Halima Mdee, Mwenyekiti wa BAWACHA aidha ajiuzulu au aondolewe haraka kabla hajaleta madhara kwa Chama

Halima Mdee, Mwenyekiti wa BAWACHA aidha ajiuzulu au aondolewe haraka kabla hajaleta madhara kwa Chama

Halima mdee, nikishawishi watu karibu 32 ambao wote walipiga kura na walipigia upinzani. Uthibitisho ninao. Walikupigia kuta Halima Mdee na Lissu.

Mimi mwana CCM na hao watu pia walikuwa wana CCM. Nashangaa leo umetusaliti. Naomba na wewe pia Karma ikutafune kwa kutusaliti. Halima yule wa Chadema sidhani angeweza kutusaliti kiasi hiki.
 
1. Halima Mdee - M’kiti BAWACHA Taifa
2. Hawa Mwaifunga - Makamu M’kiti BAWACHA.
3. Grace Tendega - Katibu BAWACHA.
4. Jesca Kishoa - Naibu Katibu Mkuu BAWACHA.
5. Asia Mohamed - Naibu Katibu BAWACHA.
6. Agnester Kaiza - Mwenezi BAWACHA Taifa.
7. Ester Matiko- M’kiti kanda
8. Nusrat Hanje - Katibu BAVICHA
 
Nidhamu katika taasisi yeyote ile ni jambo la msingi sana, iwe sehemu ya kazi iwe jeshini, kwenye biashara, pesa zako bila nidhamu huwezi kufanikiwa.

Kiongozi anapoenda kinyume na maamuzi halali ya taasisi ni aidha anajiuzulu au anafukuzwa. Halima Mdee amekiuka maamuzi halali ya Kamati Kuu hence ya Chama, awe amefanya kwa kushinikizwa au kwa tamaa zake, kwa kitendo kile hana uhalali tena wa kuendelea kuongoza kitengo cha BAWACHA.

Mbali na kukiuka msimamo wa Chama Mdee kaonyesha tamaa na ubinafsi wa hali ya juu, kajiteua yeye wa kwanza bila aibu badala ya kuwatafuta wanawake vijana wengine ndani ya chama nje ya BAWACHA nao wakapate ujuzi bungeni kama yeye.

1. Halima Mdee - M’kiti BAWACHA Taifa
2. Hawa Mwaifunga - Makamu M’kiti BAWACHA.
3. Grace Tendega - Katibu BAWACHA.
4. Jesca Kishoa - Naibu Katibu Mkuu BAWACHA.
5. Asia Mohamed - Naibu Katibu BAWACHA.
6. Agnester Kaiza - Mwenezi BAWACHA Taifa.
7. Ester Matiko- M’kiti kanda
8. Nusrat Hanje - Katibu BAVICHA

Juliana Shonza alikuwa Makamu M/kiti wa BAVICHA nakumbuka alileta vurugu kubwa ndani ya BAVICHA kiasi kwamba kuchelewa kwa chama kumfukuza ilikuwa al manusura akigawe chama, ilikuja kufahamika baadae kumbe Juliana hakuwa peke yake alikuwa ametangulizwa kama chambo, nyuma yake walikuwepo kina Zitto, Kitila, Mwigamba na wengineo.

Chama kimshukuru Mdee kwa kuijenga BAWACHA na yote aliyokifanyia chama lakini kitendo cha yeye kama kiongozi kukiuka maamuzi ya chama hakiwezi kuvumilika na chama kikiendelea kumlea anaweza kuambukiza mbegu ya uasi ndani ya chama na kuleta madhara makubwa ‘irreparable’ kwa sababu hatujui walio nyuma yake ndani na nje ya chama ni akina nani na wana nguvu kiasi gani.
Ungekuwa wewe ungeachaje ulaji halafu eti umpe mwingine, lazima ujiangalie kwanza wewe ndo umuangalie mwingine
 
Nidhamu katika taasisi yeyote ile ni jambo la msingi sana, iwe sehemu ya kazi iwe jeshini, kwenye biashara, pesa zako bila nidhamu huwezi kufanikiwa.

Kiongozi anapoenda kinyume na maamuzi halali ya taasisi ni aidha anajiuzulu au anafukuzwa. Halima Mdee amekiuka maamuzi halali ya Kamati Kuu hence ya Chama, awe amefanya kwa kushinikizwa au kwa tamaa zake, kwa kitendo kile hana uhalali tena wa kuendelea kuongoza kitengo cha BAWACHA.

