Uchaguzi 2020 Halima Mdee, kwa hili utatusamehe kwa kweli...

Uchaguzi 2020 Halima Mdee, kwa hili utatusamehe kwa kweli...

Wana- kawe bado tunamuhitaji Halima...Gwanjima hafai.....ameshindwa kuleta maendeleo kanisani kwake....miaka yote waumini wanaabudu kwenye mabanda...jua joto lote lao....sadaka kaenda kununua helkopta.... mbaguzi kidini....mbaguzi kikabila....kigeugeu....hapana kwa kweli.
 
Sauti zege unataka kuchukuwa tena hela za miradi yetu huku kawe tumekustukia hatutakupa kura hata moja

Mbona huchoki kukoment bidada? Unarudia mara kumi kumi au wewe ni mwanakondoo wa Gwajiporn?ndo amewatuma mje huku kuleta hizi fujo?mwambieni boss wenu ni mchafu sana hawezi pata kura Kawe.wanakawe wanajitambua sio wapumbavu wa kuongozwa na mcheza sinema za ngono.
 
giphy.gif
 
Hizi I'd ni so lovely! Unaweza kukuta mimi ni mchangiaji wa tatu kwenye huu uzi!

Uzi wowote wa kumponda Halima lazima uwe na I'd mpya pamoja na asilimia 99 ya wachanguaji.
Ufufuo na uzima hoyeeeeeee
Wajumbe wote wa kwanza ni dizaini hii. Tunaweki tu wakitenyana.

tapatalk_jpeg_1564477620945.jpeg
 
hata sisi hapa ukwaman tumechoka kweli.kwanza Halima msumbufu,alikua akija pale ofisi ya Kata anatoa matusi anajifamya anajua sana
 
Mnatufanya wajinga humu ee!?
Yaani Huyu gwanyofo kawaweka watu humu ndani,wanaleta uzi alafu wanchangia wenyewe,sasa hii nayo ni mojawapo ya kufanya kampeni mapaka ushinde?
Wewe gwajima kawe haushindi!
Nenda kacheze porno ndio size yako.
 
Hizi I'd ni so lovely! Unaweza kukuta mimi ni mchangiaji wa tatu kwenye huu uzi!

Uzi wowote wa kumponda Halima lazima uwe na I'd mpya pamoja na asilimia 99 ya wachanguaji.
Ufufuo na uzima hoyeeeeeee
Na mimi nilikuwa nashangaa hili, ikabidi nizitazame hizi ID.
 
Mdee sauti ya zege, kumekucha mama. Ukatafute mume sasa, bila shaka ubunge ulikuwa unakubana usikutane na fursa.
 
CCM wenzangu mna tabu sana. Na bado dawa haijatuingia vema.

Ati mmeunda group la whatsapp then mnapanga kuanzisha thread na kuishambulia as if ni members toka huko na huko.

Mimi CCM ila ukweli namuomba Mungu Gwajima ashindwe saa tatu asubuhi ...mtu wa ndimi mbili wa nini?

Eee Mwenyenzi Mungu jitwalie utukufu ktk hili.
 
Halima alikuwa hana ajenda yoyote na wananchi wa Kawe.
Ni dhahiri kuwa Gwaji Boy atamgaragaza asubuhi tu maana Halima hana cha maana cha kutuambia watu wa Kawe baada ya miaka 10.
Halima ni mzigo kwa sasa.

Subirini muone sasa, hata kwa bao la mkono Gwajima hapiti...hata vyombo vyote vya usalama vihamie Kawe Gwajima hapiti.
 
Wana- kawe bado tunamuhitaji Halima...Gwanjima hafai.....ameshindwa kuleta maendeleo kanisani kwake....miaka yote waumini wanaabudu kwenye mabanda...jua joto lote lao....sadaka kaenda kununua helkopta.... mbaguzi kidini....mbaguzi kikabila....kigeugeu....hapana kwa kweli.
Jamani mbona mnapoteza muda kuwajibu hao misukule? Angalieni wamejiunga liniJF. Hivi watu wanaoamini Gwajima anaombea wafu mpaka wanafufuka, unadhani ni timamu hao?
 
Dah namfikiria akianza kupiga hesabu za Tshs 500,000 Mara miezi 120 ya kuichangia chadema atajuta.
 
Kwa taarifa yenu wananchi wa kawe, Halima Mdee mumchague au msimchaguwe, ataendelea kuwa bungeni. Chadema walijiandaa kimkakati, kuwa wabunge wote machachari waombe nafasi mbili mbili za ubunge wa kuchaguliwa na ubunge wa kuteuliwa. Ili wakikosa upande mmoja wataingia bungeni kupitia mlango huu wa pili.
 
Hizi I'd ni so lovely! Unaweza kukuta mimi ni mchangiaji wa tatu kwenye huu uzi!

Uzi wowote wa kumponda Halima lazima uwe na I'd mpya pamoja na asilimia 99 ya wachanguaji.
Ufufuo na uzima hoyeeeeeee

But it’s so obvious yani hadi kero
 
hata sisi hapa ukwaman tumechoka kweli.kwanza Halima msumbufu,alikua akija pale ofisi ya Kata anatoa matusi anajifamya anajua sana
Wewe mwenyewe kumbe una chuki binafsi usiwasemee wakazi wengine
 
Kwa taarifa yenu wananchi wa kawe, Halima Mdee mumchague au msimchaguwe, ataendelea kuwa bungeni. Chadema walijiandaa kimkakati, kuwa wabunge wote machachari waombe nafasi mbili mbili za ubunge wa kuchaguliwa na ubunge wa kuteuliwa. Ili wakikosa upande mmoja wataingia bungeni kupitia mlango huu wa pili.
Hiyo ndiyo njia bora ya kuwarejesha Bungeni wabunge muhimu kama Halima mdee
 
CCM wenzangu mna tabu sana. Na bado dawa haijatuingia vema.

Ati mmeunda group la whatsapp then mnapanga kuanzisha thread na kuishambulia as if ni members toka huko na huko.

Mimi CCM ila ukweli namuomba Mungu Gwajima ashindwe saa tatu asubuhi ...mtu wa ndimi mbili wa nini?

Eee Mwenyenzi Mungu jitwalie utukufu ktk hili.
Boss hicho sio kikundi cha wanaCCM bali ni group la waumini wake wanaoamini kila wazimu unaotoka mdomoni kwa askofu wao. Angalia hata tarehe zao za kujiunga na JF yaani wamekuja mahsusi kumpigania tapeli mwenzao
 
Back
Top Bottom