Halima Mdee, Mwenyekiti wa BAWACHA aidha ajiuzulu au aondolewe haraka kabla hajaleta madhara kwa Chama

Shukuru mungu wewe sio Halima kinyume na hapo ungeenda na maji
 
Fact
Fact
Fact
Hi inaonyesh Kuna Mambo ndivyo sivyo yanayo/yaliyo fanyika kwa maslai Binafs
 
Umesema ukweli ila sidhani kama nyumbu watakuelewa
 
Chama kina taratibu zake za kupata habari na kuzifanyia kazi may be huu ndio muda mwafaka wangefukuzwa mapema watu wangedhani wanaonewa.
Exactly na uluchokisema. Hapa sasa wameingia kwenye 18 wenyewe. Hivyo kwa maamuzi yoyote hata nayo chukua kwa hakuna wa kulaumiwa.
 
Mkuu Mdee hajavuja damu peke yake wala hakujichagua mwenyewe kuwa M/kiti BAWACHA kachagulia na watu ambao wengine ni marehemu kwa kumpigania yeye ajulikane, hata unaowaita wazee wa keyboard wana mchango wao kwake.
Wanawaka 19 tena viongozi na wake wa viongozi wandamizi siyo wajinga kama unavyodhani tulia, yajayo yanafurahisha
 
Kweli wamtumie kigogo ni hazina Sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi kuwatofautisha kati Mdee na Mbowe anacho kifikiria Mdee ndio anacho kifikiria Mbowe, msimamo wa Mdee ndio msimamo wa Mbowe, ndio maana Mdee alijiamini wakati alipo pewa nafasi ya kusema, aliongea kwa kujiamini kabisaa kuwa mwenyekiti Mbowe amebariki kila kitu.
 
Acheni mfumo dume nyie chandimu! Kwanza lissu mwenyewe kakuta wabunge 70+ kaacha 1, bora mbowe ndo angekuwa mgombea
 
Chama kilikaa lini kutoa maamuzi? Ama na wewe unatumia matamko ya viongozi wachache tu.

Lini CHADEMA ilifanya mkutano mkuu?
Lini chadema ilikaa mkutano mkuu kumpitisha maalim kugombea Zanzibar? Stuka chandimu kuna ombwe la uongozi!
 
Hakuunga mkono, lakini alikalishwa chini na Mdee. Hoja ya Mdee ni kuwa: Haya sio mapenzi yetu ni takwa la kisheria na tukifanya dharau watatoa adhabu, Jee tunajua adhabu yenyewe?
Mikwara tu ya wanasiasa, hakuna adhabu yoyote hapo, naona mko bize sana kutetea kufa kwa siasa za tz, ipo siku mtajakumbuka tulikotoka... Omba mungu ufe mapemaaa
 
Octoba 28/ 2020 baada ya kupiga kura, nilirudi home na kula chai na mbute, ndio kifungua kinywa ambachao mimi huwa kina nifaa maana ni kitamu na kinakaa kwa muda mrefu, tumboni.

Lakini baada ya matokeo ya uchaguzi kuanza kutokea nilistuka baada ya kuona kwenye mitandao ya hapa Tz na hata nje ya nchi kuona Halima Mdee aliyekuea mgombea ubunge Kawe akidai kukamata kura za wizi kwenye mabegi. Mimi niliona ni jambo zito na uchafu kwa taifa letu, kumbe kura huwa zinachakachuriwa!

Leo hii huyu Dada Halima aliyekamata kura za wizi kumbe alitudanganya! Nia yake apate ulaji?

Alijua fika ameshindwa ila akatengeneza uhuni, kudanganya kuna wizi wa kura, leo hii kalamba ubunge, hakuna wizi wala theft! Kwa kweli Halima ni mhuni na hafai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…