Hizo pesa Trilioni 71 alipeleka kwenya akaunti zake binafsi za uswisi? very poor argument.Barabara zilizojengwa huzioni? umeme kila kijiji huuoni? Elimu bure huioni? Ndege huzioni? Vituo vya afya nchi nzima huvioni? nk wewe kipofu?
Ole wako uje kwangu kunidai hiyo hela! Nakukata panga akyamungu! Tena panga butu,hapa nadaiwa na kikoba,nadaiwa na mama birigita yule wa dukani,nadaiwa na muhindi ninayefanya kibarua kwake,nadaiwa na jamaa mwingine alinipa hela yake nimwekee nikaitafuna,nadaiwa kodi ya banda(nyumba?) Ya miezi saba,nadaiwa hela kibao baba kevi wa pale kilabuni,nadaiwa na muuza maziwa na wengine weeeeeengi kabisa,niacheni,nisije kuua mtu akyamungu
Pamoja Mshahara wake usio Halali ndio umepandisha hilo deniMbunge wa viti maalumu asiyefungamana na upande wowote Halima Mdee amesema kwa mujibu wa ripoti ya BoT ya February 2021 deni la taifa limefikia tsh 71 trillion.
Hi maana yake ni kama kila mtanzania anadaiwa tsh 1 milion na points.
Mdee alikuwa akichangia hotuba ya mpango wa maendeleo.
Ngoja niitafute hiyo ripoti nijiridhishe.
Ramadhan Kareem!
Ukweli MUNGU ametusaidia snUkiona mtu hataki kuambiwa kitu wala kukosolewa, anatesa na kuua bila kujali, analazimisha kusifiwa na kuimbiwa mampambio ni viashiria vya kulinda ajenda zake za kishetani.
Madikteta wote walikuwa hivyo na waliishia kufilisi nchi zao kwa kutumia hazina za nchi zao kama mali zao binafsi, kabla ya Mungu kuweka mkono wake.
Bomba la gesi toka Mtwara na mitambo/magenereta ya kutumia gesi vilivyotumia gharama kubwa sana na vilivyokuwa tayari kabisa kutumika kuzalisha, alivitelekeza na tukaendelea na mgao wa umeme kwa sababu TU havikumuingizia 10%. Bila hata chembe ya aibu akaanza mradi wake mpya.
Wanaoendelea kuimba uzalendo wa huyu mwendazake ni wa kuwatazama vizuri USONI, lazima utangundua alama za ushetani.
Mungu atuongoze na atuondolee mashetani hayo pia
AMEN
😂😂Yule mungu wenu mbona alikuwa anajinasibu kuwa akopi,kuwa miradi anafanya kwa fedha za ndani
Nadhani tumebambikiwa deni na mabeberu,naishauri serikali isitishe kulipa madeni yote mpaka watakapoyahakiki upya baada ya 2025Ongezeko la deni limetokana na nini? tuliambiwa miradi inatumia pesa za ndani!
Serikali ituambie ilikopa wapi na zimetumikaje.Nadhani tumebambikiwa deni na mabeberu,naishauri serikali isitishe kulipa madeni yote mpaka watakapoyahakiki upya baada ya 2025
Uchumi na uhasibu ni kada mbili tofauti, hicho ulichoita "tafsiri" yaani upembuzi, katika mambo ya uchumi na fedha hufanywa na wachumi. Kwa watu wasiofahamu huhisi ni kama kada moja, lakini si kweli ni kada mbili tofautiDeni la taifa tuna wasomi wajinga sana hawajui kusoma takwimu na kuzitafsiri.Wawaachie wataalamu wa statistics wawape tafsiri.Wachumi wapumbavu tu wao ni kama wahasibu kazi yao kuanandaa vitabu vya hesabu tu mfano wahasibu huandaa financial statements lakini hawawezi ku analyise akiwemo CAG pia wachumi wana uwezo wa kutengeneza nationak accounts lakini wako zero kutafsri hizo hesabu waluzotengeneza
Tanzania inadharau wataalamu wa takwimu na kuwaona hopeless.Lakini ndio pekee wenye uwezo wa kutafsiri takwimu yeyote proffessionally sio wahasibu au wachumi they are zero
Wengi hujua kuwa wote ni Accountants tuUchumi na uhasibu ni kada mbili tofauti, hicho ulichoita "tafsiri" yaani upembuzi, katika mambo ya uchumi na fedha hufanywa na wachumi. Kwa watu wasiofahamu huhisi ni kama kada moja, lakini si kweli ni kada mbili tofauti
@FUSO anaitwa Mwendazake sio?deni la kurith mkuu, hata ukiondoka duniani kizazi chako kitalilipa tu - kweli hii si HAKI kabisa.
