Halima Mdee: Deni la Taifa limefika Tsh. 71 trillion, maana yake kila mtanzania anadaiwa Tsh. 1 million na ushee

Hizo pesa Trilioni 71 alipeleka kwenya akaunti zake binafsi za uswisi? very poor argument.Barabara zilizojengwa huzioni? umeme kila kijiji huuoni? Elimu bure huioni? Ndege huzioni? Vituo vya afya nchi nzima huvioni? nk wewe kipofu?

Hizo zote ni fedha zetu za ndani, alisikika akijinasbu.
 

[emoji28][emoji28][emoji28] Huyo muhindi unafanya kazi kwake anakudai vipi, ulichukua salari advansi?
 
Wale wanaotudai wapewe nchi tu waweke CEO wao apige kazi atengeneze faida warudishe chao🤣🤣
 
Deni gani tena!?
Sikumbuki kukopa...wala kukubaliana na mtu achukue hii mikopo mingi inayofanana na mikopo ya chupa za plastic za maji na juice zilizozagaa huko mitaani.

Nachojua benki wameninyima mkopo!

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Pamoja Mshahara wake usio Halali ndio umepandisha hilo deni
 
Ukweli MUNGU ametusaidia sn
 
Mzee si alikuwa anafanya miradi mikubwa kwa pesa za ndani!
 
Ongezeko la deni limetokana na nini? tuliambiwa miradi inatumia pesa za ndani!
Nadhani tumebambikiwa deni na mabeberu,naishauri serikali isitishe kulipa madeni yote mpaka watakapoyahakiki upya baada ya 2025
 
Uchumi na uhasibu ni kada mbili tofauti, hicho ulichoita "tafsiri" yaani upembuzi, katika mambo ya uchumi na fedha hufanywa na wachumi. Kwa watu wasiofahamu huhisi ni kama kada moja, lakini si kweli ni kada mbili tofauti
 
Uchumi na uhasibu ni kada mbili tofauti, hicho ulichoita "tafsiri" yaani upembuzi, katika mambo ya uchumi na fedha hufanywa na wachumi. Kwa watu wasiofahamu huhisi ni kama kada moja, lakini si kweli ni kada mbili tofauti
Wengi hujua kuwa wote ni Accountants tu

Wachumi hutengeneza National Accounts na Wahasibu hutengeneza Financial Accounts
 
Mwendazake apewe tuzo bora ya mtia hasara Mkuu.
Yeye ndie ametia hasara kubwa kuliko wote toka enzi ya mkoloni hakuna mfanowe
 
deni la kurith mkuu, hata ukiondoka duniani kizazi chako kitalilipa tu - kweli hii si HAKI kabisa.

Mwendazake alikuta deni la bei gani? na kalifikisha kuwa gani? Maana alituaminisha kwamba kila Project ni HELA ZA NDANI tena cash.
@FUSO anaitwa Mwendazake sio?
Kweli usipostaajabu ya Musa utashangaa ya Firauni


Sent from my V2027 using JamiiForums mobile app
 
Kwani yale makinia ambayo yangetuletea zile trilioni za kila mmoja kupata Noah yaliishia wapi? Si yangetumika kulipa hilo deni?
 
Wenye mahekalu na walio kula rushwa wao walipe zaidi,...hatuwezi kulipa hilo Deni sawa na watu wa Mbagala, au kigera Etuma huko sijui Manzese noo!! sisi wenye Magari, Mahelikopita, tunalipa zaidi wastani wa Million 5 hivi!!

hao wa mazogoroni wao walipe laki mbilimbili tu!....au km hawana hizo hela waandike maombi ya kulipiwa madeni yao na wenye uwezo walioko Masaki tu!.... wao watawalipa kidogo kidogo! km wakipata! kipaumbele wapewe wadada, madume yakafanye kazi!

Ili ukuu wetu na heshima zetu, haki za kutawala , kuongea sana zibaki palepale! ......laiti km tutalipa sawa na Maskini!!! Matajiri wengi tutaiaga nchi, na nchi itakufa kibudu, lazima ukuu wetu tuuuishi km ulivo.... mkipinga make wengi bongo mtaolewa na wa-Kenya!

Matajri sisi tunaona raha ya kifahari sana kudaiwa kila mara na Mabenki ya kidunia. kwa maskini kudaiwa ni tofauti sana, atakufa au ku-paralyse mazimaaa!!! lkn sisi matajiri ndo kwaaanza tuna nenepa!! ....

Mtu tajiri akifirisiwa na Bank ndo kwaanza ananenepa!! wanamuachia kanyumba kamoja tu, atakaa weeee humo....lkn anaweza panda tena na hawana aibu anaenda kopa tena kwa Bank ileile, watu wale wale, mahali palepale, masharti yaleyale km mchezo tu anapewa......hii Dunia tofauti sana.
 
Halima yeye si ana bilioni 10? basi asaidie kulipa deni la taifa
 
Kuna miradi hailipi maana yake inatia hasara mfano huo wa ndege, masoko, stend ni miradi return yake ni very minimum saa nyingin hasara kabisa
 
Hizo pesa Trilioni 71 alipeleka kwenya akaunti zake binafsi za uswisi? very poor argument.Barabara zilizojengwa huzioni? umeme kila kijiji huuoni? Elimu bure huioni? Ndege huzioni? Vituo vya afya nchi nzima huvioni? nk wewe kipofu?
Pesa za madini, utalii, kodi, matozo huwa zinakwenda wapi hivi!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…