Halima Mdee na wenzake 18 wagoma kufika Kamati Kuu ya chama kwa madai ya kupokea vitisho toka kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA

Halima Mdee na wenzake 18 wagoma kufika Kamati Kuu ya chama kwa madai ya kupokea vitisho toka kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA

Trillion mbili za mabeberu zinawatoa jasho CCM kutaka kuunda Kambi rasmi Bungeni kwa nguvu.

Habari mbaya ni kwamba wote 19 wanajivua ubunge rasmi leo.

Stay turned!!
Ubunge wao utakoma 2025!
 
Chama chako hakitambui uchaguzi mkuu uliofanyika October 2020 na kinataka uchaguzi urudiwe. Kama msimamo wa chama ni kurudiwa kwa uchaguzi, Mnalia haki viti 19 vya uchaguzi upi?

Maana yake vikao walioka kamati kuu yenu kuazimia kutoutambua uchaguzi na kuweka msimamo wao urudiwe, ninyi mmepuuza vikao hivyo. Hamfai kabisa mnasukumwa na tamaa zenu za madaraka mnarudusha juhudi za chama chenu nyuma kupambania haki za watanzania.
Sisi tunataka wafukuzwe CHADEMA tu hayo mengine watajuana na Ndugai
 
Mie naona wabunge wote sasa ni CCM, ambao ilipaswa chadema ipeleke hawakupeleka, hivyo mamlaka ikaamua kuokoteza wanachama wa chadema na kujaza nafasi, wakikiuka taratibu kadhaa.
Sijui nini kitafuata iwapo sasa chadema wakiamua kupeleka wabunge wa viti maalumu, ambao watafuata taratibu? Watakataliwa? Mdee kawa mbunge vipindi kadhaa, leo anashindwa vumilia na kuyapa nafasi maamuzi ya chama! Je, ni kweli uwezi ishi bila kuwa mbunge? Basi hauna dhamani!
Sisi tunataka wafukuzwe CHADEMA tu hayo mengine watajuana na Ndugai
 
Mbona tumesema mapema kuwa quorum hatatimia? Huo ndio uzuri wa siasa kwa wale wanaojua kuucheza, Halima mwanasiasa mzoefu bhana. Imetoka hiyo
 
Lamda sio kwa hii chadema ninaehijua

Wakifukuzwa unitag mkuu
 
Taarifa zitatolewa hivi punde kitafanyika kwa njia ya kidigital (zoom) wanakamilisha kuset mitambo.
 
Ila dunia hakuna wanachama wavumilivu kama chadema wao msemaji mkuu mbowe tu hakuna mwingine na vice versa
 
Hawa si wasaliti wamekwamisha/komesha biashara ya siasa ya middleman ya Mbowe na genge lake ndani ya cdm. Serikali inawajibu wa kuwapa undercover ulinzi hawa Wamama wa cdm. Wameamua uzalendo na kuvua kongwa la utumwa wa akili kutoka kwa mabeberu na vibaraka wao Lissu na genge lake.
 
Hadi sasa haieleweki kama kikao hicho kitafanyika ama la kadhalika uhakika wa akidi kutimia unatia shaka.

Ufipa hali ni shwari na kuna vijana wachache wa Bavicha ambao kimsingi hawatoi taarifa kama kikao kitakuwepo na kitafanyikia wapi zaidi ya kuwataka wanachama wawe na subira.

Ngoja tuone muda ndio msema kweli.

Maendeleo hayana vyama!
... duh! Kwamba zaidi ya nusu ya wajumbe (akidi) wa Kamati Kuu ni wasaliti? Basi chama kimetekwa rasmi na manyang'au!
 
Back
Top Bottom