Mbali na kukiuka msimamo wa Chama Mdee kaonyesha tamaa na ubinafsi wa hali ya juu, kajiteua yeye wa kwanza bila aibu badala ya kuwatafuta wanawake vijana wengine ndani ya chama nao wakapate ujuzi bungeni kama yeye.

Juliana Shonza alikuwa Makamu M/kiti wa BAVICHA nakumbuka alileta vurugu kubwa ndani ya BAVICHA kiasi kwamba kuchelewa kwa chama kumfukuza ilikuwa al manusura akigawe chama, ilikuja kufahamika baadae kumbe Juliana hakuwa peke yake alikuwa ametangulizwa kama chambo, nyuma yake walikuwepo kina Zitto, Kitila, Mwigamba na wengineo.

Chama kimshukuru Mdee kwa kuijenga BAWACHA na yote aliyokifanyia chama lakini kitendo cha yeye kama kiongozi kukiuka maamuzi ya chama hakiwezi kuvumilika na chama kikiendelea kumlea anaweza kuambukiza mbegu ya uasi ndani ya chama na kuleta madhara makubwa ‘irreparable’ kwa sababu hatujui walio nyuma yake ndani na nje ya chama ni akina nani na wana nguvu kiasi gani.
Mkuu,

Unaota ndoto za mchana kweupe, inavyoonesha ninyi washabiki wa hicho chama hamkifahamu vizuri ndio maana huwa mnatetea vitu visivyowezekana. Nani amtoe Halima Mdee, utovu wa nidhamu upi alioufanya, kutii matakwa ya sheria na matamanio ya wananchi au matakwa yenu binafsi kuwafurahisha ughaibuni kwa vipande vichahce vya rupia.

Chadema ni mwenyekiti na baraza la wazee waanzilishi sio vikao celebrity unavyovijua wewe amRetainbavyo wewe sio mshiriki na hauwezi kuwa mjumbe wake kufanya maamuzi.

Kilichofanyika na uongozi wa Chadema ni tathimini ya viashiria hatari (Political Risk Management & Assessment)

Risk Tolerance and Acceptability

Treating and Accepting Risks

i. Avoid-Treating the risk by avoiding teh event that would lead to the risk occurring;
ii. Retain-Assess the likelihood and consequences of the risk occurring;
iii. Transfer-Shifting the risk in part or full through insurance subscription and contractual agreement to remedy the damage just in case it arises
iv. Accept the risk-the impact of risk is consistently evaluated and considers the benefit outweighs the probable loss
v. Mitigate-Develop a plan to reduce the likelihood and or the consequences by taking pre-emptive actions along the lines through
a. Identify the range of measures options
b. Assess the options ( cost effective, timely solution matrix, what resources are required and if was feasible)
c. Select the most effective options assign each with rebounce measures owner;
d. Develop a plan, incorporate into existing plans
e. Develop contongency responses wherever applicable
Remember RISK= Severity of harm or loss times likelihodd of occurrence [R=SHL*LO]
Apparently CDM has considered the following to save both its influence in teh community and avoid being part of economy collapse factor due to non cooperation from the supporters and fear by investors to inject multi billion funds in mega projects for the anticipated unrest social interaction
  1. Political instability that can lead to regime change;
  2. Macroeconomic and financial imbalances that can lead to a severe malfunctioning of the economy;
  3. Social, cultural, and environmental risk that can affect human development;
  4. Global linkages facilitate a country's integration into the global economy but insufficient ties can deny access to external capital, technology, resources, and markets, thus increasing the country's risks; and
  5. Business environment risk, which allows the country to achieve the level of competitiveness against its neighbors.
 
Nidhamu katika taasisi yeyote ile ni jambo la msingi sana, iwe sehemu ya kazi iwe jeshini, kwenye biashara, pesa zako bila nidhamu huwezi kufanikiwa.

Kiongozi anapoenda kinyume na maamuzi halali ya taasisi ni aidha anajiuzulu au anafukuzwa. Halima Mdee amekiuka maamuzi halali ya Kamati Kuu hence ya Chama, awe amefanya kwa kushinikizwa au kwa tamaa zake, kwa kitendo kile hana uhalali tena wa kuendelea kuongoza kitengo cha BAWACHA.

Mbali na kukiuka msimamo wa Chama Mdee kaonyesha tamaa na ubinafsi wa hali ya juu, kajiteua yeye wa kwanza bila aibu badala ya kuwatafuta wanawake vijana wengine ndani ya chama nje ya BAWACHA nao wakapate ujuzi bungeni kama yeye.