Mwendazake alikuta deni la bei gani? na kalifikisha kuwa gani? Maana alituaminisha kwamba kila Project ni HELA ZA NDANI tena cash.
Kwani yale makinia ambayo yangetuletea zile trilioni za kila mmoja kupata Noah yaliishia wapi? Si yangetumika kulipa hilo deni?Mbunge wa viti maalumu asiyefungamana na upande wowote Halima Mdee amesema kwa mujibu wa ripoti ya BoT ya February 2021 deni la taifa limefikia tsh 71 trillion.
Hi maana yake ni kama kila mtanzania anadaiwa tsh 1 milion na points.
Mdee alikuwa akichangia hotuba ya mpango wa maendeleo.
Ngoja niitafute hiyo ripoti nijiridhishe.
Ramadhan Kareem!
Halima yeye si ana bilioni 10? basi asaidie kulipa deni la taifaMbunge wa viti maalumu asiyefungamana na upande wowote Halima Mdee amesema kwa mujibu wa ripoti ya BoT ya February 2021 deni la taifa limefikia Tsh. 71 trillion.
Hi maana yake ni kama kila mtanzania anadaiwa tsh 1 milion na points.
Mdee alikuwa akichangia hotuba ya mpango wa maendeleo.
Ngoja niitafute hiyo ripoti nijiridhishe.
Ramadhan Kareem!
Dikteta alikufa nayoKwani yale makinia ambayo yangetuletea zile trilioni za kila mmoja kupata Noah yaliishia wapi? Si yangetumika kulipa hilo deni?
Kuna miradi hailipi maana yake inatia hasara mfano huo wa ndege, masoko, stend ni miradi return yake ni very minimum saa nyingin hasara kabisaTatizo la wasomi kama mdee ni ujinga .Baadhi ya Vyuo vyetu vinazalisha watu wenye IQ ndogo mno.Wansona deni utafikiri wakopeshaji badala ya kuona vitu vilivyofanywa na hiyo Trilioni 71 imefanya kazi hukua hiyo hela ambayo iko kwenye miradi kamilika au endelea halafu gawia Kila mtanzania kwa hiyo miradi yote ya barabara na majengo nk halaf ujue kila mmoja anamiliki mali ya kiasi gani kwenye ndege zote zilizonunuliwa na barabara zote zilizojengwa ikiwemo miradi ya umeme na hospitali nk
Kuangalia nchi inadaiwa kiasi gani hiyo hasa ni kazi ya mkopeshaji wewe mkopaji unatakiwa kuangalia kilichofanyika ukigawa wananchi wako kila mmoja ana Asset kiasi gani kwa makert value ya sasa
Tatizo la wasomi wetu ni kumeza tu notisi vyuoni logic wengi wako zero akiwemo.Mdee nk huko bungeni ndio maana hadi bungeni akina msukuma na kibajaji ambao ni darasa la saba wanawaporomoshea matusi wasomi mchana kweupe
Pesa za madini, utalii, kodi, matozo huwa zinakwenda wapi hivi!?Hizo pesa Trilioni 71 alipeleka kwenya akaunti zake binafsi za uswisi? very poor argument.Barabara zilizojengwa huzioni? umeme kila kijiji huuoni? Elimu bure huioni? Ndege huzioni? Vituo vya afya nchi nzima huvioni? nk wewe kipofu?