Hali ya zao la Korosho sokoni

Hali ya zao la Korosho sokoni

Hata kwa mkulima hamridhishi kwasababu ukipga gharama za uuandaji na hyo bei anatapa kiduchu sana
Hiyo bei kwa wakulima wenyewe sio mbaya, ndio bei wanayouzia, ila kwa wale wachuuzi wa kuungaunga (kambangwa) imekula kwao mwaka huu.
 
Hata kwa mkulima hamridhishi kwasababu ukipga gharama za uuandaji na hyo bei anatapa kiduchu sana
Uko sawa,mkulima hapa ataumia hasa anapopiga hesabu ya gharama alizozitumia na kile anachokipata,serikali iwaangalie hawa wakulima wa hili zao kwa jichio la pili...
 
Daaahhhh mpk natak kujihc nina nuksi yan nimeivest about mil 2+ kweny kukodi na uendeshaji wa mashamba yangu nikiangalia harvest hailizishi na bado nao wa mnada bei yake inazd kunichanganya akili tuu yan daaahhhhhhh it pains me much now maeneo ya kibiti na jaribu mpakan na baadhi ya maeneo ya pwani hapo aiseee badoo wanazipandisha tuu hope now watakuwa wameshusha dadekiii
 
New update
Kwa mara nyingine Leo Oct 23 wakulima wamegoma kuuza Korosho zao kwenye mnada wa pili uliofanyika Wilayani Nanyumbu(MAMCU)..Bei ya juu imeporomoka hadi Tsh 2520 kwa kilo na ya Chini Tsh 2000.

Jana wakulima waligomea pia mnada wa kwanza..Bei ya Juu ilifikia 2717.
 
*Hii taarifa imeanzia ivory coast*

Cashew nut farmers and exporters in Ivory Coast are seeing a slump in sales as Vietnamese exporters try to get out of contracts following a drop in world prices, an official said on Tuesday.

Ivory Coast is the world's top cashew nut producer with output of 770,000 tonnes expected this year. Exporters in Vietnam, which has a major cashew processing industry, buy 70 percent of that production.

International prices for cashews have dropped by nearly half since March after consumers in the United States and Saudi Arabia objected to high prices. In response, exporters want to pay less than the state-imposed price for this season.

"The contracts that the exporters signed have been called into question," Adama Coulibaly, the general director of Ivory Coast's cotton and cashew council, told Reuters. "The Vietnamese processors have seen their margin erode."

Coulibaly said Ivorian authorities were in discussions with the Vietnamese exporters to insist that they respect the contracts signed in February at the beginning of the cashew-growing season.

Women work at a cashew nut warehouse in Abidjan, Ivory Coast, July 12, 2018.
Women work at a cashew nut warehouse in Abidjan, Ivory Coast, July 12, 2018.

According to farmers and exporters, between 150,000 and 200,000 tons of cashew nuts have not been sold because exporters have not been willing to buy at the fixed price.

At a warehouse in the commercial capital Abidjan, thousands of bags full of raw cashews lay on the floor awaiting buyers.

Farmers, meanwhile, warned that they would consider switching to other crops if the current impasse persisted.

Ivory Coast's cashew sector employs about 450,000 growers and has been an important source of economic growth since the end of a brief civil war in 2011.

Authorities are hoping to increase the country's processing capacity from the current 100,000 tonnes per year to at least 300,000 tons by 2020 in order to make the sector less vulnerable to international market swings, Coulibaly said.

Wadau kuna data zaidi juu ya biashara hii mwaka huu itavyokuwa ?View attachment 867794
Hao wakulima niliwashangaa sana. Sasa bei inaweza kushuka zaidi.
 
New update
Kwa mara nyingine Leo Oct 23 wakulima wamegoma kuuza Korosho zao kwenye mnada wa pili uliofanyika Wilayani Nanyumbu(MAMCU)..Bei ya juu imeporomoka hadi Tsh 2520 kwa kilo na ya Chini Tsh 2000.

Jana wakulima waligomea pia mnada wa kwanza..Bei ya Juu ilifikia 2717.
Duh halafu tatizo bei ikianza kushuka huwa inashuka zaidi
 
New update
Kwa mara nyingine Leo Oct 23 wakulima wamegoma kuuza Korosho zao kwenye mnada wa pili uliofanyika Wilayani Nanyumbu(MAMCU)..Bei ya juu imeporomoka hadi Tsh 2520 kwa kilo na ya Chini Tsh 2000.

Jana wakulima waligomea pia mnada wa kwanza..Bei ya Juu ilifikia 2717.
Leo ni tarehe 24 mkuu!! au unareport news za jana?
 
Nenda kapime HIV
Ukimwi sio wa kuuogopa kiivyo! Wanausalimika wasiojua kusahau.

Nikirudi kwenye mada:-
Nilichoki quote kimepostiwa leo tarehe 24 rejea kisha uombe msamaha hadharani.
 
Leo tarehe 24/10/2018 umepigwa mnada mkoa wa Lindi ndani ya wilaya nachingwea katika chama kikuu cha RUNALI (Ruangwa,Nachingwea na Liwale) bei ya juu ni 2656 na bei ya chini ni 2200 ,nako wakulima wamegoma!!!!

Hivi wakishagoma kinafuata nn??
 
