USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Alimtetea vipi alitumwa au shobo dundo tumzee baba ulikuwa unamkubali sana Halima, umemtetea sana humu Jf
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alimtetea vipi alitumwa au shobo dundo tumzee baba ulikuwa unamkubali sana Halima, umemtetea sana humu Jf
Yap, nilikuwa namkubali sana akiwa cdm, baada ya hapo mimi na yeye ndoa imevunjika rasmi.
Hawajielewi hawa bavicha wao kila mtu anawauzi tu .wanademokrasia gani hawaDemokrasia kwa maendeleo ya nchi
Deadline yao ni tarehe 29/12/2020 kwa mjibu wa katiba ya CHADEMA. Siku zinahesabika kuanzia tarehe ya kupokelewa kwa barua rasmi ya kuwajulisha kufukuzwa kwenye chama na sababu ya kufukuzwa.Siasa sio mbaya ila wanasiasa ndo wabaya .
Dada zetu walichagua njia ya moja ya kuchagua maisha..tonge kwanza liende kinywani kufia chama badae.
Njaa haina baunsa..muda wa akina Halima Mdee kukata rufaa Baraza kuu la CHADEMA umeisha leo ni dhahiri kuwa hawana nia ya kukata rufaa baada ya kufukuzwa uanachama ..hivo wanajua kuwa sio wabunge tena labda wawe wabunge wa Ndugai.
Tetesi zilizopo ni kuwa Halima Mdee na wenzake wanataka kukimbilia ACT -Wazalendo ili wakapate nafasi katika mabaraza yao kiuongozi ..athari zake tutajulisha mbele kwa nini wanataka kwenda ACT na sio vyama vingine.
Baada ya ACT kufyata mkia imeonekana watafanya kazi na Meko hata ikifika 2025 na Mungu amewaweka hai watagombea ubunge katika majimbo yao kikubwa kitachofanyika ni amri ya Tangaza hata kama hajashinda ...kama wengi mlivyoona uchaguzi wa 2020 ndo utakuwa wa 2025 pia..
Tetegemee siasa zinazoendelea kudumaza demokrasia zaidi..
Siasa na uchafu wake ,wachafu wameingia kwenye mtego.
Kama Magufuli alitumia billions kuhakikisha hawapati ubunge, hayo mahaba ya ghafla yanatoka wapi?Siasa sio mbaya ila wanasiasa ndo wabaya .
Dada zetu walichagua njia ya moja ya kuchagua maisha..tonge kwanza liende kinywani kufia chama badae.
Njaa haina baunsa..muda wa akina Halima Mdee kukata rufaa Baraza kuu la CHADEMA umeisha leo ni dhahiri kuwa hawana nia ya kukata rufaa baada ya kufukuzwa uanachama ..hivo wanajua kuwa sio wabunge tena labda wawe wabunge wa Ndugai.
Tetesi zilizopo ni kuwa Halima Mdee na wenzake wanataka kukimbilia ACT -Wazalendo ili wakapate nafasi katika mabaraza yao kiuongozi ..athari zake tutajulisha mbele kwa nini wanataka kwenda ACT na sio vyama vingine.
Baada ya ACT kufyata mkia imeonekana watafanya kazi na Meko hata ikifika 2025 na Mungu amewaweka hai watagombea ubunge katika majimbo yao kikubwa kitachofanyika ni amri ya Tangaza hata kama hajashinda ...kama wengi mlivyoona uchaguzi wa 2020 ndo utakuwa wa 2025 pia..
Tetegemee siasa zinazoendelea kudumaza demokrasia zaidi..
Siasa na uchafu wake ,wachafu wameingia kwenye mtego.
Nipo na halima hapa anasema hawajapokea barua yeyote ya kimaandish kuwa wamefukuzwa n hawafanyii kaz kelele za mtandaoni[emoji16][emoji16][emoji16]Yap, nilikuwa namkubali sana akiwa cdm, baada ya hapo mimi na yeye ndoa imevunjika rasmi.
Halima Mdee ni chadema tu, akienda chama chengine chochote hawezi tena kuwa Halima Mdee, Si dhani kama Zitto Kabwe atawakubali hawa kuja ACT,Siasa sio mbaya ila wanasiasa ndo wabaya .
Dada zetu walichagua njia ya moja ya kuchagua maisha..tonge kwanza liende kinywani kufia chama badae.
Njaa haina baunsa..muda wa akina Halima Mdee kukata rufaa Baraza kuu la CHADEMA umeisha leo ni dhahiri kuwa hawana nia ya kukata rufaa baada ya kufukuzwa uanachama ..hivo wanajua kuwa sio wabunge tena labda wawe wabunge wa Ndugai.
Tetesi zilizopo ni kuwa Halima Mdee na wenzake wanataka kukimbilia ACT -Wazalendo ili wakapate nafasi katika mabaraza yao kiuongozi ..athari zake tutajulisha mbele kwa nini wanataka kwenda ACT na sio vyama vingine.
Baada ya ACT kufyata mkia imeonekana watafanya kazi na Meko hata ikifika 2025 na Mungu amewaweka hai watagombea ubunge katika majimbo yao kikubwa kitachofanyika ni amri ya Tangaza hata kama hajashinda ...kama wengi mlivyoona uchaguzi wa 2020 ndo utakuwa wa 2025 pia..
