Uchaguzi 2020 Halima Mdee, kwa hili utatusamehe kwa kweli...

Uchaguzi 2020 Halima Mdee, kwa hili utatusamehe kwa kweli...

Jinga kabisa wewe ndio umepanic msukule, wapumbavu waliokaririshwa, ufahamu duni pekee ndio utawakuta wakiimba katumwa na beberu, myopic mapumbavu pekee narudia.

Nipe mfano mmoja wa beberu na definition ya beberu, msukule huna zaidi ya kusema nchi za magharibi ambazo ndio partners wa maendeleo. Pathetic fool unaelewa?

Mambo yepi yaliyofanywa na CCM ambayo hayakufanywa na CCM kwa miaka 59? Misukule ya CCM kama wewe utakuwa convinced.

Flyovers Ethiopia ziko zaidi ya Tanzania

SGR mradi mkubwa zaidi ya Tanzania

Ndege zaidi ya Tanzania

Wana mradi mkubwa wa umeme megawatts 9000

Lakini hakuna maendeleo ya watu ndio kila mara wanapita kwenda SA kutafuta maisha bora.

Msukule niambie mambo makubwa yaliyofanywa nikujibu

Misukule nyinyi ni wapumbavu, na misukule inapatikana Lumumba kwa kuwa wewe ni msukule basi ni wa Lumumba. Period!
Tuanzie hapa,
Kuhusu maana halisi ya beberu nimekwambia rudi darasani.
Suala la miradi ya kimakakati uliyoizungumzia na kutolea mfano wa nchi ya ethiopia, not valid with relevancy to Tanzani nchi inaweza ikawa na miradi ya kimkakati lakini kama hakuma utuli na amani katika eneo hilo ni useless, hivyo huwezi kufanya comparative analysis kwa namna hiyo.
Mambo yaliyofanywa na CCM ambayo hayakufanywa kwa miaka 59 ni mambo mengi ambayo yanatupa picha halisi wapi Tanzania tunaelekea.
Mathali suala la kusimamia vizuri namna bora ya extraction of minerals katika Nchi yetu ni suala linalotupa tafakuri jadidi ya juu ya wapi Tanzania tunaelekea. Leo hii Pato la Taifa limekuwa likiimarika siku hadi siku
 
Tuanzie hapa,
Kuhusu maana halisi ya beberu nimekwambia rudi darasani.
Suala la miradi ya kimakakati uliyoizungumzia na kutolea mfano wa nchi ya ethiopia, not valid with relevancy to Tanzani nchi inaweza ikawa na miradi ya kimkakati lakini kama hakuma utuli na amani katika eneo hilo ni useless, hivyo huwezi kufanya comparative analysis kwa namna hiyo.
Mambo yaliyofanywa na CCM ambayo hayakufanywa kwa miaka 59 ni mambo mengi ambayo yanatupa picha halisi wapi Tanzania tunaelekea.
Mathali suala la kusimamia vizuri namna bora ya extraction of minerals katika Nchi yetu ni suala linalotupa tafakuri jadidi ya juu ya wapi Tanzania tunaelekea. Leo hii Pato la Taifa limekuwa likiimarika siku hadi siku
Misukule ya Gwajima
 
Taarifa za uhakika na za kweli nilizozipata ni kwamba Halima Mdee alikuwa hajajiandaa na hakuwa tayari kutuwakilisha sisi wananchi wa Kawe kama mbunge wa kuchaguliwa.
Ndio maana kwenye vikao vya ndani vya chama ilibidi Mwenyekiti Mbowe na katibu Mnyika wambembeleze sana na kumuomba afute maamuzi yake hayo.

Hii ilitokana na yeye mwenyewe kujitathimini na kuona hana cha maana cha kutuambia sisi wananchi wa Kawe na tukamuelewa kwa kuwa ahadi zote alizozitoa kwa miaka kumi yote hamna hata jambo moja lililokamilika. Ndo maana akaona ni heri akimbilie kwenye viti maalumu ili asiwe na mzigo wa kutuwakilisha sisi wananchi.

Nimejiuliza tu kama mtu hakuwa na utayari hadi kalazimishwa kutuwakilisha wananchi tuna uhakika gani na ahadi zake anazozitoa kwa sasa kama tu kwa miaka kumi alishindwa na alikuwa hajalazimishwa.
Mbunge haleti maendeleo Bali anapeleka matatizo Jimbo lake ili serikali iyatatue jamani hata hii simple logic hatuifahamu tatizo Kama kuna serikali baguzi haitayafanyia kazi matatizo kisa tu mbunge si wa chama tawala na hii ndo mifumo ya nchi baadhi ya Afrika ili kuuwa upinzani.Kwa mantiki hiyo wananchi wanaadhibiwa kwa kuchagua upinzani ijapokuwa Kodi zao zinachukuliwa.Ni Bora hata Kodi wasingetozwa sababu hawapewi huduma wakati ni haki yao.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Jinga kabisa wewe ndio umepanic msukule, wapumbavu waliokaririshwa, ufahamu duni pekee ndio utawakuta wakiimba katumwa na beberu, myopic mapumbavu pekee narudia.

