Halima Mdee bado una nafasi ya kutubu, Heshima na tamaa havikai pamoja

“Kwa mwanasiasa kuna wakati unaweza kupata ajali ya kisiasa. Njia bora na sahihi ni kuomba Msamaha kama kuna mahali umekosea. Kuomba msamaha sio udhaifu, ni kuonyesha Kuwa wewe ni binadamu unaweza kukosea. Kwa kawaida watu dhaifu huwa hawaombi msamaha.” -@MsigwaPeter
 
Nasikia kaomba msamaha sijui kama ni kweli.
 
Siasa na wanasiasa watatangulia Jehanamu na Moto wao utazidishwa Mara 4. Bora fisi kuliko tamaa za mwanasiasa, hii Ni kazi mbaya sana
 
Hivi hawa Covid-19 wako wapi? Hawasikiki kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…