Uchaguzi 2020 Halima Mdee aache kumnenea mabaya Askofu Josephat Gwajima, akikaidi atapata laana!

Mimi ni muislam kwa kurith
Ask of gwajima alishiriki kuzibadilisha madrasa ziwe Sunday schools
Huyu ni mwizi kupitia dini ana mpaka bank
 
Tatizo kubwa ni hili "imeandikwa ya kwamba - huwezi kuwatumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja - Gwagima halioni hilo??
 
Bwashee usimshuhudie jirani yako uongo!
Huo sio uongo alikula kondoo wake na akarekodiwa, au huwa unashirikiana nae nini ?, ametaka mwenyewe kuingia siasa ambako kutukanwa ni kawaida, pia mwambie mgombea wenu wa urais (magufuli) aache mara moja kuwaita wagombea wetu magunzi
 
Msikilize kilaza wa maccm na usomi wake uchwara.

"Ombi letu ni kwamba maji yetu hapa yaharakishwe kwa sababu, maji ya hapa yanatoka kama matope ni machafu sana, wananchi wa Kasulu hawana matatizo kabisa na ccm_tanzania na wamesema kura zote wanakupa wewe Meko"- Prof Ndalichako
 
Kusoma sana siyo kuelimika bwashee!
 
Mimi ni muislam kwa kurith
Ask of gwajima alishiriki kuzibadilisha madrasa ziwe Sunday schools
Huyu ni mwizi kupitia dini ana mpaka bank
Acha uongo alishiriki kuzibadilisha madrasa gani? Ziko wapi?
 
Wana Kawe tuna jambo letu tarehe 28 Octoba.. Hatuwezi kuchagua matapeli wa dini kutuwakilisha bungeni!
 
Aione Flora Mbash na Emmanuel Mbasha!!!

Hii ndoa Gwajima atajibu siku ya mwisho!
 
Bwashee,
Nakubali njaa zipo lakini ikifikia Mtu anakula matapishi yake, ujue hiyo njaa imetamalaki kichwani! (Kanisa katoliki la Roma!)
 
Huyo sauti ya zege hana chake kawe. Angekuwa na busara, angeanza kuaga mapema. Bishop. Gwajima ndio mbunge mtarajiwa wa Kawe.
 
Mtu alisema kabisa yeye kugombea nafasi za kisiasa ni kujishusha lakini kwasasa anagombea nafasi hizo hizo za kisiasa!! Kweli duniani kuna watu bora wangekuwa mazombi kuliko kuwa misukule!! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…