Nipe mfano mmoja wa beberu na definition ya beberu, msukule huna zaidi ya kusema nchi za magharibi ambazo ndio partners wa maendeleo. Pathetic fool unaelewa?

Mambo yepi yaliyofanywa na CCM ambayo hayakufanywa na CCM kwa miaka 59? Misukule ya CCM kama wewe utakuwa convinced.

Flyovers Ethiopia ziko zaidi ya Tanzania

SGR mradi mkubwa zaidi ya Tanzania

Ndege zaidi ya Tanzania

Wana mradi mkubwa wa umeme megawatts 9000

Lakini hakuna maendeleo ya watu ndio kila mara wanapita kwenda SA kutafuta maisha bora.

Msukule niambie mambo makubwa yaliyofanywa nikujibu

Misukule nyinyi ni wapumbavu, na misukule inapatikana Lumumba kwa kuwa wewe ni msukule basi ni wa Lumumba. Period!
Wewe ndo msukule mnataka kurudisha nchi yetu kwenye ukolon yan chadema sjui mmelaaniwa na laana Gan lakin hata mjaribu nin hamtafanikiwa mnataka kuuza nchi yetu kwa wazungu ndo maana wamemtuma Lisu aje kugombea Urais anajidai anapenda nchi yetu lakin hakuna kitu kama hicho ulaghai mtupuuu
 
kawe ipo ipo tu .barabara yetu goig haitamanik haielewek tumechoka
 
Taarifa za uhakika na za kweli nilizozipata ni kwamba Halima Mdee alikuwa hajajiandaa na hakuwa tayari kutuwakilisha sisi wananchi wa Kawe kama mbunge wa kuchaguliwa.
Ndio maana kwenye vikao vya ndani vya chama ilibidi Mwenyekiti Mbowe na katibu Mnyika wambembeleze sana na kumuomba afute maamuzi yake hayo.

Hii ilitokana na yeye mwenyewe kujitathimini na kuona hana cha maana cha kutuambia sisi wananchi wa Kawe na tukamuelewa kwa kuwa ahadi zote alizozitoa kwa miaka kumi yote hamna hata jambo moja lililokamilika. Ndo maana akaona ni heri akimbilie kwenye viti maalumu ili asiwe na mzigo wa kutuwakilisha sisi wananchi.

Nimejiuliza tu kama mtu hakuwa na utayari hadi kalazimishwa kutuwakilisha wananchi tuna uhakika gani na ahadi zake anazozitoa kwa sasa kama tu kwa miaka kumi alishindwa na alikuwa hajalazimishwa.
Mambo yashakua makubwa huku kawe kila mtu Gwajima, Gwajima.
 
Kampen zinaendelea tusubiri tar 28 tukapige kura wanakawe matokeo ndo yataonyesha nani bora ila ninvyowajua chadema watasema wameibiwa kura maana ndo zao[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hatari sana hii, huyu dada bhna kiukweli hawatendei haki wana Kawe kiukweli na upinzani mnachokifanya hamtendi haki kabisa kwa watu wenu waliowaamini.
 
Taarifa za uhakika na za kweli nilizozipata ni kwamba Halima Mdee alikuwa hajajiandaa na hakuwa tayari kutuwakilisha sisi wananchi wa Kawe kama mbunge wa kuchaguliwa.
Ndio maana kwenye vikao vya ndani vya chama ilibidi Mwenyekiti Mbowe na katibu Mnyika wambembeleze sana na kumuomba afute maamuzi yake hayo.

Hii ilitokana na yeye mwenyewe kujitathimini na kuona hana cha maana cha kutuambia sisi wananchi wa Kawe na tukamuelewa kwa kuwa ahadi zote alizozitoa kwa miaka kumi yote hamna hata jambo moja lililokamilika. Ndo maana akaona ni heri akimbilie kwenye viti maalumu ili asiwe na mzigo wa kutuwakilisha sisi wananchi.

Nimejiuliza tu kama mtu hakuwa na utayari hadi kalazimishwa kutuwakilisha wananchi tuna uhakika gani na ahadi zake anazozitoa kwa sasa kama tu kwa miaka kumi alishindwa na alikuwa hajalazimishwa.
Halima alikuwa hana ajenda yoyote na wananchi wa Kawe.
Ni dhahiri kuwa Gwaji Boy atamgaragaza asubuhi tu maana Halima hana cha maana cha kutuambia watu wa Kawe baada ya miaka 10.
Halima ni mzigo kwa sasa.
 
Miaka Kumi mnaona mingi .....kuna li- chama lina miaka sitini...na bado linang'ang'ania kutuongoza
 
Back
Top Bottom