FRANC THE GREAT
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 5,500
- 8,060
Mimi swali langu ni hili: Hivi "Askofu" ni jina sahihi kwa mujibu wa sheria za Uchaguzi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wagombea wa ccm ukipitia form zao wote moja baada ya nyingine lazima ukute manyaunyau tu wakatwe kabisa wamezoeKanuni ya 26(3) ya Kanuni za Uchaguzi zinataka Fomu ya KUTEKELEZA MAADILI kujazwa mbele ya Msimamizi wa Uchaguzi. Ndugu yangu wa CCM KAWE alijaza tarehe 20/8/2020 NYUMBANI kwake. Na BADO MSIMAMIZI wa UCHAGUZI Kinondoni AKAMTEUA ! HUYU Mgombea HANA SIFA-Halima Mdee on twitter.
View attachment 1549033
Let me laugh teeth are bornesPingamizi za Mgombea Urais CHADEMA (Mh Tundu Lissu) kwa Mgombea Urais CCM (Mh Magufuli).
1) Mgombea urais CCM hakuambatanisha picha ya Passport Size.
2) Wadhamini wake hawaja hakikiwa na TUME, badala yake wamehakikiwa na wasaidizi wa Uchaguzi.
3) Tarehe alizo hakikiwa hazipo kwenye ratiba iliowekwa.
# Jaji Kaijage - Simamia uadilifu na haki kwenye kuhukumu mapingamizi ya wagombea wote. Usiangalie chama wala cheo. Historia itakukumbuka kwa moja kati ya mawili "SHUJAA" au "KIBARAKA".
# Mapingamizi yanatakiwa kujibiwa mbele ya TUME na wakiwepo wahusika wote - Lissu Vs Magufuli.
Sasa ni wapi imetakiwa ijazwe siku ya kurejesha ?Cha muhimu ijazwe mbele ya msimamizi haijalishi siku ya kurejesha ama la.Kweli wee akili zako ni sawa na kinyesi changu ..fomu ya tamko la mgombea linajazwa mbele ya msimamizi wa uchaguzi siku ya kurejesha fomu ambayo ni trh 25, haya hapo juu kajaza trh 20 ..hv hapo Gwajiboy anaponaje???
Labda ana ushahidi video. You never knowSasa anamwamboa nani story hizo? Wenzake wanaweka mapingamizi yeye anakuja kutupigia kelele mitandaoni.
Tulia dada utachana kijambio kwa mashuzi safarii hii,sheria nlitunga wenyewe acha zifanye kazi yakeRubbish![emoji706]
Mmeweka pingamizi au mmekimbilia Twetter?Kanuni ya 26(3) ya Kanuni za Uchaguzi zinataka Fomu ya KUTEKELEZA MAADILI kujazwa mbele ya Msimamizi wa Uchaguzi. Ndugu yangu wa CCM KAWE alijaza tarehe 20/8/2020 NYUMBANI kwake. Na BADO MSIMAMIZI wa UCHAGUZI Kinondoni AKAMTEUA ! HUYU Mgombea HANA SIFA-Halima Mdee on twitter.
View attachment 1549033
Kasome kanuni mkuu..Sasa ni wapi imetakiwa ijazwe siku ya kurejesha ?Cha muhimu ijazwe mbele ya msimamizi haijalishi siku ya kurejesha ama la.
Mwisho wa kurudisha ndo ulikuwa tarehe 25,ila unaweza rudisha kabla ya hiyo tarehe.Form za uteuzi zinatakiwa kurudishwa tarehe ya uteuzi ambayo Ni 25 sasa hiyo 20 ni msimamizi yupi alipokea na kuvunja sheria za uchaguzi.
Halima anajua sheria kwahiyo anatumia kifungu ccm walichoweka kwenye mapingamizi,sheria walitunga wao acha zifanye kazi yakeSasa atathibitisha vipi aliijaza nyumbani ?Na kama aliijaza akiwa kwa msimamizi wa uchaguzi tarehe hiyo ?Halima Mdee hapa kachemsha.
Tatizo hawezi thibitisha kama form imesainiwa nyumbani.Daah Ni aibu kubwa Sana kwa Mwanasiasa Nguli Kama halima kuja kuleta Tatizo la kifundi Kama hili huku mitandaoni badala ya kwenda kuweka pingamizi kwa NEC Kama alivyofanya John mrema kwa Bonna.
Yani muda wa mapingamizi umeisha ndo unasema Hana sifa Ukiwa Kama tume ya uteuzi ama Ukiwa Kama halima mdee.
Unachokitafta kwa huyo gwaji boy soon utakipata Naona unamchokonoa afungue Domo lake,, Kuna yule alikuwa RC wa Dsm aligalagazwa mdomoni vibaya mnoo na huyo gwaji hivyo kuwa makini Sana na huyo jamaa.
Twitter ndo mahakamani ?Sasa why hakuweka pingamizi ?Halima anajua sheria kwahiyo anatumia kifungu ccm walichoweka kwenye mapingamizi,sheria walitunga wao acha zifanye kazi yake
Sipati picha kambi ya upinzani ya ccm itakuwaje kwa wangombea hawa form zinawashinda kujaza sijui kiongozi wao atawa naniTwitter ndo mahakamani ?Sasa why hakuweka pingamizi ?
Ameshaweka kitambo pingamizi,upinzani wanatumia vizuri sheria walizotunga ccm.Twitter ndo mahakamani ?Sasa why hakuweka pingamizi ?
Mtakufa na stress nyie viumbe!Rubbish!🚮