1. Halima Mdee - M’kiti BAWACHA Taifa
2. Hawa Mwaifunga - Makamu M’kiti BAWACHA.
3. Grace Tendega - Katibu BAWACHA.
4. Jesca Kishoa - Naibu Katibu Mkuu BAWACHA.
5. Asia Mohamed - Naibu Katibu BAWACHA.
6. Agnester Kaiza - Mwenezi BAWACHA Taifa.
7. Ester Matiko- M’kiti kanda
8. Nusrat Hanje - Katibu BAVICHA

Juliana Shonza alikuwa Makamu M/kiti wa BAVICHA nakumbuka alileta vurugu kubwa ndani ya BAVICHA kiasi kwamba kuchelewa kwa chama kumfukuza ilikuwa al manusura akigawe chama, ilikuja kufahamika baadae kumbe Juliana hakuwa peke yake alikuwa ametangulizwa kama chambo, nyuma yake walikuwepo kina Zitto, Kitila, Mwigamba na wengineo.

Chama kimshukuru Mdee kwa kuijenga BAWACHA na yote aliyokifanyia chama lakini kitendo cha yeye kama kiongozi kukiuka maamuzi ya chama hakiwezi kuvumilika na chama kikiendelea kumlea anaweza kuambukiza mbegu ya uasi ndani ya chama na kuleta madhara makubwa ‘irreparable’ kwa sababu hatujui walio nyuma yake ndani na nje ya chama ni akina nani na wana nguvu kiasi gani.

Tafadhali Acha Wivu! Kumbuka Maalim Seif aliposusa wakati wa kipindi cha Dr Shein, yeye na wafuasi wake wote walifaidi nini? Yaani alikosa Urais na kuamrisha wawakilishi wote wa chama chake kususa - walikosa mishahara na marupurupu mingine kwa kipindi cha miaka mitano!!! ikawa ni blaaa blaaa mpaka sasa kipindi cha Dr Hussein Mwinyi! Sasa wasuse waache chama tawala kiendelee bila mawaa(disturbance).Muhimu kwa Tz ni amani. Chadema kususa itakuwa ni uenda wazimu na ujinga kama siyo UPUMBAVU.
 
tatizo lenu mnabweka tu mmechanganyikiwa,hamjui nini kimetokea mnatoa hukumu
Mdee sio chizi,subiri tamko la chama chenu badala ya kukurupuka
Hakuna mtu aliyechanganyikiwa hata wakiondoka hao COVID - 19 Chadema bado ina wanachama mamilioni.
 
CHADEMA hivi hakuna kitengo cha intelligence? Kama mmeshindwa si bora muwe mnamsoma Kigogo2014 kule Twitter, maana kila anachokutabiri kinatokea.

Waombeni hao wahisani wenu, wawapeleke vijana nje wakasome ujasusi.
Huwezi kuendesha taasisi kubwa bila ya kuwa kitengo imara cha kukusanya taarifa, kuzichakata na kuzitafsiri.
Information is power
Mimi ndio huwa nawashangaaga chadema hapo

Hawana kitengo Cha Intel wanajiendea endea tu ndio maana huwa wanaburuzwa na CCM wenzao Wana watumia usalama wao wako Kama mazuzu tu

Wanakera sana

Kwa hio Hali wataendelea kuibuka wasailti Hadi chama kipotee kwenye ramani

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
CHADEMA hivi hakuna kitengo cha intelligence? Kama mmeshindwa si bora muwe mnamsoma Kigogo2014 kule Twitter, maana kila anachokutabiri kinatokea.

Waombeni hao wahisani wenu, wawapeleke vijana nje wakasome ujasusi.
Huwezi kuendesha taasisi kubwa bila ya kuwa kitengo imara cha kukusanya taarifa, kuzichakata na kuzitafsiri.
Information is power
Na kwa kweli.... Wanapaswa kuwa na intelligence ndani ya chama... Otherwise watalaumiana kila siku....
 
