Halima Mdee: Deni la Taifa limefika Tsh. 71 trillion, maana yake kila mtanzania anadaiwa Tsh. 1 million na ushee

Halima Mdee: Deni la Taifa limefika Tsh. 71 trillion, maana yake kila mtanzania anadaiwa Tsh. 1 million na ushee

Nina maswali hapa mtaalamu, namba za madeni zilizotajwa humu na hasa kuhusu deni aliloacha JK ni Dollar bilioni 31, trilioni 35, trilioni 41, trilioni 43. Deni linalosemwa leo aliloacha Magu ni trilioni 71.

Mkapa akiondoka madarakani, aliacha deni kiasi gani? Maana nakumbuka nchi kusamehewa deni lote mwaka 2000, kabla ya kusamehewa lilikuwa kiasi gani na kabla ya kukabidhi nchi kwa JK, deni lilikuaje?

Wakati Mkapa anasamehewa deni, tuliambiwa amesamehewa lile deni halisi ila riba ataendelea kulipa, riba ilikuwa kiasi gani?

Je, mikopo iliyofuata haikuwa na riba? Kama ilikuwa nayo, ni kiasi kati ya hayo madeni yaliyorithiwa kutoka utawala mmoja kwenda mwingine?

Kiukaguzi, pesa iliyokopwa, ililingana na matumizi halisi ya sababu ya kukopewa?

Kama wewe au mtaalamu yoyote atanisaidia nielewe kwenye hayo maswali, nitashukuru sana.
Deni la taifa wakati ben anastaafu ilikuwa tr 17 hivi. Na si kwamba madeni yote yalisamehewa yapo bayo hayakusamehewa (non-paris club) na haya yaliyosamehewa yalitokana na mpango wa nchi wahisani kuwapunguzia madeni nchi masikini zenye madeni makubwa (HIPC). Deni la 'serikali' wakati jk akistaafu ilikuwa tr 35. Tiba kwenye madeni haya si jambo la kishtukiza, ni jambo linalofahamika wazi kabisa na huwa inategemea taasisi iliyotoa fedha, mfano ni miaka ya karibuni tumekuwa tukikopa sana katika taasisi za kibiashara kama mabenki, hawa riba yao huwa juu hivyo kupelekea madeni haya kuwa makubwa, kuongezeka zaidi katika kipindi cha muda mrefu. Nchi wahisani hutoa ili unayosikia inaitwa mikopo ya masharti nafuu, yaani haina masharti ya kibiashara.
 
Awamu ya kwanza chini ya Mwl. Nyerere alieongoza kwa miaka zaidi ya miaka 20, Deni la Taifa lilikuwa Trilioni 3 na Deni hili liliongezeka sana mwaka 1979 kwasababu ya vita ya Kagera.

Awamu ya pili chini ya Mzee Ali Hassan Mwinyi aliyeongoza kwa miaka 10. Deni la Taifa lilipanda kutoka Trilioni 3 hadi kufikia Trilioni 18. Hii inamaana kuwa, Mzee Mwinyi alikopa fedha kiasi cha Trilioni 15 pekee ndani ya awamu zote mbili.

Awamu ya tatu ya Mhe. Benjamin Mkapa aliyeongoza kwa miaka 10, Mzee Mkapa alipoingia alikuta deni ni Trilioni 18. Mzee Mkapa akafanya jitihada za kupunguza deni hilo na kufanikiwa kulipunguza hadi kufikia Trilioni 10, Mpaka anaondoka madarakani uchumi ulikuwa unakuwa kwa 6.7%.

Awamu ya nne chini Mhe. Jakaya Kikwete alieongoza miaka 10, Ameingi amekuta deni la Taifa ni Trillion 10. Lakini katika kukopa kwake mpaka anamaliza muda wake wa uongozi (awamu zote mbili) ameacha deni la Trilioni 35. Maana yake kwa miaka yote 10 amekopa kiasi cha Trilioni 25.

Awamu ya tano chini ya Rais John Pombe Magufuli ambae ameongoza kwa miaka 5.5 Ameingia madarakani amekuta deni la Taifa lililoachwa ni Mzee Kikwete ni Trilioni 35, Mpaka kufikia mwezi huu wa April mwaka 2021, deni la Taifa limefika Trilioni 71, Kwa lugha rahisi ni kwamba Rais Magufuli amekopa Trilioni 36 ndani ya miaka mitano.

Hivyo basi, ni dhahiri kusema kuwa, Rais Magufuli ndiye Rais pekee kati ya marais wote waliopita, aliyekopa pesa nyingi sana kwa muda mfupi sana.

