Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
That's my point, Gwajima hana influence yeyote kachokwa na waumini wake kwa ahadi hewa.Gwajima hajachaguliwa bali CCM wamepora jimbo Kwa njia haramu za kishetani.
Kura za wizi huwa ni nyingi mno usifikiri wezi wa kura wanakuibia vikura vichacheHiyo tofauti ni kubwa sana kwa kutolea visingizio vya kuibiwa kura au kuwepo kwa kura za feki.
Katika hao, ni watatu tu ndio nimeonea huruma zaidi kwa vile wao walikuwa wakifanya kazi zao za kibunge sawasawa: Sugu, Haule, na huyo mchungaji. Lakini hao wengine walikuwa hata hawafiki majimboni mwao;View attachment 1615667
We will always love you our heroes
like father like son......Wakuu iringa vipi kwa pastor msigwa ndugu wa mkuu
Kwani si idadi ya wapiga kura inajulikana jamani, kukiwa na kura za wizi, basi idadi ya kura itakuwa nyingi kuliko wapiga kura walioandikishwa. wagombea wote walihakiki daftari la wapiga kura na wanajua idadi yake.Kura za wizi huwa ni nyingi mno usifikiri wezi wa kura wanakuibia vikura vichache
Kuna kundi moja hapo huwa sielewi linashiriki namna gani kuhujumu kura? Kundi la Walimu? Kwa mfano mwaka huu Ni Walimu wachache mno wamepata kazi NEC.Na wao level yao Ni kituoni tu na sioni Kama vituoni kunakuaga na figisufigisu.Walimu, Polisi , Nec , TCRA Ndio nyota wa hii game..ila polisi nyie polisi Mungu yupo.Nyie Polisi mmegeuka kama sio watz...nyie watu hamna utu
Mkuu upo?Kwani si idadi ya wapiga kura inajulikana jamani, kukiwa na kura za wizi, basi idadi ya kura itakuwa nyingi kuliko wapiga kura walioandikishwa. wagombea wote walihakiki daftari la wapiga kura na wanajua idadi yake.
We naye usiwe kama mwanamke wa bar unafata meza yenye bia nyingi.Kwani si idadi ya wapiga kura inajulikana jamani, kukiwa na kura za wizi, basi idadi ya kura itakuwa nyingi kuliko wapiga kura walioandikishwa. wagombea wote walihakiki daftari la wapiga kura na wanajua idadi yake.
Noma sana hii awamu, nadhani hata baadhi ya waimba mapambio wa huu utawala wanashangaa wanachokishuhudia.Watu walikuwa wanasikia umafia tu, sasa wanaushuhudia kwa macho yao kulalaleki.
Mwana CCM kindakindaki katika ubora wako [emoji23]Ajipange kwa 2025!
[emoji1787]
Tume huruHuyu Gwajima hakuna matusi ambayo hakutukanwa,ila akakaza ileile. Yule mtoto wa Dada angechemsha mapema Sana. Kwaheri sauti ya zege.
Pole sana kamanda.Mwana CCM kindakindaki katika ubora wako [emoji23]
Andamana tuuu ruksa. Tunafuta buti VUMBI kwa sasa.Walimu, Polisi , Nec , TCRA Ndio nyota wa hii game..ila polisi nyie polisi Mungu yupo.Nyie Polisi mmegeuka kama sio watz, nyie watu hamna utu