“Kwa mwanasiasa kuna wakati unaweza kupata ajali ya kisiasa. Njia bora na sahihi ni kuomba Msamaha kama kuna mahali umekosea. Kuomba msamaha sio udhaifu, ni kuonyesha Kuwa wewe ni binadamu unaweza kukosea. Kwa kawaida watu dhaifu huwa hawaombi msamaha.” -@MsigwaPeter
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.