedha Za miradi ya maji yote Unaishi a mkoa wa Tanga kupitia Juma Aweso.

2. Fedha Za umeme na miradi ya umeme yote Unaishi a mkoa wa Tanga kupitia kwa January makamba.

3. Fedha Za afya na miradi ya afya yote Unaishia mkoa wa Tanga kupitia Waziri Ummy Mwalimu.

Kwa maelezo Haya hapo juu, Piga au 2030 Urais kupitia CCM unatokea mkoa wa TANGA, ukiunganisha na doti kuwa Makatibu wa ccm wa wilaya karibia nchi nzima wametokea mkoa wa Tanga.

Kuweni makini na Juma Aweso , Ummy Mwalimu na January makamba watu wa ccm.

USHAURI WA BURE: Wizara 3 zenye bajeti kubwa na miradi mikubwa Tanzania ni AFYA, NISHATI NA MAJI ilikuwaje wizara hizi zote mawaziri wote watokee mkoa mmoja?

Wapanguliwe haraka iwezekanavyo, Hali sio shwari.
Makatibu wa CCM wilaya karibu nchi nzima wanatoka Tanga? Aisei...sikuwa najua. Weka mkeka hapa tuwajue na wilaya wanazotoka huko Tanga.🙏🙏🙏
 
Hao wanaofanya hayo madudu wanasimamiwa na CHADEMA ndiyo maana wako hivyo. CHADEMA wanapenda sana ufisadi.
 
Hao mawaziri wanaweza kweli kuamua hivyo kirahisi ktk nchi yenye mfumo imara wa uongozi wa dola kama hii?
Wakati hela zinapelekwa Kitovuni Chato bila kufuata taratibu za serikali, hiyo mifumo haikuwepo? Au bwana Semtawa (Na wewe ni wa kutoka Tanga?) unatetea kwa kuwa nyumbani kumetajwa?

Nchi mabilioni ya fedha za watanzania yamekuwa yakiibiwa kila mwaka wewe unakuja na mifumo imara isiyokuwepo!!
 
Hata Mimi nimemshangaa.

Huyu Kama Ni system hawezi kufukuzwa ndio maana nae anajizungusha tuu hapa Kama Mwendazake alivyokuwa anajizungusha kwa wale Ma Ded walionunua ma v8 kwa Pesa za Wananchi kwa mil.400..

Yupo Mwingine Sumbawanga ana shutuma kibao huwa haguswi kila RC anaondoka yeye Ila huyu haguswi,alikuja Kinana wakamsema huyu Ded lakini yupo tuu..
Untouchable,tuzidi kuomba ahamishwe .ila yeye, Riz wan na aeshi ni best friends.tusahau
 
Je kazi hizo hazina wenyewe? Waziri mkuu anapaswa kusimamia masuala ya ukuaji wa uchumi, ajira na maendeleo. Kipimo cha Waziri mkuu cha utendajicha utendaji ni kipi?

Police na ,Takukuru walikuwa wapi?
Inakuwa kama yeye ndio hakimu sasa yaani haileti sense kabisa


Huko kwenye maofisi kuna usalama wa taifa, polisi, takukuru, tume ya maadili, mwanasheria wa serikali wote hawa hakuna walichoona juu ya huyu mtendaji mwenzao wa serikali na kuchukua hatua haraka hadi asubiliwe wazir mkuu ndio aje kutoa hukumu.??
hii nchi hii ni shida isee..
 
Sheria ikibadilishwa watumishi wa UMMA waweze fukuzwa kazi.

Walipe hasara waliyosababishia serikali
 
Sasa ulitaka Majaliwa amuweke kwenye kiroba?
Mambo ya viroba mnajua ninyi mlipokuwa mnawatoa hao.
Na sababu mnajua kwa Nini mlikua mnafanya hivyo.
Mzee mmoja kaanza kuongea hovyo na ipo siku mtajitaja tu, (karma)

Msisingizie mtu mwingine.
Na kama ulipotelewa basi tangazA msiba watu wake wakufariji kwa kufiwa.
 

Attachments

  • C84C6F1A-1375-4BAB-A494-8911B671A7BD.jpeg
    C84C6F1A-1375-4BAB-A494-8911B671A7BD.jpeg
    77.8 KB · Views: 3
Juma Aweso ni mpigaji Waziri mkuu hajui na hakumbuki.

Juma Aweso aliwahi kumfukuza kazi Engineer wa Maji wilaya ya monduli, baada ya Miezi michache Juma Aweso akapokea chake akaweka mfukoni sasa tunavyoongea Engineer yuko kazini na Ana endelea na Wizi ule ule.

So Huyo mtumishi anayemtaja haja Jose’s yuko sawa.

Juma Aweso ni Kati ya wagombea urais kupitia CCM mwaka 2030 JUMA AWESO amejiandaa.

Juma’ AWESO Huyo Huyu aliwahi kumrubuni Dc wa wilaya yake Akawa mke wa pili .

1. Fedha Za miradi ya maji yote Unaishi a mkoa wa Tanga kupitia Juma Aweso.

2. Fedha Za umeme na miradi ya umeme yote Unaishi a mkoa wa Tanga kupitia kwa January makamba.

3. Fedha Za afya na miradi ya afya yote Unaishia mkoa wa Tanga kupitia Waziri Ummy Mwalimu.

Kwa maelezo Haya hapo juu, Piga au 2030 Urais kupitia CCM unatokea mkoa wa TANGA, ukiunganisha na doti kuwa Makatibu wa ccm wa wilaya karibia nchi nzima wametokea mkoa wa Tanga.

Kuweni makini na Juma Aweso , Ummy Mwalimu na January makamba watu wa ccm.

USHAURI WA BURE: Wizara 3 zenye bajeti kubwa na miradi mikubwa Tanzania ni AFYA, NISHATI NA MAJI ilikuwaje wizara hizi zote mawaziri wote watokee mkoa mmoja?

Wapanguliwe haraka iwezekanavyo, Hali sio shwari.
Kaka hata Mwendakuzimu alifikiri angesalia milele. Ni kweli huyu AWEZO ni mwizi na mla rushwa mkubwa. Kila mtu anaemweka Kwa position amegawiwa fungu. Hafai hata chembe!
 
Hata Mimi nimemshangaa.

Huyu Kama Ni system hawezi kufukuzwa ndio maana nae anajizungusha tuu hapa Kama Mwendazake alivyokuwa anajizungusha kwa wale Ma Ded walionunua ma v8 kwa Pesa za Wananchi kwa mil.400..

Yupo Mwingine Sumbawanga ana shutuma kibao huwa haguswi kila RC anaondoka yeye Ila huyu haguswi,alikuja Kinana wakamsema huyu Ded lakini yupo tuu..
Wafuasi wa JPM wanamchukulia kama malaika kwamba hakosei wakati teknolojia imehifadhi kila tukio la awamu ya tano.

Inakera kusoma mahali eti kama angekuwa Magufuli asingekubaliana na maamuzi haya. Kujitoa ufahamu.
 
Wafuasi wa JPM wanamchukulia kama malaika kwamba hakosei wakati teknolojia imehifadhi kila tukio la awamu ya tano.

Inakera kusoma mahali eti kama angekuwa Magufuli asingekubaliana na maamuzi haya. Kujitoa ufahamu.
Wapumbavu sana hao wanaodhani kila mtu Ni mpumbavu Kama wale waliokuwa wanawaita wanyonge..

Chini ya Mwendazake wizi wa kutosha umefanyina afu yanaongea upuuzi kisa wamemstahi mtu wao.
 
Back
Top Bottom