Halima kimwana, mbabe wa wema sepetu

Halima kimwana, mbabe wa wema sepetu

Mambo ya sangoma magumu Sana kutoa ushahidi binamu..

Kwani binamu hujui maana ya umbea au? Sio kila linalosemwa lipo na ndio maana nikasema umbea, so changanya akili yako na ya kuambiwa utapata jibu.mengine yaache apa apa
 
Hiv huyu halima anashughulika na nini zamani alikua ni mneguaji au namfananishaaa!!!!?na ndio hua analiwaa pia na domoo kama akikosa demu
Ndio maana sijawah kumuona Halima na wema
 
hahahaha mie timu umbea ila team wema damu.....basi akisemwa wema naumiaje ndani kwa ndani ila ndo hvo ukipenda umbea ukubali kusikiliza na unaowahusu wa kwako siku moja moja

Dear umetisher...nimecheka kweli eti waumia ndani kwa ndani.

Yaani nna rafiki yangu yupo kama wewe! Basi ikitokea asikie Wema anasemwa vibaya anaumia kweli na atabisha au ahakikishe story imezimwa

Huwa tunamtania Dada wa Wema wa hiari...lol
 
Dear umetisher...nimecheka kweli eti waumia ndani kwa ndani.

Yaani nna rafiki yangu yupo kama wewe! Basi ikitokea asikie Wema anasemwa vibaya anaumia kweli na atabisha au ahakikishe story imezimwa

Huwa tunamtania Dada wa Wema wa hiari...lol

Hahahaha na warumi na wema ni kama maji na mafuta ya taa.... basi bila kuushusha wa wema hajisikiiii kabisaaaaaaa. Hapa nasubiri tu siku ifike turudi kwa shem clement manake mjini ni kubadilishana mb**** a.k.a vikojoleo
 
Back
Top Bottom