sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
FAHAMU MGANGA ANAKUPA UTAJIRI YEYE ANABAKI MASIKINI
Sababu kubwa kuliko zote mganga anajua madhara ya pesa za masharti, kwahiyo hawezi kuhatarisha maisha yake na familia yake.
Ukienda kwa mganga unataka utajiri atachofanya mganga anakuwa kama dalali wa kukuitia majini watakaokupa huo utajiri kwa masharti watakaopanga wao.
Kama unavyojua dalali lazima umlipe kwa kazi anayokufanyia ya kukurahisishia unachokitaka mganga naye utamlipa kiasi chake kwa shida uliyompelekea akuunganishe na wenye nacho.
Mashetanu na majiini hayahitaji malipo ya kumpa mtu utajiri kwa kulipwa riba ya pesa maana wanazo za kutosha, malipo wanayotaka huwa ni muhitaji wa pesa kumuua mtoto wake, kumuua mama yake, kumtia uchizi kaka yake, n.k.
dalali (mganga) anaweza kukuficha hali halisi siku za mwanzo ilimradi apate chake lakoni huko mbele utajua tu hakuna cha bure, ni kama vile dalali atakupeleka nyumba flani ambayo huwa inavuja mvua ikinyesha ila kwakua ni kiangazi hatakwambia ilimradi yeye apate pesa yake utapokubali kuishi hio sehemu utayoiona ipo shwari kwa wakati wa kiangazi, mvua ikianza kunyesha ndio ataanza kujifanya alisahau kukwambia au kujifanya ndio umemjuza, kwa mganga nae mwanzo atakwambia ulete kuku au mbuzi achinje huku akijua kabisa majini hayataridhika na yatahitaji damu hata ya mama yako kama sio kumtia uchizi.
Kuna watu wanalala kwenye majeneza na vitimbi vya kila aina, hata ukirudi kwa mganga kuomba avunje mkataba huwa ni ngumu maana una deni kwa jini na sio kwa mganga, hapo ili umalizane nalo unaweza kuambiwa uue baba yako, mama yako umtie uchizi, mdogo wako umsababishie ajali, ulale na mke wa kaka yako, umuingilie nguruwe, n.k. ili mradi tu kuwekewa ugumu wa kujinasua.
Sababu kubwa kuliko zote mganga anajua madhara ya pesa za masharti, kwahiyo hawezi kuhatarisha maisha yake na familia yake.
Ukienda kwa mganga unataka utajiri atachofanya mganga anakuwa kama dalali wa kukuitia majini watakaokupa huo utajiri kwa masharti watakaopanga wao.
Kama unavyojua dalali lazima umlipe kwa kazi anayokufanyia ya kukurahisishia unachokitaka mganga naye utamlipa kiasi chake kwa shida uliyompelekea akuunganishe na wenye nacho.
Mashetanu na majiini hayahitaji malipo ya kumpa mtu utajiri kwa kulipwa riba ya pesa maana wanazo za kutosha, malipo wanayotaka huwa ni muhitaji wa pesa kumuua mtoto wake, kumuua mama yake, kumtia uchizi kaka yake, n.k.
dalali (mganga) anaweza kukuficha hali halisi siku za mwanzo ilimradi apate chake lakoni huko mbele utajua tu hakuna cha bure, ni kama vile dalali atakupeleka nyumba flani ambayo huwa inavuja mvua ikinyesha ila kwakua ni kiangazi hatakwambia ilimradi yeye apate pesa yake utapokubali kuishi hio sehemu utayoiona ipo shwari kwa wakati wa kiangazi, mvua ikianza kunyesha ndio ataanza kujifanya alisahau kukwambia au kujifanya ndio umemjuza, kwa mganga nae mwanzo atakwambia ulete kuku au mbuzi achinje huku akijua kabisa majini hayataridhika na yatahitaji damu hata ya mama yako kama sio kumtia uchizi.
Kuna watu wanalala kwenye majeneza na vitimbi vya kila aina, hata ukirudi kwa mganga kuomba avunje mkataba huwa ni ngumu maana una deni kwa jini na sio kwa mganga, hapo ili umalizane nalo unaweza kuambiwa uue baba yako, mama yako umtie uchizi, mdogo wako umsababishie ajali, ulale na mke wa kaka yako, umuingilie nguruwe, n.k. ili mradi tu kuwekewa ugumu wa kujinasua.