Halima Mdee: Deni la Taifa limefika Tsh. 71 trillion, maana yake kila mtanzania anadaiwa Tsh. 1 million na ushee

Halima Mdee: Deni la Taifa limefika Tsh. 71 trillion, maana yake kila mtanzania anadaiwa Tsh. 1 million na ushee

Wenyewe wataalam wanasema tusiwe na hofu kwa vile deni linahimilika na bado tunakopesheka.
 
Mbunge wa viti maalumu asiyefungamana na upande wowote Halima Mdee amesema kwa mujibu wa ripoti ya BoT ya February 2021 deni la taifa limefikia Tsh. 71 trillion.

Hi maana yake ni kama kila mtanzania anadaiwa tsh 1 milion na points.
Mdee alikuwa akichangia hotuba ya mpango wa maendeleo.

Ngoja niitafute hiyo ripoti nijiridhishe.

Ramadhan Kareem!
HALIMA NA WAHUNI 18 NDII WAMELIPANDISHA HILO DENI KWA KULIPWA MISHAHARA WAKATI WAO SIO WABUNGE HALALI

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Huoni miradi mikubwa inayoendelea ?
Kwa hiyo miradi inaendeshwa na nini mbona hatuelewi.

Ujue uoigaji umejificha kwenye hii miradi.

Tunakopa sana nje pesa inaenda kwenye miradi, tozo inaenda kwenye miradi, kodi, madini, utalii n.k utasikia inaenda kwenye miradi.

Ngozi yetu nyeusi ni changamoto sana.!
 
Halima mdee na wabunge wapiga hesabu posho na mishahara wanazopata na viinua migongo ni Shilingi ngapi wajumlishe na mishahara na marupurupu ya wa mahakama na Serikali shilingi ngapi Ndio alete hoja anaongea kama bwege pesa zote zinaliwa na mihimili mitatu na hazitoshi hadi zinatakiwa ku top up kwa mikopo
 
Naomba kuuliza hivi ukomo wa deni kwa nchi yetu ni sh ngapi? Nashangaa tunadaiwa sh trilioni 71 kuanzia mwanzo wa mwaka lakini tunaendelea kukopa tu tena kwa kiwango trilioni!! Au hakuna kiwango cha juu cha kukopa!!
 
Deni kubwa linaifanya nchi kuwa shamba la bibi!! Jamaa wataendelea kuvuna kizazi na kizazi!!
 
Back
Top Bottom