Halima Mdee na wenzake 18 kukimbilia ACT Wazalendo?

Halima Mdee na wenzake 18 kukimbilia ACT Wazalendo?

Course Coordinator

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2019
Posts
1,742
Reaction score
3,224
Siasa sio mbaya ila Wanasiasa ndio wabaya .

Dada zetu walichagua njia ya moja ya kuchagua maisha tonge kwanza liende kinywani kufia chama badae.

Njaa haina baunsa..muda wa akina Halima Mdee kukata rufaa Baraza kuu la CHADEMA umeisha leo ni dhahiri kuwa hawana nia ya kukata rufaa baada ya kufukuzwa uanachama hivo wanajua kuwa sio wabunge tena labda wawe wabunge wa Ndugai.

Tetesi zilizopo ni kuwa Halima Mdee na wenzake wanataka kukimbilia ACT - Wazalendo ili wakapate nafasi katika Mabaraza yao kiuongozi athari zake tutajulisha mbele kwa nini wanataka kwenda ACT Wazalendo na sio vyama vingine.

Baada ya ACT kufyata mkia imeonekana watafanya kazi na Meko hata ikifika 2025 na Mungu amewaweka hai watagombea ubunge katika majimbo yao kikubwa kitachofanyika ni amri ya Tangaza hata kama hajashinda ...kama wengi mlivyoona uchaguzi wa 2020 ndo utakuwa wa 2025 pia.

Tetegemee siasa zinazoendelea kudumaza demokrasia zaidi.

Siasa na uchafu wake, wachafu wameingia kwenye mtego.
 
Hapo Mbowe hawezi kukubali maana kwa kila mbunge anakusanya mmoja kwa wabunge 20 ana m 20 bila jacho.

Unadhani mchaga yule na kukosa ubunge anakiwa na mahasara kibao kwenye makampuni yake ya utalii na hoteli anaweza kuiacha hii pesa kisa eti kuna kina pambaruuuuu wanapiga kelele
 
Yaani huko ACT waende kiroho safi hakuna mwenye tatizo na wao. Ila kupata wapiga kura wa ukweli kupitia upinzani watasubiri sana.
mzee baba ulikuwa unamkubali sana Halima, umemtetea sana humu Jf
 
Kama CHADEMA watafuata sheria na pia nia bado ipo, deadline itakuwa ni kesho kwani kisheria kama siku ya mwisho inayotakiwa kufanya jambo itaangukia weekend au public holiday basi hiyo siku itasogezwa kwenda kwenye siku inayofuata ambayo sio weekend au public holiday.

Kesho ndio deadline kisheria.
 
Back
Top Bottom