Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Ukiambiwa utoe uthibitisho wowote wa wao kushawishiwa na CCM huna. Hivyo usipende kuongea vitu vya kubuni. Hiyo ni mojawapo wa viashiria vya upungufu wa uelewa...
Acha upotoshaji wa kijinga dogo, watuhumiwa hawakuruhusiwa kujitetea, wakati waliitwa na hawakutokea?