Tuna wakati mgumu sana kama Taifa. Na hapa tulipofika ni hatari zaidi katika nchi hii ambayo watu wake wengi ni Wakulima na Wafanyakazi.
Ninajiuliza ikiwa kiasi hicho ni cha miaka mitano tu, je, Rais huyu angepewa awamu ya pili tutaangukia wapi?

Mwacheni Mungu aitwe Mungu.
 
Awamu ya kwanza chini ya Mwl. Nyerere alieongoza kwa miaka zaidi ya miaka 20, Deni la Taifa lilikuwa Trilioni 3 na Deni hili liliongezeka sana mwaka 1979 kwasababu ya vita ya Kagera.

Awamu ya pili chini ya Mzee Ali Hassan Mwinyi aliyeongoza kwa miaka 10. Deni la Taifa lilipanda kutoka Trilioni 3 hadi kufikia Trilioni 18. Hii inamaana kuwa, Mzee Mwinyi alikopa fedha kiasi cha Trilioni 15 pekee ndani ya awamu zote mbili.

Awamu ya tatu ya Mhe. Benjamin Mkapa aliyeongoza kwa miaka 10, Mzee Mkapa alipoingia alikuta deni ni Trilioni 18. Mzee Mkapa akafanya jitihada za kupunguza deni hilo na kufanikiwa kulipunguza hadi kufikia Trilioni 10, Mpaka anaondoka madarakani uchumi ulikuwa unakuwa kwa 6.7%.

Awamu ya nne chini Mhe. Jakaya Kikwete alieongoza miaka 10, Ameingi amekuta deni la Taifa ni Trillion 10. Lakini katika kukopa kwake mpaka anamaliza muda wake wa uongozi (awamu zote mbili) ameacha deni la Trilioni 35. Maana yake kwa miaka yote 10 amekopa kiasi cha Trilioni 25.

Awamu ya tano chini ya Rais John Pombe Magufuli ambae ameongoza kwa miaka 5.5 Ameingia madarakani amekuta deni la Taifa lililoachwa ni Mzee Kikwete ni Trilioni 35, Mpaka kufikia mwezi huu wa April mwaka 2021, deni la Taifa limefika Trilioni 71, Kwa lugha rahisi ni kwamba Rais Magufuli amekopa Trilioni 36 ndani ya miaka mitano.

Hivyo basi, ni dhahiri kusema kuwa, Rais Magufuli ndiye Rais pekee kati ya marais wote waliopita, aliyekopa pesa nyingi sana kwa muda mfupi sana.

Tuna wakati mgumu sana kama Taifa. Na hapa tulipofika ni hatari zaidi katika nchi hii ambayo watu wake wengi ni Wakulima na Wafanyakazi.
Ninajiuliza ikiwa kiasi hicho ni cha miaka mitano tu, je, Rais huyu angepewa awamu ya pili tutaangukia wapi?

Mwacheni Mungu aitwe Mungu.
Hapana mkuu tazama tena katika vyanzo vyako, mfano mpaka dec 2004 deni lilikuwa dola bilioni 9.2193 na njia nzuri nafikiri ya kulinganisha madeni haya hasa kwa kuhusisha muda mrefu ni kuyaweka ktk dola za kimarekani au kuyaweza kiuwiano na pato la taifa
 
Deni la taifa tuna wasomi wajinga sana hawajui kusoma takwimu na kuzitafsiri.Wawaachie wataalamu wa statistics wawape tafsiri.Wachumi wapumbavu tu wao ni kama wahasibu kazi yao kuanandaa vitabu vya hesabu tu mfano wahasibu huandaa financial statements lakini hawawezi ku analyise akiwemo CAG pia wachumi wana uwezo wa kutengeneza national accounts lakini wako zero kutafsri hizo hesabu waluzotengeneza

Tanzania inadharau wataalamu wa takwimu na kuwaona hopeless.Lakini ndio pekee wenye uwezo wa kutafsiri takwimu yeyote proffessionally sio wahasibu au wachumi they are zero
 
Hapana mkuu tazama tena katika vyanzo vyako, mfano mpaka dec 2004 deni lilikuwa dola bilioni 9.2193 na njia nzuri nafikiri ya kulinganisha madeni haya hasa kwa kuhusisha muda mrefu ni kuyaweka ktk dola za kimarekani au kuyaweza kiuwiano na pato la taifa
Ok ngoja nitacheck
 
