VILABU VYA WAUZA BANGI VILE TUMEVISAMBARATISHA MMOJA MMOJA MANINAAAZAOOHongera Gwajima kwa Ushindi huo mnono Ila pia kumbukeni Ni hatari zaidi kukosekana kwa wapinzani makini Kama ZZK, Mbowe na Heche Mbugeni.
Kupinga pinga kwao ndo sababu ya maendeleo ya taifa hili.
Mtumishi wa Mungu Gwajima usimuite tapeli.Kwa maoni yangu, kwa vile Gwajima naye ni tapeli tu, nadhani watu wa Kawe hawakumpigia kura Gwajima bali walimpinga Mdee; kura zao zilikuwa "against Mdee" siyo "for Gwajima." Mbunge asiye staha yeye muda wote ni makelele na kutafuta fujo tu.
Kwani Mdee alikua muislam?Haya sasa Waislam wa Kawe mtakalia jiwe la moto awamu hii!
Malipo ya udhalimu ni KIFO. Hongereni kwa wizi wa kishindo, sasa tunatarajia Tanzania itakua kama europe, Watanzania watakua mabilionea, tutaogelea kwenye utajiri.Wananchi wameamua kuondoa waongo
Si mulisema mwaka huu kitanuka?View attachment 1615667
We will always love you our heroes
Alishaacha utumishi.... Mtumishi wa Mungu Gwajima usimuite tapeli,...
Si mlisema kitanuka, hizi post za kukubali kizembe namna hii mnaashiria kitu gani!View attachment 1615667
We will always love you our heroes
Mkuu anayeapishwa Ni mmoja tu ambae ni rais hao wengine wakishakabidhiwa tu fomu za ushindi ndo inakuwa imeisha hivyoo Wanasubiri vikao vianze tu waingie mjengoni.Pia hata wewe weka haya maneno akiba. Hakuna aliyeaapishwaa hata mmoja[emoji1787][emoji1787][emoji28]
Marehemu wa kisiasa, mbona Halima Mdee hayupo?View attachment 1615667
We will always love you our heroes
Yaan kama wamekufa vile. We will always remember you.View attachment 1615667
We will always love you our heroes
Kwa wazazi wako siyo?Chomoa ukimbie, kimenasa hicho
Wana u hero gani sasa hao wapinga maendeleo.View attachment 1615667
We will always love you our heroes
Ushindi upi kapata Gwajima? Hakuna kitu kinaitwa ushindi hapo bali CCM imeulawiti na kuubaka uchaguzi hakuna zaidi ya hicho.Hata ukinitukana haibadilisi ushindi. Yaani mtu ashindwe kwa zaidi ya kura laki na nusu halafu ulete uwongo hapa wa watu kuletwa kutoka wiliya nyingine, yaani walikuwa kwenye dafatari gani. Kila mpiga kura namba yake inaandikwa kwenye ballot paper, kwa hiyo kama Mdee analalamika basi aombe recount kuhakiki namba za kwenye ballot paper na za kwenye daftari.