cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Kaniumiza halima huyu had bas, so sad kwa kweli.Ogopa sana kirus mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaniumiza halima huyu had bas, so sad kwa kweli.Ogopa sana kirus mkuu
Hata km sio kwa style hii kwakweli, kaniumiza mnooh.Njaa haina baunsa
Kaumiza wengi ..anaekufanyia ubaya ni mtu wako wa karibu ....opportunity costKaniumiza halima huyu had bas, so sad kwa kweli.
Tumewahi kusema sana huku kuwa huyu mtu hajawahi kuaminika hata mara moja, ni mtu wa maslahi binafsi siku zote.Zitto sio mtu kabisa!
Shame on him
Mataga bila kumtaja Mbowe hamsurvive?Hapo Mbowe hawezi kukubali maana kwa kila mbunge anakusanya mmoja kwa wabunge 20 ana m 20 bila jacho.
Unadhani mchaga yule na kukosa ubunge anakiwa na mahasara kibao kwenye makampuni yake ya utalii na hoteli anaweza kuiacha hii pesa kisa eti kuna kina pambaruuuuu wanapiga kelele
Act hawatakuwa wabunge tena😬😬Siasa sio mbaya ila Wanasiasa ndio wabaya .
Dada zetu walichagua njia ya moja ya kuchagua maisha tonge kwanza liende kinywani kufia chama badae.
Njaa haina baunsa..muda wa akina Halima Mdee kukata rufaa Baraza kuu la CHADEMA umeisha leo ni dhahiri kuwa hawana nia ya kukata rufaa baada ya kufukuzwa uanachama hivo wanajua kuwa sio wabunge tena labda wawe wabunge wa Ndugai.
Tetesi zilizopo ni kuwa Halima Mdee na wenzake wanataka kukimbilia ACT - Wazalendo ili wakapate nafasi katika Mabaraza yao kiuongozi athari zake tutajulisha mbele kwa nini wanataka kwenda ACT Wazalendo na sio vyama vingine.
Baada ya ACT kufyata mkia imeonekana watafanya kazi na Meko hata ikifika 2025 na Mungu amewaweka hai watagombea ubunge katika majimbo yao kikubwa kitachofanyika ni amri ya Tangaza hata kama hajashinda ...kama wengi mlivyoona uchaguzi wa 2020 ndo utakuwa wa 2025 pia.
Tetegemee siasa zinazoendelea kudumaza demokrasia zaidi.
Siasa na uchafu wake, wachafu wameingia kwenye mtego.
Hata Lowassa Chadema walidai kaanzisha ACT ataaenda ACT ila ukweli ukawa tofauti, jamani ipumzisheni ACT kila chama kifanye siasa jinsi kinavyoona ingekuwa lengo ni kufanya siasa zinazofanana basi hivyo vyama visingekuwepo.Siasa sio mbaya ila Wanasiasa ndio wabaya .
Dada zetu walichagua njia ya moja ya kuchagua maisha tonge kwanza liende kinywani kufia chama badae.
Njaa haina baunsa..muda wa akina Halima Mdee kukata rufaa Baraza kuu la CHADEMA umeisha leo ni dhahiri kuwa hawana nia ya kukata rufaa baada ya kufukuzwa uanachama hivo wanajua kuwa sio wabunge tena labda wawe wabunge wa Ndugai.
Tetesi zilizopo ni kuwa Halima Mdee na wenzake wanataka kukimbilia ACT - Wazalendo ili wakapate nafasi katika Mabaraza yao kiuongozi athari zake tutajulisha mbele kwa nini wanataka kwenda ACT Wazalendo na sio vyama vingine.
Baada ya ACT kufyata mkia imeonekana watafanya kazi na Meko hata ikifika 2025 na Mungu amewaweka hai watagombea ubunge katika majimbo yao kikubwa kitachofanyika ni amri ya Tangaza hata kama hajashinda ...kama wengi mlivyoona uchaguzi wa 2020 ndo utakuwa wa 2025 pia.
Tetegemee siasa zinazoendelea kudumaza demokrasia zaidi.
Siasa na uchafu wake, wachafu wameingia kwenye mtego.
Waende tu hawana faida yoyoteSiasa sio mbaya ila Wanasiasa ndio wabaya .
Dada zetu walichagua njia ya moja ya kuchagua maisha tonge kwanza liende kinywani kufia chama badae.
Njaa haina baunsa..muda wa akina Halima Mdee kukata rufaa Baraza kuu la CHADEMA umeisha leo ni dhahiri kuwa hawana nia ya kukata rufaa baada ya kufukuzwa uanachama hivo wanajua kuwa sio wabunge tena labda wawe wabunge wa Ndugai.
Tetesi zilizopo ni kuwa Halima Mdee na wenzake wanataka kukimbilia ACT - Wazalendo ili wakapate nafasi katika Mabaraza yao kiuongozi athari zake tutajulisha mbele kwa nini wanataka kwenda ACT Wazalendo na sio vyama vingine.
Baada ya ACT kufyata mkia imeonekana watafanya kazi na Meko hata ikifika 2025 na Mungu amewaweka hai watagombea ubunge katika majimbo yao kikubwa kitachofanyika ni amri ya Tangaza hata kama hajashinda ...kama wengi mlivyoona uchaguzi wa 2020 ndo utakuwa wa 2025 pia.
Tetegemee siasa zinazoendelea kudumaza demokrasia zaidi.
Siasa na uchafu wake, wachafu wameingia kwenye mtego.
Kwa mwana cdm wa kweli na wananchi wengine wanaopenda siasa za upinzani kweli wameumia sanaKaniumiza halima huyu had bas, so sad kwa kweli.
Amepungukiwa nini hadi useme siyo mtu?Zitto sio mtu kabisa!
Shame on him
Pole mkuu!! Wanasiasa sio wa kuwaamini kabisa!! jiamini wewe mwenyewe!!Halima Mdee kaniuzi sana, na sikuwahi tegemea angekuja kufanya hivi aaaah [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kwanini hamjifunzi na mnakuwa wavivu? Zitto ndio kirusi mkuu.Amekaribisha tena virusi
Yaaan bas tyuuuh aaahKaumiza wengi ..anaekufanyia ubaya ni mtu wako wa karibu ....opportunity cost
Kabisaaah tumeumizwa mnooh tena sanaah.Kwa mwana cdm wa kweli na wananchi wengine wanaopenda siasa za upinzani kweli wameumia sana
Kwa Halima alikua real San, wala sikuwahi waza tofauti juu yake.Pole mkuu!! Wanasiasa sio wa kuwaamini kabisa!! jiamini wewe mwenyewe!!