Issue kubwa iliyosababisha haya yote ni demand na supply basi ukielewa hayo unatulia tu

Kuna jamaa yangu alitaka naye kujiingiza kwenye hii biashara msimu Huu nadhani akizisikia hizi habari hatathubutu

Msimu uliopita ambao ulikuwa mzuri na bei juu ilitokana na uhaba wa korosho duniani huenda giants wa ulimaji wa korosho hawakuwa na msimu mzuri na supply yao ikawa ndogo hivyo kukawa na demand kubwa kufil gap lao hapo lazima bei ipande na kwa kuwa Tanzania tulikuwa nayo walikuja kununua huku kwa bei kubwa kwa sababu ilikuwa inalipa na wakulima wetu wakapata super normal profit hii profit iliwaattract wengi inawezekana hata walioacha kulima walilima na Wafanyabiashara wengi nao wakajiingiza huko wakitegemea nao watafaidika msimu huu

Kinyume chake msimu huu kwenye soko la dunia korosho imeshuka bei simply because walimaji wakuu wamekuwa na mavuno mazuri na hivyo supply yao imekuwa kubwa sana na hivyo demand imeshuka lazima bei nayo ishuke na itaendelea kushuka tu hata wale waliokuja kununua msimu uliopita hawawezi kuja maana korosho ipo ya kutosha kwa hiyo watabaki Wafanyabiashara wa ndani tu ambao nao hawawezi kununua yote na hivyo wakulima na Wafanyabiashara wategemee normal profit tu

Kwa hiyo wao wauze tu wasitegemee bei itapanda
 
Wanasiasa huwa hawaambii ukweli wakulima mfano RC wa Mtwara anadiriki kuwasifia wakulima kwa kukataa kuuza korosho. Jambo la kujiuliza yeye hakuwepo wakati inapagwa bei dira ambayo ni bei iliyokokotolewa kulingana na gharama za uzalishaji wa korosho katika mwaka husika. Yote kwa yote wakulima watazidi kulia watapoambia bei kila siku yazidi kushuka kutokana na uwepo wa korosho nyingi duniani huku idadi ya walaji haijaongezeka kwa sana.
 
Issue kubwa iliyosababisha haya yote ni demand na supply basi ukielewa hayo unatulia tu

Kuna jamaa yangu alitaka naye kujiingiza kwenye hii biashara msimu Huu nadhani akizisikia hizi habari hatathubutu

Msimu uliopita ambao ulikuwa mzuri na bei juu ilitokana na uhaba wa korosho duniani huenda giants wa ulimaji wa korosho hawakuwa na msimu mzuri na supply yao ikawa ndogo hivyo kukawa na demand kubwa kufil gap lao hapo lazima bei ipande na kwa kuwa Tanzania tulikuwa nayo walikuja kununua huku kwa bei kubwa kwa sababu ilikuwa inalipa na wakulima wetu wakapata super normal profit hii profit iliwaattract wengi inawezekana hata walioacha kulima walilima na Wafanyabiashara wengi nao wakajiingiza huko wakitegemea nao watafaidika msimu huu

Kinyume chake msimu huu kwenye soko la dunia korosho imeshuka bei simply because walimaji wakuu wamekuwa na mavuno mazuri na hivyo supply yao imekuwa kubwa sana na hivyo demand imeshuka lazima bei nayo ishuke na itaendelea kushuka tu hata wale waliokuja kununua msimu uliopita hawawezi kuja maana korosho ipo ya kutosha kwa hiyo watabaki Wafanyabiashara wa ndani tu ambao nao hawawezi kununua yote na hivyo wakulima na Wafanyabiashara wategemee normal profit tu

Kwa hiyo wao wauze tu wasitegemee bei itapanda
Just imaging west africa watu wamenunua korosho zikawatosha,mpaka zingine wameacha....!!!!

Vietnam ambapo kuna makampuni makubwa ya kubangua korosho, kuna big giant company zimefunga viwanda kwa sababu mbali mbali.

Soko lote la comodities limedorora sana mwaka huu...
 
Nimekwenda Mtwara kufuatilia hii biashara, nilichogundua ili uwe salama kwa biashara hii ni uwe mfanyabiasha mkubwa unaeweza kununua kwenye minada na kupeleka nje, na kama ni mfanyabiashara mdogo itakuwia ugumu sana kuzitafuta korosho kwa wakulima watakao kuuzia kilo 1,2, mpaka ukusanye zifike tani 10,20 ni majanga. Sasa wenyeji wanakushauri uwaachie pesa wao wakukusanyie huko vijijini wewe uondoke ukafanye mambo yako halafu wakisha kamilisha watakujulisha uje uchukue mzigo wako, hilo kwangu nimeona ni kubet, kumpa mtu milioni 10,20,+++, halafu uondoke!!??,
Fanya networking na watu unaowafahamu.After that, it means mtandao wako utakuwa na channel ya kazi.
 
Just imaging west africa watu wamenunua korosho zikawatosha,mpaka zingine wameacha....!!!!

Vietnam ambapo kuna makampuni makubwa ya kubangua korosho, kuna big giant company zimefunga viwanda kwa sababu mbali mbali.

Soko lote la comodities limedorora sana mwaka huu...
Kama wameanza kununua West Africa ina maana korosho yetu siyo first priority kwao ukilinganisha na zingine,

Kwa hiyo tuna kazi pia ya kuifanyia market korosho yetu ili when it come to choice kwa buyers waifikirie kwanza wizara inatakiwa ya kilimo inatakiwa kulishughulikia hili

Lakini kwa hali ilivyo sasa wakulima ili hali isije kuwa mbaya zaidi wakashangaa wanauza kwa bei ya chini zaidi kuliko ya sasa ni bora wakaiuza tu wasijekudhani bei itaimarika huko mbeleni
 
Back
Top Bottom