mapesa yamejaa
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 1,412
- 3,419
JPM ndio aliiweza TZ kwa akili kama hizi. Tembea huko mikoani uone yanayofanyika ondokana na hizi chuki zisizo na msingi.Samia ameiharibu sana Tanzania haijawahi kutokea tangu izaliwe.huyu bibi hakufaa kabisa kuwa rais ila basi tu kwa kuwa na katiba mbovu iliyotungwa na watu wabovu iliyosababisha kupata rais mbovu awamu ya sita
Nimetembea Tanzania nzima.Huko mikoani miradi mingi imesimama na watu wanazidi kutaabika tuJPM ndio aliiweza TZ kwa akili kama hizi. Tembea huko mikoani uone yanayofanyika ondokana na hizi chuki zisizo na msingi.
Bandari zinajengwa na nchi inafunguka sana, SSH haamini katika propaganda za kumiliki vyombo vyote vya habari na ndio maana hana umaarufu miongoni mwa watu.Nimetembea Tanzania nzima.Huko mikoani miradi mingi imesimama na watu wanazidi kutaabika tu
Unaushahidi au unaongea upuuzi Tu.Wapumbavu sana hao wanaodhani kila mtu Ni mpumbavu Kama wale waliokuwa wanawaita wanyonge..
Chini ya Mwendazake wizi wa kutosha umefanyina afu yanaongea upuuzi kisa wamemstahi mtu wao.
Ushahidi ninao wa eneo niliko ukiacha taarifa za magazetiUnaushahidi au unaongea upuuzi Tu.
Lakini hao wote wakibainika Rais Samia Suluhu lazima awachanie mkeka mama hana mchezo na pesa za ummaHata Mimi nimemshangaa.
Huyu Kama Ni system hawezi kufukuzwa ndio maana nae anajizungusha tuu hapa Kama Mwendazake alivyokuwa anajizungusha kwa wale Ma Ded walionunua ma v8 kwa Pesa za Wananchi kwa mil.400..
Yupo Mwingine Sumbawanga ana shutuma kibao huwa haguswi kila RC anaondoka yeye Ila huyu haguswi,alikuja Kinana wakamsema huyu Ded lakini yupo tuu..
Serikali ya Rais Samia Suluhu imekua ya moto sana hawa waliokua wamezoea upigaji wananyookaSikilizeni na JPM angewafukuza sasa wanabembelezwa
View attachment 2445538
===
Waziri Mkuu Mh.Kassim Majaliwa, amemuagiza Kamanda wa TAKUKURU mkoa wa Katavi, awachunguze watumishi wawili akiwemo Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Mazingira Mpanda {MUWASA}, Hussein Nyemba kwa tuhuma za kukiuka taratibu za manunuzi ya umma.
AWEZO si mwaminifu. Msanii anayejifanya kupanda boda wakati moyoni mwake anafahamu anajihusisha na rushwa ndogo ndogo na kubwa kubwaJuma Aweso ni mpigaji Waziri mkuu hajui na hakumbuki.
Juma Aweso aliwahi kumfukuza kazi Engineer wa Maji wilaya ya monduli, baada ya Miezi michache Juma Aweso akapokea chake akaweka mfukoni sasa tunavyoongea Engineer yuko kazini na Ana endelea na Wizi ule ule.
So Huyo mtumishi anayemtaja haja Jose’s yuko sawa.
Juma Aweso ni Kati ya wagombea urais kupitia CCM mwaka 2030 JUMA AWESO amejiandaa.
Juma’ AWESO Huyo Huyu aliwahi kumrubuni Dc wa wilaya yake Akawa mke wa pili .
1. Fedha Za miradi ya maji yote Unaishi a mkoa wa Tanga kupitia Juma Aweso.
2. Fedha Za umeme na miradi ya umeme yote Unaishi a mkoa wa Tanga kupitia kwa January makamba.
3. Fedha Za afya na miradi ya afya yote Unaishia mkoa wa Tanga kupitia Waziri Ummy Mwalimu.
Kwa maelezo Haya hapo juu, Piga au 2030 Urais kupitia CCM unatokea mkoa wa TANGA, ukiunganisha na doti kuwa Makatibu wa ccm wa wilaya karibia nchi nzima wametokea mkoa wa Tanga.
Kuweni makini na Juma Aweso , Ummy Mwalimu na January makamba watu wa ccm.
USHAURI WA BURE: Wizara 3 zenye bajeti kubwa na miradi mikubwa Tanzania ni AFYA, NISHATI NA MAJI ilikuwaje wizara hizi zote mawaziri wote watokee mkoa mmoja?
Wapanguliwe haraka iwezekanavyo, Hali sio shwari.
😷Yupo Mwingine Sumbawanga ana shutuma kibao huwa haguswi kila RC anaondoka yeye Ila huyu haguswi,alikuja Kinana wakamsema huyu Ded lakini yupo tuu..
Hao wanatimiza waliyoambiwa: "Kuleni kwa urefu wa kamba zenu."Sikilizeni na JPM angewafukuza sasa wanabembelezwa
View attachment 2445538
===
Waziri Mkuu Mh.Kassim Majaliwa, amemuagiza Kamanda wa TAKUKURU mkoa wa Katavi, awachunguze watumishi wawili akiwemo Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Mazingira Mpanda {MUWASA}, Hussein Nyemba kwa tuhuma za kukiuka taratibu za manunuzi ya umma.
Unawaruhusu, au ni sauti ya kukata tamaa!Ndugu
ACHA wale, nyakati zao ni za muda mfupi SANA!
Muda sio mrefu tutasahau kuwa kama haya yaliwahi KUTOKEA!
ACHA wale ni WAKATI WAO!
Mungu ibariki Tanzania nchi yetu!
Sio kweli, kuna jamaa alikuwa halmashauri anatoa leseni fake kwa muda wa miaka 4 amepiga kama 800mln baada ya kubainika aliamishwa tu.Serikali ya Rais Samia Suluhu imekua ya moto sana hawa waliokua wamezoea upigaji wananyooka