Hakuna mtu aliyechanganyikiwa hata wakiondoka hao COVID - 19 Chadema bado ina wanachama mamilioni.
wewe na halima nani ana uchungu na chadema?
Kwa mwaka 2020,mh halima ndio kiongozi pekee aliepata misukosuko kuliko kiongozi yoyote wa chadema,kufungiwa bungeni,kesi mahakamani,misukosuko ya kutiwa ndani halafu wewe eti unamuita COVID 19,
 
Amefikia bei sasa akapige makofi bungeni rubber stamp, wale watu wa kawe siju kigamboni sasa hawana maana yeyote ile, nadhan muda umefika sasa wananchi wakatae viongozi wao wote wa upinzani wawepo wepo tu., hakuna anayeaminika tena, sasa ni wazi viongozi hawa waliomadarkani na walionje ya madaraka ni wasakatonge tu
 
wewe na halima nani ana uchungu na chadema?
Kwa mwaka 2020,mh halima ndio kiongozi pekee aliepata misukosuko kuliko kiongozi yoyote wa chadema,kufungiwa bungeni,kesi mahakamani,misukosuko ya kutiwa ndani halafu wewe eti unamuita COVID 19,
Unafikiri hao Chademavirus 19 (CDMV19) wamejifikisha wao hapo walipo, kuna wanachama sio tu wamafungwa bali walikufa kwa ajili yao, bila wanachama wape muda kama utawasikia tena watabaki kama Mrema na Lipumba.
 
Huyo ndiyo hasa liability kwa chadema. Hakuwa na mpango mkakati wa kugombea, alitegemea nguvu ya Amsterdam na wajinga wachache wa kizungu. Amsterdam aliamini Tanzania 🇹🇿 inaweza kuyumba kama walivyo yumbusha nchi za kiarabu na sehemu ya afrika.Lissu alijiona ni zaidi ya chama kumbe ni ghalasha na sasa wenye chama wana dictate terms
Swadakta mkuu

Wenye chama
 
Nidhamu katika taasisi yeyote ile ni jambo la msingi sana, iwe sehemu ya kazi iwe jeshini, kwenye biashara, pesa zako bila nidhamu huwezi kufanikiwa.

Kiongozi anapoenda kinyume na maamuzi halali ya taasisi ni aidha anajiuzulu au anafukuzwa. Halima Mdee amekiuka maamuzi halali ya Kamati Kuu hence ya Chama, awe amefanya kwa kushinikizwa au kwa tamaa zake, kwa kitendo kile hana uhalali tena wa kuendelea kuongoza kitengo cha BAWACHA.

Mbali na kukiuka msimamo wa Chama Mdee kaonyesha tamaa na ubinafsi wa hali ya juu, kajiteua yeye wa kwanza bila aibu badala ya kuwatafuta wanawake vijana wengine ndani ya chama nje ya BAWACHA nao wakapate ujuzi bungeni kama yeye.

1. Halima Mdee - M’kiti BAWACHA Taifa
2. Hawa Mwaifunga - Makamu M’kiti BAWACHA.
3. Grace Tendega - Katibu BAWACHA.
4. Jesca Kishoa - Naibu Katibu Mkuu BAWACHA.
5. Asia Mohamed - Naibu Katibu BAWACHA.
6. Agnester Kaiza - Mwenezi BAWACHA Taifa.
7. Ester Matiko- M’kiti kanda
8. Nusrat Hanje - Katibu BAVICHA

Juliana Shonza alikuwa Makamu M/kiti wa BAVICHA nakumbuka alileta vurugu kubwa ndani ya BAVICHA kiasi kwamba kuchelewa kwa chama kumfukuza ilikuwa al manusura akigawe chama, ilikuja kufahamika baadae kumbe Juliana hakuwa peke yake alikuwa ametangulizwa kama chambo, nyuma yake walikuwepo kina Zitto, Kitila, Mwigamba na wengineo.

Chama kimshukuru Mdee kwa kuijenga BAWACHA na yote aliyokifanyia chama lakini kitendo cha yeye kama kiongozi kukiuka maamuzi ya chama hakiwezi kuvumilika na chama kikiendelea kumlea anaweza kuambukiza mbegu ya uasi ndani ya chama na kuleta madhara makubwa ‘irreparable’ kwa sababu hatujui walio nyuma yake ndani na nje ya chama ni akina nani na wana nguvu kiasi gani.
Wewe ni nani kwenye Saccos ya Chadema? Tuliza mshono dada!
 
CHADEMA hivi hakuna kitengo cha intelligence? Kama mmeshindwa si bora muwe mnamsoma Kigogo2014 kule Twitter, maana kila anachokutabiri kinatokea.

Waombeni hao wahisani wenu, wawapeleke vijana nje wakasome ujasusi.
Huwezi kuendesha taasisi kubwa bila ya kuwa kitengo imara cha kukusanya taarifa, kuzichakata na kuzitafsiri.
Information is power

😆😆😆😆😆😆😆😆✈️ Belgium 🇧🇪
 
Back
Top Bottom