Jiridhishe vizuri wewe sukuma gang. Kwa rekodi za Tanroads JK ndiye aliyejenga miundombinu mingi huyo Mwendazake hata 1/4 hajafikia na wala hakuchukua kodi za dhuluma na hakutesa watumishi na deni halikupaa kama sasa. Nyerere alikuwa na ndoto ya kujenga madaraja 5 makubwa. Mto Mara, Kilombero, Malagarasi, Kigamboni, na Rufiji. Nyerere alijenga moja la mto mara; Mkapa alijenga la mto Rufiji. JK kajenga Kigamboni, Kilombero na Malagarasi.
Dah....Kwanza jiondoe ujinga wa kudhani kuwa kila anayoyaona mazuri ya JPM ni sukuma gang....ni ujinga uliokithiri [emoji2960]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Deni la taifa wakati ben anastaafu ilikuwa tr 17 hivi. Na si kwamba madeni yote yalisamehewa yapo bayo hayakusamehewa (non-paris club) na haya yaliyosamehewa yalitokana na mpango wa nchi wahisani kuwapunguzia madeni nchi masikini zenye madeni makubwa (HIPC). Deni la 'serikali' wakati jk akistaafu ilikuwa tr 35. Tiba kwenye madeni haya si jambo la kishtukiza, ni jambo linalofahamika wazi kabisa na huwa inategemea taasisi iliyotoa fedha, mfano ni miaka ya karibuni tumekuwa tukikopa sana katika taasisi za kibiashara kama mabenki, hawa riba yao huwa juu hivyo kupelekea madeni haya kuwa makubwa, kuongezeka zaidi katika kipindi cha muda mrefu. Nchi wahisani hutoa ili unayosikia inaitwa mikopo ya masharti nafuu, yaani haina masharti ya kibiashara.
Asante mtaalamu. Na kuhusu riba kama zilikuwepo au hazikuwepo? Kiasi gani? Je, inamaana mtangulizi wa mama alikopa 36 trilioni taslimu au kikokotoo kinasemaje hapo? Kama ndio, tunayo taarifa ya matumizi ya hiyo 36 ya Jiwe na ile ya Mkwere?

Nilisikia BBC wakisema, ule mwaka wa mwisho wa mkwere, alikopa trilioni 7 ambayo haikuingia kwenye hesabu za serikali, jambo hili linawezekana? Kama ndio, zilienda wapi?

Tunaweza kupata jumla ya gharama halisi ya miradi yote isiyo ya kurithi ya awamu ya nne na ya tano? Kwa mfano, daraja la Mkapa ji mpango uliokuwepo tangu awamu ya JK wa 1, Mkapa akaanzisha, JK akakamimisha. Barabara ya kwenda kusini, kilwa, ilianzishwa na utawala wa kwanza, kipande fulani kikatolewa pesa na Kuwait awamu ya pili, ujenzi ukakamilika awamu ya nne baada ya pesa ile kuliwa katikati hapo. Mradi wa terminal 3 ulianzishwa na JK, ukakamilishwa na Magu, n.k Nataka tuachane na hiyo, tuzungumzie mradi kama wa RADAR, Privatisation, Kuunganisha mikoa kwa barabara ya lami, shule za kata, bandari, ndege, flyover, madaraja, nyumba za maraisi wastaafu n.k

Asante
 
Huyu mzee kafilisi nchi asee
Ukiona mtu hataki kuambiwa kitu wala kukosolewa, anatesa na kuua bila kujali, analazimisha kusifiwa na kuimbiwa mampambio ni viashiria vya kulinda ajenda zake za kishetani.
Madikteta wote walikuwa hivyo na waliishia kufilisi nchi zao kwa kutumia hazina za nchi zao kama mali zao binafsi, kabla ya Mungu kuweka mkono wake.
Bomba la gesi toka Mtwara na mitambo/magenereta ya kutumia gesi vilivyotumia gharama kubwa sana na vilivyokuwa tayari kabisa kutumika kuzalisha, alivitelekeza na tukaendelea na mgao wa umeme kwa sababu TU havikumuingizia 10%. Bila hata chembe ya aibu akaanza mradi wake mpya.
Wanaoendelea kuimba uzalendo wa huyu mwendazake ni wa kuwatazama vizuri USONI, lazima utangundua alama za ushetani.
Mungu atuongoze na atuondolee mashetani hayo pia
AMEN
 
Hebu nipeni total ya mimi,my wife na watoto 2,nikamalizane na sijui IMF au Mchina
 
Back
Top Bottom