Hali yako ya kimaisha ya sasa unaipa methali au msemo upi?

Hali yako ya kimaisha ya sasa unaipa methali au msemo upi?

"Si unajifanya kibri? Mwaka huu utakula jeuri yako mwana kumanina wee"

Hizo ni methali kutoka kwa mama wa kambo mabandidu huku Uswahilini. Na kweli miaka 5 hii tutakula jeuri zetu!
si unajikuta kibriai🤣🤣🤣
 
"KUA UYAONE"
Sasa nimekua najionea mwenyewe nilijua nikiwa na kazi na.kipato kizuri mengine yote yataenda sawa tuu, la hasha kazi ninayo lakini haifui dafu nakutana na changamoto mpaka nakaribia kuchanganyikiwa. Nyingine zinahitaji hela nyingine akili nyingine itabidi ujitoe ufaham kuzikabili, nyingine nguvu.
Basi maisha vurugu mechi
daah pole mkuu
 
duuuh kipi kimekukuta tena
Mkuu maana ya hii methali ni kutekeleza jambo kwa uhakika wa vile unavyoona inafaa bila kusitasita. Linapokuja swala la maamuzi magumu mie huwa sirudi nyuma na nashukuru Mola maamuzi hayo nayochukuaga hayajawahi niangusha.
 
Mkuu maana ya hii methali ni kutekeleza jambo kwa uhakika wa vile unavyoona inafaa bila kusitasita. Linapokuja swala la maamuzi magumu mie huwa sirudi nyuma na nashukuru Mola maamuzi hayo nayochukuaga hayajawahi niangusha.
sawa sawa mkuu
 
"Usipime kina cha maji kwa miguu yote miwili"! Aisee nimezama kabisa maisha magumu yaani "Tia maji tia maji"
"Usitukane/usimcheke mamba kabla hujavuka mto" nakumbuka nilivokua chuo nikiona mtu kamaliza chuo na hajapata kazi najiuliza kazi zote hizo zinazotangazwa why hawapati aargh mimi ntapata bana duh baada ya kumaliza sasa tobaa kaa sana mtaani hadi maji nikaita mma😀😀
 
"Usipime kina cha maji kwa miguu yote miwili"! Aisee nimezama kabisa maisha magumu yaani "Tia maji tia maji"
"Usitukane/usimcheke mamba kabla hujavuka mto" nakumbuka nilivokua chuo nikiona mtu kamaliza chuo na hajapata kazi najiuliza kazi zote hizo zinazotangazwa why hawapati aargh mimi ntapata bana duh baada ya kumaliza sasa tobaa kaa sana mtaani hadi maji nikaita mma😀😀
Umeipata hiyo kazi saiv?😅😅
 
"Usipime kina cha maji kwa miguu yote miwili"! Aisee nimezama kabisa maisha magumu yaani "Tia maji tia maji"
"Usitukane/usimcheke mamba kabla hujavuka mto" nakumbuka nilivokua chuo nikiona mtu kamaliza chuo na hajapata kazi najiuliza kazi zote hizo zinazotangazwa why hawapati aargh mimi ntapata bana duh baada ya kumaliza sasa tobaa kaa sana mtaani hadi maji nikaita mma😀😀
ni huzuni kwakweli
 
Back
Top Bottom