crocodile
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,864
- 2,955
Na naona kama Mchina naye anapiga hodi hapo mlangoni na posa yake imeandikwa Bagamoyo Port project.Tutaolewa na mabeberu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na naona kama Mchina naye anapiga hodi hapo mlangoni na posa yake imeandikwa Bagamoyo Port project.Tutaolewa na mabeberu!
Kama vipi ile noa yangu kwenye zile hela za barick waizuie wasinipe tumemalizanaMbunge wa viti maalumu asiyefungamana na upande wowote Halima Mdee amesema kwa mujibu wa ripoti ya BoT ya February 2021 deni la taifa limefikia tsh 71 trillion.
Hi maana yake ni kama kila mtanzania anadaiwa tsh 1 milion na points.
Mdee alikuwa akichangia hotuba ya mpango wa maendeleo.
Ngoja niitafute hiyo ripoti nijiridhishe.
Ramadhan Kareem!
Dollar trilion moja tu hapo tunadaiwa kweli mawazo tupuHebu lingajisha na wakati JK au mkapa tulikua tunaida wastan wa kiasi gani per capital.
Ndugai peke yake trilion 3 kwa miezi sitaWana jukumu la kutuonyesha jinsi wanavyojua kutumia fweza!
Mbunge asiyefungamana na upande wowote...hahahaha..Mbunge wa viti maalumu asiyefungamana na upande wowote Halima Mdee amesema kwa mujibu wa ripoti ya BoT ya February 2021 deni la taifa limefikia tsh 71 trillion.
Hi maana yake ni kama kila mtanzania anadaiwa tsh 1 milion na points.
Mdee alikuwa akichangia hotuba ya mpango wa maendeleo.
Ngoja niitafute hiyo ripoti nijiridhishe.
Ramadhan Kareem!
Yawezekana sisi tuliingizwa uchumi wa kati kwa kuangalia wastani wa deni kwa nchi za uchumi wa katinji kiaso gani? Wakaona tumefikia kiwango.Hebu tupige hesabu kidogo Trilion 71 = 71,000,000,000,000/=
Haya Lets say watanzania wote tupo 60,000,000. Gawanya hapo tupate jibu kila mtu ajue deni lake.
71,000,000,000,000
----------------------------- = 1,180,000.
60,000,000
OK!! Kila Mtanzania kuanzia wazee, watoto na vijana kila mmoja anadaiwa Tshs 1,180,000. Kila mtu afe na deni lake mi nataka kwenda kulilipa sitaki madeni.
Mkuu unalipa bila kujua unalipa deni. Hebu fikiria sukari ilikuwa inauzwa buku kg 1 wakati wa jk baada ya kuingia mawimbi yalee tunauziwa 2,600/kg. Sasa hivi ukinunua sukari unalipa deni au haulipi? Huo ni mfano tu wa bidhaa moja kuna nyingine nyingi tukizinunua tunajikuta tunalipia deni bila kujuanchi ina madeni lukuki huku wabunge wanalipwa posho za kijinga kbs wakati hawana tija yoyote
mie sidaiwi watajua wenyew waliokopa
Huyu mzee kafilisi nchi aseeTutaolewa na mabeberu!
Ndiyo maana wanatuita wanyonge hawezi kutushirikishaKukopa wakope wao mikataba hatushirikishwi wala kutoa maamuzi simo kabisa
Hivi ya kwako ilikuwa rangi gani?Kama vipi ile noa yangu kwenye zile hela za barick waizuie wasinipe tumemalizana
Hizo pesa Trilioni 71 alipeleka kwenya akaunti zake binafsi za uswisi? very poor argument.Barabara zilizojengwa huzioni? umeme kila kijiji huuoni? Elimu bure huioni? Ndege huzioni? Vituo vya afya nchi nzima huvioni? nk wewe kipofu?Huyu mzee kafilisi nchi asee
Wewe unaulizwa hilo deni kama nani? Au ni wale covid 19?Mbunge wa viti maalumu asiyefungamana na upande wowote Halima Mdee amesema kwa mujibu wa ripoti ya BoT ya February 2021 deni la taifa limefikia tsh 71 trillion.
Hi maana yake ni kama kila mtanzania anadaiwa tsh 1 milion na points.
Mdee alikuwa akichangia hotuba ya mpango wa maendeleo.
Ngoja niitafute hiyo ripoti nijiridhishe.
Ramadhan Kareem!