Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa atakuwa anajipiga makofi. Leo katoa tamko kesho mwenyekiyi wa Bawacha anaapa BungeniMbelgiji ana taarifa lakini
Hata kingeyajua kingefanyaje? Toa ushauriYaaani yanayotokea Chama hakikuyajua?
Undeni intelligence unit itakayokuwa ni jicho la chama
Umesema ukweli ila sidhani kama nyumbu watakuelewaWazee wa keyboard, Mdee kavuja damu, kalala selo, kapigwa virungu sababu ya CHADEMA na ni Mbunge wa CHADEMA sasa hivi kwa mujibu wa katiba ya nchi wala sio hisani, sasa hapa wewe mzee wa kwenye keyboard hujawahi hata kutokwa na jasho, sio hata damu kwa ajili ya CHADEMA unadai Mdee afukuzwe. Hovyo sana nyie. Mdee na wenzake hawajakurupuka, wana baraka za Mbowe.
Exactly na uluchokisema. Hapa sasa wameingia kwenye 18 wenyewe. Hivyo kwa maamuzi yoyote hata nayo chukua kwa hakuna wa kulaumiwa.Chama kina taratibu zake za kupata habari na kuzifanyia kazi may be huu ndio muda mwafaka wangefukuzwa mapema watu wangedhani wanaonewa.
Wanawaka 19 tena viongozi na wake wa viongozi wandamizi siyo wajinga kama unavyodhani tulia, yajayo yanafurahishaMkuu Mdee hajavuja damu peke yake wala hakujichagua mwenyewe kuwa M/kiti BAWACHA kachagulia na watu ambao wengine ni marehemu kwa kumpigania yeye ajulikane, hata unaowaita wazee wa keyboard wana mchango wao kwake.
Haiwezi kuacha wafukuzwe ila ukweli unatamalaki mbele ya jamii.Huo utaratibu umesaidia nini toka enzi za kuunga juhudi mpaka kina Mdee? kufukuzwa leo itasaidia nini,unadhani CCM itawaacha wafukuzwe?
Kweli wamtumie kigogo ni hazina Sana.CHADEMA hivi hakuna kitengo cha intelligence? Kama mmeshindwa si bora muwe mnamsoma Kigogo2014 kule Twitter, maana kila anachokutabiri kinatokea.
Waombeni hao wahisani wenu, wawapeleke vijana nje wakasome ujasusi.
Huwezi kuendesha taasisi kubwa bila ya kuwa kitengo imara cha kukusanya taarifa, kuzichakata na kuzitafsiri.
Information is power
Acheni mfumo dume nyie chandimu! Kwanza lissu mwenyewe kakuta wabunge 70+ kaacha 1, bora mbowe ndo angekuwa mgombeaNidhamu katika taasisi yeyote ile ni jambo la msingi sana, iwe sehemu ya kazi iwe jeshini, kwenye biashara, pesa zako bila nidhamu huwezi kufanikiwa.
Kiongozi anapoenda kinyume na maamuzi halali ya taasisi ni aidha anajiuzulu au anafukuzwa. Halima Mdee amekiuka maamuzi halali ya Kamati Kuu hence ya Chama, awe amefanya kwa kushinikizwa au kwa tamaa zake, kwa kitendo kile hana uhalali tena wa kuendelea kuongoza kitengo cha BAWACHA.
Mbali na kukiuka msimamo wa Chama Mdee kaonyesha tamaa na ubinafsi wa hali ya juu, kajiteua yeye wa kwanza bila aibu badala ya kuwatafuta wanawake vijana wengine ndani ya chama nje ya BAWACHA nao wakapate ujuzi bungeni kama yeye.
1. Halima Mdee - M’kiti BAWACHA Taifa
2. Hawa Mwaifunga - Makamu M’kiti BAWACHA.
3. Grace Tendega - Katibu BAWACHA.
4. Jesca Kishoa - Naibu Katibu Mkuu BAWACHA.
5. Asia Mohamed - Naibu Katibu BAWACHA.
6. Agnester Kaiza - Mwenezi BAWACHA Taifa.
7. Ester Matiko- M’kiti kanda
8. Nusrat Hanje - Katibu BAVICHA
Juliana Shonza alikuwa Makamu M/kiti wa BAVICHA nakumbuka alileta vurugu kubwa ndani ya BAVICHA kiasi kwamba kuchelewa kwa chama kumfukuza ilikuwa al manusura akigawe chama, ilikuja kufahamika baadae kumbe Juliana hakuwa peke yake alikuwa ametangulizwa kama chambo, nyuma yake walikuwepo kina Zitto, Kitila, Mwigamba na wengineo.
Chama kimshukuru Mdee kwa kuijenga BAWACHA na yote aliyokifanyia chama lakini kitendo cha yeye kama kiongozi kukiuka maamuzi ya chama hakiwezi kuvumilika na chama kikiendelea kumlea anaweza kuambukiza mbegu ya uasi ndani ya chama na kuleta madhara makubwa ‘irreparable’ kwa sababu hatujui walio nyuma yake ndani na nje ya chama ni akina nani na wana nguvu kiasi gani.
Lini chadema ilikaa mkutano mkuu kumpitisha maalim kugombea Zanzibar? Stuka chandimu kuna ombwe la uongozi!Chama kilikaa lini kutoa maamuzi? Ama na wewe unatumia matamko ya viongozi wachache tu.
Lini CHADEMA ilifanya mkutano mkuu?
Swali la msingi ni je,Trilioni tutazipata kwa hizi sarakasi?.Sidhani kama dunia haituoni.Huo utaratibu umesaidia nini toka enzi za kuunga juhudi mpaka kina Mdee? kufukuzwa leo itasaidia nini,unadhani CCM itawaacha wafukuzwe?
Mikwara tu ya wanasiasa, hakuna adhabu yoyote hapo, naona mko bize sana kutetea kufa kwa siasa za tz, ipo siku mtajakumbuka tulikotoka... Omba mungu ufe mapemaaaHakuunga mkono, lakini alikalishwa chini na Mdee. Hoja ya Mdee ni kuwa: Haya sio mapenzi yetu ni takwa la kisheria na tukifanya dharau watatoa adhabu, Jee tunajua adhabu yenyewe?
Kama magufuli anavyoimiliki ccm, ni mambo tu ya kawaida mbona,Endelea kukariri.
Mbowe anamiliki Bavicha na Halima Mdee anamiliki Bawacha!