Juma Aweso ni mpigaji Waziri mkuu hajui na hakumbuki.
Juma Aweso aliwahi kumfukuza kazi Engineer wa Maji wilaya ya monduli, baada ya Miezi michache Juma Aweso akapokea chake akaweka mfukoni sasa tunavyoongea Engineer yuko kazini na Ana endelea na Wizi ule ule.
So Huyo mtumishi anayemtaja haja Jose’s yuko sawa.
Juma Aweso ni Kati ya wagombea urais kupitia CCM mwaka 2030 JUMA AWESO amejiandaa.
Juma’ AWESO Huyo Huyu aliwahi kumrubuni Dc wa wilaya yake Akawa mke wa pili .
1. Fedha Za miradi ya maji yote Unaishi a mkoa wa Tanga kupitia Juma Aweso.
2. Fedha Za umeme na miradi ya umeme yote Unaishi a mkoa wa Tanga kupitia kwa January makamba.
3. Fedha Za afya na miradi ya afya yote Unaishia mkoa wa Tanga kupitia Waziri Ummy Mwalimu.
Kwa maelezo Haya hapo juu, Piga au 2030 Urais kupitia CCM unatokea mkoa wa TANGA, ukiunganisha na doti kuwa Makatibu wa ccm wa wilaya karibia nchi nzima wametokea mkoa wa Tanga.
Kuweni makini na Juma Aweso , Ummy Mwalimu na January makamba watu wa ccm.
USHAURI WA BURE: Wizara 3 zenye bajeti kubwa na miradi mikubwa Tanzania ni AFYA, NISHATI NA MAJI ilikuwaje wizara hizi zote mawaziri wote watokee mkoa mmoja?
Wapanguliwe haraka iwezekanavyo, Hali sio shwari.