Hali ya zao la Korosho sokoni

Hali ya zao la Korosho sokoni

Kama wameanza kununua West Africa ina maana korosho yetu siyo first priority kwao ukilinganisha na zingine,

Kwa hiyo tuna kazi pia ya kuifanyia market korosho yetu ili when it come to choice kwa buyers waifikirie kwanza wizara inatakiwa ya kilimo inatakiwa kulishughulikia hili

Lakini kwa hali ilivyo sasa wakulima ili hali isije kuwa mbaya zaidi wakashangaa wanauza kwa bei ya chini zaidi kuliko ya sasa ni bora wakaiuza tu wasijekudhani bei itaimarika huko mbeleni
Tunapishana timing ya kuivisha na kuvuna. Wao wananza kisha tunakuja sisi mwishoni mwa mwaka. So hata wanunuzi wanaanza kule west zikiisha wanakuja huku east.

In terms of quality, korosho yetu ipo juu zaidi. Na kuna wateja wanaijua na wanaipenda sana hii ya kwetu.
 
Ukimwi sio wa kuuogopa kiivyo! Wanausalimika wasiojua kusahau.

Nikirudi kwenye mada:-
Nilichoki quote kimepostiwa leo tarehe 24 rejea kisha uombe msamaha hadharani.
Hujui kwamb inatumia masaa
Ungerud nyuma kimasaa ungejua ilikuw lin
Ila taarfa ndio hyo boss
 
Leo tarehe 24/10/2018 umepigwa mnada mkoa wa Lindi ndani ya wilaya nachingwea katika chama kikuu cha RUNALI (Ruangwa,Nachingwea na Liwale) bei ya juu ni 2656 na bei ya chini ni 2200 ,nako wakulima wamegoma!!!!

Hivi wakishagoma kinafuata nn??
Si kam wew unavyokata uza bidhaa yako kwa sababu za kimaslai
Ila watauza tuu hawan jeur
 
New update Lindi leo tarehe 25/10/2018
Mnada wa korosho leo lindi mwambao Bei ya juu 2400/- na ya chini 1950/- makampuni 15

Naomba kuwasilisha
 
New update Lindi leo tarehe 25/10/2018
Mnada wa korosho leo lindi mwambao Bei ya juu 2400/- na ya chini 1950/- makampuni 15

Naomba kuwasilisha
Vipi wananchi wamekubaliana na hali hiyo au wameendelea kugoma.
 
Inabidi tuwe tunaziprocess hapa hapa Bongo na kuziuza moja kwa moja Ulaya na Marekani.

Siyo tunawauzia Vietnam, India, halafu wao wanazi process na kuziuza Ulaya. Faida kubwa wanaipata wao.

Ili kufanya hivyo inabidi kuweka mazingira mazuri ya kuvutia kwa wawekezaji.
 
Mnada wa dharau umesitishwa hadi jumatatu 29/10
 
New update
28/10/2018
Screenshot_20181028-191044.jpeg
 
Back
Top Bottom