balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Hata Mimi nilimkubali Sana Halima, nilimtangaza Kama mwanamke shujaa wa nchi hii, nilimtumia Kama mfano kuinspire wasichana wadogo na wanawake kwa ujumla, nilitamani angekuwa dada,shangazi ama mama yangu. Nilipoona hayo hayawezekani nikatamani angekuwa mke wangu, kilichotokea Dodoma kilinikumbusha kauli,"Usifanye dili na mwanamke"mzee baba ulikuwa unamkubali sana Halima, umemtetea sana humu Jf
Njaa siyo mbaya Ni mbaya ikiingia kichwani.Wanasiasa sio wabaya, njaa ndio mbaya.
Hawatakuwa wakwanza kuwa wabunge wa Mahakama...Deadline yao ni tarehe 29/12/2020 kwa mjibu wa katiba ya CHADEMA. Siku zinahesabika kuanzia tarehe ya kupokelewa kwa barua rasmi ya kuwajulisha kufukuzwa kwenye chama na sababu ya kufukuzwa.
Alternative ya kukataa rufaa kwenye baraza la chama chao si kuhamia ACT bali ni kupinga maamuzi hayo mahakamani. The best alternative ni mahakamani na wala siyo kwenye hilo baraza la chama ambalo linaongozwa na hao hao wa kamati kuu waliowafukuza.
Wacha wakaungane na wenzao wafia matumbo badala ya kuwapigania wananchiSiasa sio mbaya ila wanasiasa ndo wabaya .
Dada zetu walichagua njia ya moja ya kuchagua maisha tonge kwanza liende kinywani kufia chama badae.
Njaa haina baunsa..muda wa akina Halima Mdee kukata rufaa Baraza kuu la CHADEMA umeisha leo ni dhahiri kuwa hawana nia ya kukata rufaa baada ya kufukuzwa uanachama hivo wanajua kuwa sio wabunge tena labda wawe wabunge wa Ndugai.
Tetesi zilizopo ni kuwa Halima Mdee na wenzake wanataka kukimbilia ACT -Wazalendo ili wakapate nafasi katika mabaraza yao kiuongozi ..athari zake tutajulisha mbele kwa nini wanataka kwenda ACT Wazalendo na sio vyama vingine.
Baada ya ACT kufyata mkia imeonekana watafanya kazi na Meko hata ikifika 2025 na Mungu amewaweka hai watagombea ubunge katika majimbo yao kikubwa kitachofanyika ni amri ya Tangaza hata kama hajashinda ...kama wengi mlivyoona uchaguzi wa 2020 ndo utakuwa wa 2025 pia..
Tetegemee siasa zinazoendelea kudumaza demokrasia zaidi..
Siasa na uchafu wake ,wachafu wameingia kwenye mtego.
Waliokuwa wanaikwamisha cdm nyuma ya pazia inawezekana walikuwa wengi sanaHao ndio washapotea na hiyo 2025 wala hawatapita majimboni, kimsingi wametumika kama karatasi ya chooni .
Ana roho mbaya sanaZitto sio mtu kabisa!
Shame on him
Zitto kwake cha kwanza ni maslahiAmekaribisha tena virusi
Wameshatumika sana sasa ni sawa na mtumba tuAll the best...
ila ingependeza kama mngeacha siasa,mtatumika kila mahali.. 😱😱
Ogopa sana kirus mkuuHalima mdee kaniuzi sana, na sikuwahi tegemea angekuja kufanya hivi aaaah [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Wametuachia vidonda visivyo sahaulikaYaani huko ACT waende kiroho safi hakuna mwenye tatizo na wao. Ila kupata wapiga kura wa ukweli kupitia upinzani watasubiri sana.
Umeonaeee?Amekupigia Mke?
Utoto mtupu ngonjera hizohizo tu kila siku....hamna propaganda mpya ni utoto uleule kama wanafunzi wa baby classHapo mbowe hawezi kukubari maana kwa kila mbunge anakusanya m1 kwa wabunge 20 ana m 20 bila jacho.
Unadhani mchaga yule na kukosa ubunge anakiwa na mahasara kibao kwenye makampuni yake ya utalii na hoteli anaweza kuiacha hii pesa kisa eti kuna kina pambaruuuuu wanapiga kelele
Kwamba mke wako angepata huo ubunge ungemwambia asiende?Hao ndio washapotea na hiyo 2025 wala hawatapita majimboni, kimsingi wametumika kama karatasi ya chooni .
Anakuambia endelea kula mtori nyama ziko chiniZitto sio mtu kabisa!
Shame on him
Halima mdee kaniuzi sana, na sikuwahi tegemea angekuja kufanya hivi aaaah [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Acha unafiki watu wako kazini kama wewe unavyo amka kwenda kusaka tongeSiasa sio mbaya ila Wanasiasa ndo wabaya .
Dada zetu walichagua njia ya moja ya kuchagua maisha tonge kwanza liende kinywani kufia chama badae.
Njaa haina baunsa..muda wa akina Halima Mdee kukata rufaa Baraza kuu la CHADEMA umeisha leo ni dhahiri kuwa hawana nia ya kukata rufaa baada ya kufukuzwa uanachama hivo wanajua kuwa sio wabunge tena labda wawe wabunge wa Ndugai.
Tetesi zilizopo ni kuwa Halima Mdee na wenzake wanataka kukimbilia ACT - Wazalendo ili wakapate nafasi katika Mabaraza yao kiuongozi athari zake tutajulisha mbele kwa nini wanataka kwenda ACT Wazalendo na sio vyama vingine.
Baada ya ACT kufyata mkia imeonekana watafanya kazi na Meko hata ikifika 2025 na Mungu amewaweka hai watagombea ubunge katika majimbo yao kikubwa kitachofanyika ni amri ya Tangaza hata kama hajashinda ...kama wengi mlivyoona uchaguzi wa 2020 ndo utakuwa wa 2025 pia.
Tetegemee siasa zinazoendelea kudumaza demokrasia zaidi.
Siasa na uchafu wake ,wachafu wameingia kwenye mtego.
Wachukue na wewe upate hizo mil 20.Hapo mbowe hawezi kukubari maana kwa kila mbunge anakusanya m1 kwa wabunge 20 ana m 20 bila jacho.
Unadhani mchaga yule na kukosa ubunge anakiwa na mahasara kibao kwenye makampuni yake ya utalii na hoteli anaweza kuiacha hii pesa kisa eti kuna kina pambaruuuuu wanapiga kelele
Sio tu kwenda hata kama ingebidi kumwacha ningepiga chini.Kwamba mke wako angepata huo ubunge ungemwambia asiende?
Unasema kwa sababu huna,Sio tu kwenda hata kama ingebidi kumwacha ningepiga chini.