Tetegemee siasa zinazoendelea kudumaza demokrasia zaidi..
Siasa na uchafu wake ,wachafu wameingia kwenye mtego.
Kajifunze kuandika kwanza, ndio uje umjadili Mbowe.Hapo mbowe hawezi kukubari maana kwa kila mbunge anakusanya m1 kwa wabunge 20 ana m 20 bila jacho.
Unadhani mchaga yule na kukosa ubunge anakiwa na mahasara kibao kwenye makampuni yake ya utalii na hoteli anaweza kuiacha hii pesa kisa eti kuna kina pambaruuuuu wanapiga kelele
Waende act ili wapoteze ubunge wao kirahisi hivyo?Tetesi zilizopo ni kuwa Halima Mdee na wenzake wanataka kukimbilia ACT -Wazalendo ili wakapate nafasi katika mabaraza yao kiuongozi
CDM ndiyo inakufaa hiyo! Na naiona ACT kua Chama kikuu Cha Upinzani very soon!!Siasa sio mbaya ila wanasiasa ndo wabaya .
Dada zetu walichagua njia ya moja ya kuchagua maisha tonge kwanza liende kinywani kufia chama badae.
Njaa haina baunsa..muda wa akina Halima Mdee kukata rufaa Baraza kuu la CHADEMA umeisha leo ni dhahiri kuwa hawana nia ya kukata rufaa baada ya kufukuzwa uanachama hivo wanajua kuwa sio wabunge tena labda wawe wabunge wa Ndugai.
Tetesi zilizopo ni kuwa Halima Mdee na wenzake wanataka kukimbilia ACT -Wazalendo ili wakapate nafasi katika mabaraza yao kiuongozi ..athari zake tutajulisha mbele kwa nini wanataka kwenda ACT Wazalendo na sio vyama vingine.
Baada ya ACT kufyata mkia imeonekana watafanya kazi na Meko hata ikifika 2025 na Mungu amewaweka hai watagombea ubunge katika majimbo yao kikubwa kitachofanyika ni amri ya Tangaza hata kama hajashinda ...kama wengi mlivyoona uchaguzi wa 2020 ndo utakuwa wa 2025 pia..
Tetegemee siasa zinazoendelea kudumaza demokrasia zaidi..
Siasa na uchafu wake ,wachafu wameingia kwenye mtego.
Hata wakikimbilia mahakamani haitakuwa solution ya kudumu, watapoteza muda tu kwa kesi kuahirishwa mwisho wa siku wamalizie "ubunge" wao kwa ulinzi wa Ndugai, but siku hiyo kesi ikiisha mahakamani ndio na wao watakuwa wameondoka rasmi Chadema.Deadline yao ni tarehe 29/12/2020 kwa mjibu wa katiba ya CHADEMA. Siku zinahesabika kuanzia tarehe ya kupokelewa kwa barua rasmi ya kuwajulisha kufukuzwa kwenye chama na sababu ya kufukuzwa.
Alternative ya kukataa rufaa kwenye baraza la chama chao si kuhamia ACT bali ni kupinga maamuzi hayo mahakamani. The best alternative ni mahakamani na wala siyo kwenye hilo baraza la chama ambalo linaongozwa na hao hao wa kamati kuu waliowafukuza.
Wacha kujitekenya na kucheka mwenyewe.Nipo na halima hapa anasema hawajapokea barua yeyote ya kimaandish kuwa wamefukuzwa n hawafanyii kaz kelele za mtandaoni[emoji16][emoji16][emoji16]
Na mama Majaliwa.Nasikia alikuoa anapiga mashine balaa so umejindaa kuolewa na nan?
Nipo na halima hapa anasema hawajapokea barua yeyote ya kimaandish kuwa wamefukuzwa n hawafanyii kaz kelele za mtandaoni[emoji16][emoji16][emoji16]
A.K.A TPHao ndio washapotea na hiyo 2025 wala hawatapita majimboni, kimsingi wametumika kama karatasi ya chooni .
BON VOYAGESiasa sio mbaya ila wanasiasa ndo wabaya .
Dada zetu walichagua njia ya moja ya kuchagua maisha tonge kwanza liende kinywani kufia chama badae.
Njaa haina baunsa..muda wa akina Halima Mdee kukata rufaa Baraza kuu la CHADEMA umeisha leo ni dhahiri kuwa hawana nia ya kukata rufaa baada ya kufukuzwa uanachama hivo wanajua kuwa sio wabunge tena labda wawe wabunge wa Ndugai.
Tetesi zilizopo ni kuwa Halima Mdee na wenzake wanataka kukimbilia ACT -Wazalendo ili wakapate nafasi katika mabaraza yao kiuongozi ..athari zake tutajulisha mbele kwa nini wanataka kwenda ACT Wazalendo na sio vyama vingine.
Baada ya ACT kufyata mkia imeonekana watafanya kazi na Meko hata ikifika 2025 na Mungu amewaweka hai watagombea ubunge katika majimbo yao kikubwa kitachofanyika ni amri ya Tangaza hata kama hajashinda ...kama wengi mlivyoona uchaguzi wa 2020 ndo utakuwa wa 2025 pia..
Tetegemee siasa zinazoendelea kudumaza demokrasia zaidi..
Siasa na uchafu wake ,wachafu wameingia kwenye mtego.
Siyo mke, alimpiga yeye kisha akamtelekezaAmekupigia Mke?