NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Wahuni hao,acha nao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani sijui ninjaa au tamaaOctoba 28/ 2020 baada ya kupiga kura, nilirudi home na kula chai na mbute, ndio kifungua kinywa ambachao mimi huwa kina nifaa maana ni kitamu na kinakaa kwa muda mrefu, tumboni.
Lakini baada ya matokeo ya uchaguzi kuanza kutokea nilistuka baada ya kuona kwenye mitandao ya hapa Tz na hata nje ya nchi kuona Halima Mdee aliyekuea mgombea ubunge Kawe akidai kukamata kura za wizi kwenye mabegi. Mimi niliona ni jambo zito na uchafu kwa taifa letu, kumbe kura huwa zinachakachuriwa!
Leo hii huyu Dada Halima aliyekamata kura za wizi kumbe alitudanganya! Nia yake apate ulaji?
Alijua fika ameshindwa ila akatengeneza uhuni, kudanganya kuna wizi wa kura, leo hii kalamba ubunge, hakuna wizi wala theft! Kwa kweli Halima ni mhuni na hafai.
Ni wasanii kama NEC ambao tarehe 20/11/2020 walidai mpaka tarehe hiyo walikuwa hawajapokea majina kutoka CHADEMA, halafu leo wanafuta maneno yao wakisahau kuwa walikwua recorded kwenye video eti wanasema walipokea majina ya akina Halima tarehe 19/11/2020.Octoba 28/ 2020 baada ya kupiga kura, nilirudi home na kula chai na mbute, ndio kifungua kinywa ambachao mimi huwa kina nifaa maana ni kitamu na kinakaa kwa muda mrefu, tumboni.
Lakini baada ya matokeo ya uchaguzi kuanza kutokea nilistuka baada ya kuona kwenye mitandao ya hapa Tz na hata nje ya nchi kuona Halima Mdee aliyekuea mgombea ubunge Kawe akidai kukamata kura za wizi kwenye mabegi. Mimi niliona ni jambo zito na uchafu kwa taifa letu, kumbe kura huwa zinachakachuriwa!
Leo hii huyu Dada Halima aliyekamata kura za wizi kumbe alitudanganya! Nia yake apate ulaji?
Alijua fika ameshindwa ila akatengeneza uhuni, kudanganya kuna wizi wa kura, leo hii kalamba ubunge, hakuna wizi wala theft! Kwa kweli Halima ni mhuni na hafai.
Dar usiwe na maamuzi ya haraka. Utagongwa na treni ya MwakyembeOctoba 28/ 2020 baada ya kupiga kura, nilirudi home na kula chai na mbute, ndio kifungua kinywa ambachao mimi huwa kina nifaa maana ni kitamu na kinakaa kwa muda mrefu, tumboni.
Lakini baada ya matokeo ya uchaguzi kuanza kutokea nilistuka baada ya kuona kwenye mitandao ya hapa Tz na hata nje ya nchi kuona Halima Mdee aliyekuea mgombea ubunge Kawe akidai kukamata kura za wizi kwenye mabegi. Mimi niliona ni jambo zito na uchafu kwa taifa letu, kumbe kura huwa zinachakachuriwa!
Leo hii huyu Dada Halima aliyekamata kura za wizi kumbe alitudanganya! Nia yake apate ulaji?
Alijua fika ameshindwa ila akatengeneza uhuni, kudanganya kuna wizi wa kura, leo hii kalamba ubunge, hakuna wizi wala theft! Kwa kweli Halima ni mhuni na hafai.
Kura zimevurugwa nchi nzima. Na Leo hii wale mlioapa kutokuwa Jimbo hata moja. Ndiyo hao mnawapigania kwa udi na uvumba wapate viti maalumu . Spika kasema atawalinda kwa gharama yoyote .Octoba 28/ 2020 baada ya kupiga kura, nilirudi home na kula chai na mbute, ndio kifungua kinywa ambachao mimi huwa kina nifaa maana ni kitamu na kinakaa kwa muda mrefu, tumboni.
Lakini baada ya matokeo ya uchaguzi kuanza kutokea nilistuka baada ya kuona kwenye mitandao ya hapa Tz na hata nje ya nchi kuona Halima Mdee aliyekuea mgombea ubunge Kawe akidai kukamata kura za wizi kwenye mabegi. Mimi niliona ni jambo zito na uchafu kwa taifa letu, kumbe kura huwa zinachakachuriwa!
Leo hii huyu Dada Halima aliyekamata kura za wizi kumbe alitudanganya! Nia yake apate ulaji?
Alijua fika ameshindwa ila akatengeneza uhuni, kudanganya kuna wizi wa kura, leo hii kalamba ubunge, hakuna wizi wala theft! Kwa kweli Halima ni mhuni na hafai.