Uchaguzi 2020 Halima Mdee: Gwajima alijaza fomu ya maadili nyumbani kwake badala ya kuja mbele ya msimamizi wa uchaguzi hivyo hana sifa ya kugombea

Huyo Askofu tapeli mpigeni chini fasta.....

Kwanza yuko bize anaratibu kikundi chake cha kikabila yy na makonda.....

Nitawashangaa mkimchahua mcheza porn huyu.....

Piga chini hii ng'ombe mdini na mkabila huyo abaki na hicho kikundi cha kigaidi na waumini wake ambao wapo km mang'ombe
 
Wagombea wa ccm ukipitia form zao wote moja baada ya nyingine lazima ukute manyaunyau tu wakatwe kabisa wamezoe
 
Let me laugh teeth are bornes
 
Kweli wee akili zako ni sawa na kinyesi changu ..fomu ya tamko la mgombea linajazwa mbele ya msimamizi wa uchaguzi siku ya kurejesha fomu ambayo ni trh 25, haya hapo juu kajaza trh 20 ..hv hapo Gwajiboy anaponaje???
Sasa ni wapi imetakiwa ijazwe siku ya kurejesha ?Cha muhimu ijazwe mbele ya msimamizi haijalishi siku ya kurejesha ama la.
 
Mmeweka pingamizi au mmekimbilia Twetter?
 
Form za uteuzi zinatakiwa kurudishwa tarehe ya uteuzi ambayo Ni 25 sasa hiyo 20 ni msimamizi yupi alipokea na kuvunja sheria za uchaguzi.
Mwisho wa kurudisha ndo ulikuwa tarehe 25,ila unaweza rudisha kabla ya hiyo tarehe.
 
Tatizo hawezi thibitisha kama form imesainiwa nyumbani.
 
Twitter ndo mahakamani ?Sasa why hakuweka pingamizi ?
Sipati picha kambi ya upinzani ya ccm itakuwaje kwa wangombea hawa form zinawashinda kujaza sijui kiongozi wao atawa nani
 
Nyie mnaota! ccm haiwezi kukubali pingamizi lolote lipitishwe na tume kwa mgombea wao hata kama pingamizi hilo lina mashiko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…