Thanks...In quite moments Worship God Almighty, in painful moments Trust God Almighty.
SIO LEO LABDA KESHO!Kila mtu anapitia ya kwake na kwa muda wake , vitu vingi vinatukwamisha ,vingi vinatujenga vingine vinatuabisha vingine vitupa moyo na furaha.
hivi kwamba hali yako ya maisha ya sasa ungeambiwa utumie methali,Nahau au msemo wowote kuielezea ungetumia METHALI au MSEMO Upi?
kwa Upande wangu mimi hali yangu ya sasa ningetumia
MAJI UKISHAYAVULIA NGUO SHARTI UYAOGE
Acha tu mkuu atleast nimepata kama sijapata vile! Still looking...😂Umeipata hiyo kazi saiv?😅😅
Good! Ila kuajiriwa dah😰Acha tu mkuu atleast nimepata kama sijapata vile! Still looking...😂
kuna mtu kashatusua huku🤣🤣Amtegemeae Mwenyezi Mungu. ..humtosha
🤣🤣🤣Dunia hadaa ulimwengu shujaa
🤣🤣🤣🤣Kuna methali mbili zinahitaji kuingizwa katika kitabu cha methali;
"Kwani nasema uongo ndugu zangu"
"Mi[emoji113] tena"
Hizi methali zimebeba uhalisia wa maisha chini ya huyu mkulungwa.
kweliisubira ya vuta heri
🤣🤣Baba mwenye nyumba....
na kakutahiriii kabisa🤣🤣🤣🤣 uchumi so mzuri akiiUchumi unaweza kukuchumu mpk ukasahau jinsia yko.. Kiukwel nimekutana na ngariba angali sina govi.
labda tutatoboaSIO LEO LABDA KESHO!