Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,862
- 6,438
- Thread starter
- #61
acha kufuja mali🤣🤣🤣Starehe gharama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha kufuja mali🤣🤣🤣Starehe gharama
kimekukuta nini mama umedhulumiwa au🤣🤣🤣Yote kheri
🤣🤣🤣"Hao wamisri hamtawaona tena"
si unajikuta kibriai🤣🤣🤣"Si unajifanya kibri? Mwaka huu utakula jeuri yako mwana kumanina wee"
Hizo ni methali kutoka kwa mama wa kambo mabandidu huku Uswahilini. Na kweli miaka 5 hii tutakula jeuri zetu!
🤣🤣🤣Mi 5 tena
wellIn quite moments Worship God Almighty, in painful moments Trust God Almighty.
daah pole mkuu"KUA UYAONE"
Sasa nimekua najionea mwenyewe nilijua nikiwa na kazi na.kipato kizuri mengine yote yataenda sawa tuu, la hasha kazi ninayo lakini haifui dafu nakutana na changamoto mpaka nakaribia kuchanganyikiwa. Nyingine zinahitaji hela nyingine akili nyingine itabidi ujitoe ufaham kuzikabili, nyingine nguvu.
Basi maisha vurugu mechi
na lako limetobokaDunia hadaa, Binadamu shujaa.
Dunia tambara bovu, Dunia simama nishuke.
Mkuu maana ya hii methali ni kutekeleza jambo kwa uhakika wa vile unavyoona inafaa bila kusitasita. Linapokuja swala la maamuzi magumu mie huwa sirudi nyuma na nashukuru Mola maamuzi hayo nayochukuaga hayajawahi niangusha.duuuh kipi kimekukuta tena
🤣🤣🤣Mla vyake si mroho
sawa sawa mkuuMkuu maana ya hii methali ni kutekeleza jambo kwa uhakika wa vile unavyoona inafaa bila kusitasita. Linapokuja swala la maamuzi magumu mie huwa sirudi nyuma na nashukuru Mola maamuzi hayo nayochukuaga hayajawahi niangusha.
Umeipata hiyo kazi saiv?😅😅"Usipime kina cha maji kwa miguu yote miwili"! Aisee nimezama kabisa maisha magumu yaani "Tia maji tia maji"
"Usitukane/usimcheke mamba kabla hujavuka mto" nakumbuka nilivokua chuo nikiona mtu kamaliza chuo na hajapata kazi najiuliza kazi zote hizo zinazotangazwa why hawapati aargh mimi ntapata bana duh baada ya kumaliza sasa tobaa kaa sana mtaani hadi maji nikaita mma😀😀
ni huzuni kwakweli"Usipime kina cha maji kwa miguu yote miwili"! Aisee nimezama kabisa maisha magumu yaani "Tia maji tia maji"
"Usitukane/usimcheke mamba kabla hujavuka mto" nakumbuka nilivokua chuo nikiona mtu kamaliza chuo na hajapata kazi najiuliza kazi zote hizo zinazotangazwa why hawapati aargh mimi ntapata bana duh baada ya kumaliza sasa tobaa kaa sana mtaani hadi maji nikaita mma😀😀
🤣🤣🤣Baada ya dhiki Faraja😌
Mkuu We Acha tu😌😌
Ungejiambia: Aiseeee sikia la mkuu!!!Asie sikia la mkuu ...... Yani hi najiambia mwenyewe.
🤣🤣🤣Ungejiambia: Aiseeee sikia la mkuu!!!