Nyangabo2022
Senior Member
- Nov 13, 2022
- 126
- 195
Kwa Morogoro pia hali si ya kiridhisha. Pia asilimia kubwa tunategemea mvua, lakini ni chache mno. Haswa huku maeneo ya Morogoro kaskazini.Kama kichwa Cha Uzi kinavyosomeka hapo juu, nimepta mara nyingi katika mbuga zilimwazo mpunga kuanzia Dodoma, Manyoni, Itigi, Igunga, Nzega, Kahama, Shinyanga na mkoa wa Mwanza Kwa kipindi kuanzia January Hadi March mwaka huu.
Nimepata picha kuwa mwaka huu tutakumbwa na uhaba mkubwa Sana kama sio mfumko wa bei ya Mchele pamoja na pumba lain Kwa wafugaji! Hii imekuja baada ya mvua kuwa haba nilizoea kuona maji yamejaa ktk maeneo tajwa kuanzia December had April tofaout na mwaka huu. Vp Hali ilvyo Kwa maeneo unayoyafahamu wewe? Toa maoni yako.
Kilimo ni biashara mkuu, usimpangie mtu. Supply and Demand ndio muamuzi.Sasa tuwe wakali na hawa wachuuzi viherehere wanaonunua mchele na kuuza nje as if sisi hatuna shida nao. Hawa dawa yao alikuwa magufuri tu mbwa hawa.
Wanakwenda kununua mchele wanauza nje as if sisi hatuhitaji.
Jambo la maana Sana umegusia, Kuna mwaka nliwah kufka morogoro vjjn eneo linaitwa mtombozi, mpunga umelimwa mlimani juu kabsa na umezaa mbegu za namna ile znakubali hata bonden? ZnaitwajeHuu ni muda sasa wa kuongeza utafiti na usambazaji wa mbegu za mpunga zinazolimwa maeneo ya miinuko (highland rice) badala ya kutegemea mpunga uzalishwe mabondeni pekee vinginevyo tutazidi kuumia na kulia
Mkuu hata mimi niliona basi nikaju ni hali ya hewa inaruhusu kumbe ni aina ya mbegu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jambo la maana Sana umegusia, Kuna mwaka nliwah kufka morogoro vjjn eneo linaitwa mtombozi, mpunga umelimwa mlimani juu kabsa na umezaa mbegu za namna ile znakubali hata bonden? Znaitwaje
Ile ni mbegu wenye kuijua jamn wakujeMkuu hata mimi niliona basi nikaju ni hali ya hewa inaruhusu kumbe ni aina ya mbegu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
UnaZuñgUMZia mazoea au uhalisia wa mwaka huu!?Mbeya mvua ipo. Nina iman mchele na mahindi ni vya kutosha Mwaka huu.
Pia mikoa ya Songea mahindi ni given. Moro mpunga na mazao mengine lazima wavune. Hio ndio mikoa inayolisha nchi nzima. Tuombe wavune tu.
UnaZuñgUMZia mazoea au uhalisia wa mwaka huu!?
[emoji23][emoji23]au uliona ngano! [emoji23]Mkuu hata mimi niliona basi nikaju ni hali ya hewa inaruhusu kumbe ni aina ya mbegu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]